Srelio yastukia jambo, JKT ikijibu mapigo
BAADA ya uongozi wa Chama cha Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BD) kutangaza kwamba ligi mkoani humo (BDL) itachezwa katika mzunguko mmoja timu ya Srelio imeshtukia jambo na sasa imepanga kuwashusha nyota wake mapema jijini humo ili kujiandaa kwa ajili ya mashindano hayo. Kocha wa timu hiyo, Miyasi Nyamoko amesema klabu yake imejipanga kushusha…