Timu ya taifa ya Futsal kuanza na Madagascar

ALHAMISI wiki hii Timu ya Taifa ya Wanawake ya Futsal  itashuka Uwanja wa Salle Moulay Abdellah jijini Rabat, Morocco kwenye mchezo wa kwanza wa makundi dhidi ya Madagascar kuwania kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika la Futsal kwa Wanawake mwaka huu. Mashindano hayo yaliyoandaliwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) yatafanyika Morocco kuanzia…

Read More

Twiga Stars kuanza na Madagascar Futsal

ALHAMISI hii Timu ya Taifa ya Wanawake ‘Twiga Stars’ itashuka Uwanja wa Salle Moulay Abdellah jijini Rabat, Morocco kwenye mchezo wa kwanza wa makundi dhidi ya Madagascar kuwania kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika la Futsal kwa Wanawake mwaka huu. Mashindano hayo yaliyoandaliwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) yatafanyika Morocco kuanzia Aprili…

Read More

Simbu mzigoni Boston Marathon leo

Mwanariadha wa kimataifa wa Tanzania, Alphonce Simbu amesema amejiandaa vyema kushinda mbio za Boston Marathon zitakazofanyika leo Jumatatu jijini Boston, Marekani. Mbio hizo zitaanza ya saa 11 jioni kwa saa za Afrika Mashariki ambapo Simbu ana medali kadhaa ikiwemo ya shaba ya mashindano ya dunia ambayo yalifanyika London, Uingereza, 2017 pamoja na ya fedha ya…

Read More

Julio akwepa Play-Off Kiluvya United

KOCHA wa Kiluvya United, Julio Elieza amesema hataki kuiona timu hiyo ikiwa katika presha ya kumaliza katika nafasi ya kucheza mtoano (play-offs), ingawa malengo aliyopewa ni kuhakikisha kikosi hicho kinabakia Ligi ya Championship kwa msimu ujao. Akizungumza na Mwanaspoti jijini Dar es Salaam, Julio alisema gepu la pointi lililopo na washindani wao waliokuwa chini linaonyesha…

Read More

Hali ya beki wa zamani Mtibwa Sugar inasikitisha

UNAMKUMBUKA beki wa kimataifa wa zamani wa Tanzania aliyewahi kuwika na Mtibwa Sugar kabla ya kwenda Kenya kujiunga na Sofapaka na kisha AFC Leopards, Idrisa Rajabu? Beki huyo wa pembeni aliyekuwa sehemu ya kikosi cha Mtibwa kilichobeba Kombe la Tusker 2008 na mmoja ya wachezaji waliokuwa tegemeo wa timu ya taifa, Taifa Stars kwa sasa…

Read More

Moto wa Jonathan Sowah si mchezo Bara

MABAO mawili aliyofunga mshambuliaji wa Singida Black Stars, Jonathan Sowah katika ushindi wa timu hiyo wa 3-0 dhidi ya Tabora United, yamemfanya kutishia upya ufalme wa washambuliaji wa Yanga, Prince Dube na Clement Mzize kwenye vita ya ufungaji. Mshambuliaji huyo raia wa Ghana, tangu ajiunge na kikosi hicho dirisha dogo la Januari mwaka huu, amefunga…

Read More

Lusajo Mwaikenda hashikiki kwa mabao

BEKI wa Azam FC, Lusajo Mwaikenda amevunja rekodi ya msimu uliopita ya mabeki waliofunga mabao mengi zaidi katika Ligi Kuu, baada ya nyota huyo kufunga moja na kufikisha matano katika ushindi wa kikosi hicho wa 4-2, dhidi ya Kagera Sugar. Lusajo alifunga bao hilo dakika ya 42, akiunganisha kwa kichwa kona iliyopigwa na Abdul Suleiman…

Read More

Papa Francis afariki dunia | Mwananchi

Dar es Salaam. Papa Francis amefariki dunia leo Jumatatu ya Pasaka, Aprili 21, 2025 akiwa na umri wa miaka 88. Kwa mujibu wa mtandao wa kijamii wa Vatican News, Papa Francis amefariki dunia akiwa katika makazi yake kwenye nyumba ya Mtakatifu Marta. Kiongozi huyu wa Kanisa Katoliki na kiongozi wa Vatican, alizaliwa Desemba 17, 1936…

Read More