HOSPITALI YA AGA KHAN KUMENUKA MTEJA ALIDAI BILIONI 1.2 KWA KUSABABISHA MTOTO KUKATWA MGUU KWA UZEMBE,MAHAKAMA YASEMA KESI IPO KUUNGURUMA MWISHO WA MWEZI !

 Na Joseph Ngilisho -DAR ES SALAAM  MKAZI wa Msongola wilaya ya Ilala Jijini Dar es Salaam, Ally Mkii amefungua mashtaka ya madai dhidi ya hospitali ya Aga Khan iliyopo Jijini humo akitaka imlipe kiasi cha  shilingi bilioni 1.2 kama fidia iliyotokana na uzembe wa hospitali hiyo na kusababisha  mtoto wake  kumkata mguu na hivyo kuwa…

Read More

Askofu Malasusa awaita kanisani watia nia uchaguzi mkuu

Dar es Salaam. Wakati vyama vya siasa vikiendelea na maandalizi kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu, Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Alex Malalusa amewafungulia milango watia nia kwenda kanisani kuombewa. Akizungumza leo Aprili 20, 2025 katika Usharika wa Azania Front wakati wa ibada ya Pasaka, amesema kanisa…

Read More

Askofu Mwaikali: Hakuna mbadala wa Tanzania

Mbeya. Askofu wa Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki (KKAM) Nyanda za Juu Kusini, Dk Edward Mwaikali amesema muda wa kuliombea Taifa kuendelea kuwa salama ni sasa kutokana na tukio kubwa la uchaguzi mkuu linalotarajiwa kufanyika mwaka huu. Amewaomba Wakristo, wakiwamo waumini wa Usharika wa Ruanda, jijini Mbeya kujitokeza kwa wingi kuchukua fomu kugombea urais, ubunge…

Read More

Watu 12,000 wahofiwa kuugua himofilia

Zanzibar. Kati ya watu 6,000 hadi 12,000, wanahofiwa kuugua ugonjwa wa himofilia nchini huku idadi ya waliogundulika kuwa na ugonjwa huo ni 451 pekee, hadi sasa. Kwa mujibu wa Waziri wa Afya wa Zanzibar, Nassor Ahmed Mazrui, kati ya watu 10, mmoja anadaiwa kuugua ugonjwa huo, huku asilimia 97 ya wagonjwa hawajagundulika. Mazrui ameyasema hayo…

Read More

Dk Mpango atoa ujumbe wa Pasaka, Uchaguzi Mkuu

Dodoma. Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Philip Mpango ametoa rai kwa wazazi hususan wakinamama kuwaongoza watoto wao hasa vijana, kuacha tabia ya kushabikia vurugu wakati wa kampeni na Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwaka huu. Dk Mpango ametoa rai hiyo baada ya kushiriki ibada ya Sikukuu ya Pasaka leo Jumapili, Aprili 20, 2025 katika Kanisa Katoliki…

Read More

CAG abaini kasoro lukuki mashine za EFD

Mwanza. Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere amesema Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) haikusimamia ipasavyo matumizi ya mashine za kodi za kielektroniki (EFD), katika kufuatilia mauzo na bidhaa hivyo kushindwa kuhakikisha utii wa kodi na ukusanyaji wa mapato. Katika Ripoti ya Ukaguzi wa Utendaji kuhusu Usimamizi wa Mashine za Kielektroniki…

Read More

Ripoti Hamdi yashusha wanne Yanga

MIKAKATI ya kukiimarisha kikosi cha Yanga kwa ajili ya msimu ujao, imeanza mapema kwa kocha wa timu hiyo, Hamdi Miloud kuwasilisha ripoti ya usajili ambayo ameainisha nyota wanne anaowataka. Yanga ambayo Jumatatu hii itakuwa Manyara kucheza na Fountain Gate mechi ya Ligi Kuu Bara, inapambana kubeba ubingwa wa michuano hiyo kwa msimu wa nne mfululizo….

Read More

Mkude apata watetezi Yanga | Mwanaspoti

WAKATI mashabiki wakijiuliza kitu gani kimemkuta kiungo mkabaji mzoefu wa Yanga, Jonas Mkude aliyewahi kuwika kwa karibu miaka 10 mfululizo akiwa na Simba, wachezaji wakongwe waliowahi kukipiga Simba, Yanga na Taifa Stars wameibuka na kumkingia kifua wakisema jamaa bado wamo sana. Mkude aliyesajiliwa Yanga msimu uliopita baada ya kumaliza mkataba Simba, amekuwa hana uhakika wa…

Read More

Wakongwe kikapu kazi wanayo BDL

WAKATI Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), ikitangazwa kuchezwa mzunguko mmoja, huenda baadhi ya timu kongwe mfumo huo ukazifanya ziwe na wakati mgumu mara itakapoanza. Ligi hiyo imekuwa ikifanyika katika mizunguko miwili kila mwaka, lakini ile ya mwaka huu itafanyika mzunguko mmoja. Ugumu wa timu hizo unatokana na kasumba ziliyojiwekea ya kucheza…

Read More