Uchaguzi Mkuu 2025: Musukuma alipuka bungeni

Dodoma. Homa ya uchaguzi imeendelea kutanda bungeni ambapo Mbunge wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Musukuma ameshauri watumishi wa umma wanaotaka kugombea ubunge katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025, wafanyiwe ukaguzi maalumu ili kuepuka Bunge kuwa sehemu ya vichaka vya kujificha watu wasio waadilifu. Musukuma ametoa angalizo hilo kipindi ambacho vuguvugu la uchaguzi katika majimbo limepamba…

Read More

Gambo aibua tuhuma za ufisadi Arusha, Spika Tulia…

Dodoma. Mbunge wa Arusha Mjini (CCM), Mrisho Gambo ameibua tuhuma za ufisadi juu ya matumizi mabaya ya fedha kwenye miradi ya maendeleo. Gambo amesema hayo leo Jumatano, Aprili 16, 2025 wakati akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) kwa mwaka wa fedha 2025/26. “Mimi…

Read More

Mchengerwa ataja vipaumbele bajeti ya Tamisemi 2025/26

Dar es Salaam. Udhibiti wa matumizi yasiyo na tija ni miongoni mwa vipaumbele vinavyojirudia katika bajeti za Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) 2025/26 huku kukiwa na mapengo ya utekelezwaji wake. Mapengo hayo yanathibitishwa katika Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), katika mwaka unaoishia Machi…

Read More

TRC ilivyobeba abiria ‘kiduchu’ Dar, kuboresha huduma

Moshi. Shirika la Reli Tanzania (TRC), limeshindwa kufikia malengo ya mkakati wake wa miaka mitano (2019/2020-2023/2024) wa kubeba abiria milioni 10 katika utoaji wa usafiri jijini Dar es Salaam, na kuishia kubeba asilimia 28 tu ya lengo. Hayo yamebainishwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere katika ripoti Kuu ya…

Read More

WASIRA AKUTANA NA KADINALI PROTASE RUGAMBWA TABORA

Na Mwandishi Wetu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amekutana na kufanya mazungumzo na Muadhama Kadinali Protase Rugambwa katika Jimbo Kuu Katoliki la Tabora. Wasira amekutana na Kadinali Rugambwa leo Aprili 16, 2025 katika Jimbo Kuu Katoliki Tabora akiwa katika ziara ya kukagua uhai wa Chama na utekelezaji wa Ilani…

Read More

RAIS WA ZANZIBAR AAFANYA MAZUNGUMZO NA MABALOZI WA TANZANIA WANAOWAKILISHI TANZANIA KATIKA NCHI ZA SWEDEN,RWANDA,ZIMBABWE NA MSUMBIJI

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na Balozi wa Tanzania Nchini Rwanda Mhe. Balozi Dkt.Habibu Kambanga, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 16-4-2025 na (kushoto ) Balozi wa Tanzania Nchini Sweden Mhe. Balozi Mahole Matinya.(Picha na Ikulu) RAIS wa Zanzibar na…

Read More

ZAIDI YA WANANCHI 2500 KIJIJI CHA TUNGAMAA WILAYANI PANGANI KUNUFAIKA NA MRADI WA MAJI

Na Oscar Assenga,Pangani ZAIDI ya Wananchi 2500 wa Kijiji cha Tungamaa wilayani Pangani mkoani Tanga watanufaika na mradi wa Maji baada ya Serikali kutekeleza mradi katika eneo hilo uliogharimu kiasi cha Milioni 500 kupitia Wakala wa Maji Vijijini (RUWASA)Akizungumza wakati akizindua mradi huo ambao umetekelezwa kwa muda mfupi kwa kutumia Force Akaunti, kwa niaba ya…

Read More