HOSPITALI YA AGA KHAN KUMENUKA MTEJA ALIDAI BILIONI 1.2 KWA KUSABABISHA MTOTO KUKATWA MGUU KWA UZEMBE,MAHAKAMA YASEMA KESI IPO KUUNGURUMA MWISHO WA MWEZI !
Na Joseph Ngilisho -DAR ES SALAAM MKAZI wa Msongola wilaya ya Ilala Jijini Dar es Salaam, Ally Mkii amefungua mashtaka ya madai dhidi ya hospitali ya Aga Khan iliyopo Jijini humo akitaka imlipe kiasi cha shilingi bilioni 1.2 kama fidia iliyotokana na uzembe wa hospitali hiyo na kusababisha mtoto wake kumkata mguu na hivyo kuwa…