Bei ya mafuta: Nafuu kwa watumiaji, kilio kwa wazalishaji

Katika siku za hivi karibuni, soko la mafuta duniani limejikuta kwenye mtikisiko mkubwa unaosababishwa na vuta nikuvute ya kisiasa kati ya mataifa makubwa, mabadiliko ya kiuchumi duniani, na mikakati mipya ya Jumuiya ya Nchi Wazalishaji wa Mafuta (OPEC+). Kushuka kwa kasi kwa bei ya mafuta ghafi duniani kumeibua wasiwasi wa mdororo wa kiuchumi katika baadhi…

Read More

WATUMIAJI WA TEHAMA WATAKIWA KUJILINDA PAMOJA NA VIFAA VYAO KUEPUSHA TAARIFA ZAO KUINGILIWA

Na Pamela Mollel,Arusha Watumiaji wote wa Tehama wametakiwa kuhakikisha wanajilinda wao pamoja na vifaa wanavyovitumia ili kuepusha taarifaa zao kuingiliwa. Rai hiyo ilitolewa hivi karibu jijini Arusha na Mtaalamu wa Tehama kutoka Tasaf, Peter Lwanda katika kongamano la usalama mtandaoni “Tujitaidi kujilinda kwa kuwa sasahivi teknolojia imekuwa kwa kasi kubwa hivyo ni muhimu kulinda hata…

Read More

Vipaumbele 14 Vya Tamisemi Hivi Hapa – Global Publishers

Last updated Apr 17, 2025 WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amesema Wizara yake imepanga kutekeleza vipaumbele 14 katika mpango wa bajeti wa mwaka 2025/26. Akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi kwa wizara na taasisi zake kwa mwaka 2025/26, Mhe. Mchengerwa amesema utekelezaji wa…

Read More

Wanne Simba wabeba tumaini | Mwanaspoti

SIMBA tayari ipo visiwani Zanzibar kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa nusu fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Stellenbosch ya Afrika Kusini, huku mastaa wanne wa klabu hiyo wakibeba matumaini ya kuvuka salama katika hatua hiyo ili kutinga fainali ya michuano hiyo ya CAF. Wekundu hao watavaana na Stellenbosch Jumapili…

Read More