TAKUKURU TANGA YAOKOA FEDHA ZA SERIKALI MILIONI 76,048,459.1

Na Oscar Assenga,TANGA.  TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imefanikiwa kuokoa kiasi cha Milioni 76,048,459.1 baada ya kuwafikisha mahakamani waliokuwa watumishi wa umma kwa tuhuma za ubadhirifu na ufujaji wa Fedha za Umma katika wilaya za Kilindi, Korogwe na Tanga Jiji. Tuhuma ambazo zilikuwa zinawakabili ni kutokuwasilisha fedha ambazo ni mapato ya Serikali…

Read More

Ahmed Ally ampa Chasambi ujumbe mzito

Meneja habari na mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally amemtaka winga Ladack Chasambi asivurugwe na bao alilojifunga kwenye mchezo dhidi ya Fountain Gate, leo Februari 6, 2025. Winga huyo alijifunga bao hilo baada ya mpira mrefu aliourudisha kushindwa kuokolewa na kipa Moussa Camara na kufanya matokeo ya mchezo huo kuwa bao 1-1. Ahmed Ally amesema kuwa…

Read More

Aunganishwa na kaka yake kesi ya kughushi wosia

Dar es Salaam. Mkazi wa Jiji la Dar es Salaam, Nargis Omar(70) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu mashtaka mawili ya kughushi wasio wa mama yake. Nargis anadaiwa kughushi wosia wa marehemu mama yake mzazi kisha kujipatia nyumba kinyume cha sheria. Mshtakiwa huyo amefikishwa  mahakamani hapo leo, Alhamisi Februari 6, 2025 na kusomewa…

Read More

Wataalamu wafunguka ishu ya kadi Fountain gate vs Simba

KOCHA Fadlu Davids ameshindwa kuifikia rekodi ya Patrick Aussems ya kushinda mechi 11 mfululizo za Ligi Kuu baada ya jioni ya jana kulazimishwa sare ya 1-1 na Fountain Gate iliyomaliza pungufu baada ya kipa John Noble kutolewa kwa kadi nyekundu na mwamuzi Abel William kutoka Arusha. Fadlu aliyetua Msimbazi msimu huu aliiongoza Simba kushinda mechi…

Read More