Waliofariki ajalini Iringa kuagwa kesho

Mafinga. Miili ya watu sita kati ya saba waliofariki dunia katika ajali ya gari la kubebea wagonjwa lililogongana na pikipiki ya magurudumu matatu, maarufu ‘Guta’ inatarajiwa kuagwa kesho Jumatatu Aprili 21, 2025. Inaagwa miili sita, kwa sababu mmoja tayari umeshatambuliwa na kuchukuliwa na ndugu zake. Ajali hiyo ilitokea Aprili 19, 2025, saa 12:30 asubuhi katika…

Read More

BALOZI MATINYI AAHIDI KUITANGAZA TANZANIA KIMATAIFA

Na Khadija Kalili BALOZI wa Tanzania nchini Sweden, Mhe. Mobhare Matinyi, amesema kuwa atatumia uzoefu alioupata katika kazi yake ya uandishi wa habari kutafuta taarifa na kung’amua mbinu za kuvutia watalii wengi kama ilivyo katika nchi hiyo ambayo inavutiwa na kutembelewa na watalii wengi. “Nitakapofika katika nchi hizo tisa katika eneo langu la uwakilishi nitahakikisha…

Read More

MALIASILI SC YAIBURUZA TAMISEMI 2-1

……. Na Sixmund Begashe Timu ya Wanawake ya mchezo wa kuvuta kamba ya MNRT Sports Club ya Wizara ya Maliasili na Utalii, imeiburuza vikali 2-1 timu ya TAMISEMI wanawake katika mchezo wa marudiano uliofanyika leo Mkoani Singida kwenye mashindano ya Maadhimisho ya Siku ya wafanyakazi Duniani (MEI MOSI 2025). Wakizungumzia michezo hiyo inayoshika kasi Mjini…

Read More

Askofu Shoo ataka mambo manne kuelekea uchaguzi Mkuu

Moshi. Mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Fredrick Shoo amesisitiza maridhiano, uchaguzi huru na haki na uamuzi wa wananchi katika uchaguzi kuheshimiwa. Mbali na hayo, amewataka polisi kuepuka kutumiwa vibaya na watu wasioitakia mema nchi na Watanzania kupenda nchi yao, wakiwa na hofu ya Mungu ili Tanzania…

Read More

WBDL kitawaka, timu tano kupambana

MCHUANO kwa timu za wanawake utakuwa kwa klabu tano kati ya timu 11 zinazoshiriki Ligi ya Kikapu ya Wanawake Mkoa wa Dar es Salaam (WBDL). Mchuano huo unatokana na maandalizi ya timu hizo pamoja na ubora wa wachezaji zilionao. Timu hizo ni Jeshi Stars, Tausi Royals, JKT Stars, Vijana Queens na ile mpya ya The…

Read More

Amani ya kweli haiji bila haki- Askofu Chambala

Unguja. Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Kiteto, Isaya Chambala amesema amani ya kweli haiji bila haki, huku akiwataka viongozi wanapohubiri amani kukumbuka kutenda haki. Askofu Chambala amesema hayo leo Aprili 20, 2025 katika mahubiri wakati wa ibada ya Sikukuu ya Pasaka katika Kanisa la Anglikana Mkunazini, Unguja. “Amani ya kweli haiji bila haki,…

Read More

MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI IBADA YA SIKUKUU YA PASAKA

……………… Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ametoa rai kwa wazazi hususani wakinamama kuwaongoza watoto wao hasa vijana kuacha tabia ya kushabikia vurugu wakati wa kampeni na Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwaka huu. Makamu wa Rais ametoa rai hiyo mara baada ya kushiriki Ibada ya Sikukuu ya Pasaka katika…

Read More

Wakazi Kibirizi wataka kukarabatiwa daraja lililofunikwa maji

Kigoma. Wakazi wa Kibirizi mkoani hapa wameitaka Serikali ifanye ukarabati wa daraja lililofunikwa na maji yaliyosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha, kwa kuwa wanashindwa kumudu gharama za kupita njia mbadala kufika katika shughuli zao. Daraja hilo lililokuwa likitumiwa na watembea kwa miguu, pikipiki, bajaji na magari kwa sasa limefunikwa na maji baada ya mvua zilizonyesha mwanzoni…

Read More