Askofu Sangu: Ufisadi, dhuluma ni matendo ya giza

Shinyanga. Askofu wa Jimbo Katoliki la Shinyanga, Liberatus Sangu amewataka waumini wa dini ya Kikristo kusherehekea Pasaka kwa matendo yenye nuru sio giza ili waweze kufufuka na Yesu Kristo. Akizungumza kwenye misa ya mkesha wa Pasaka jana Jumamosi, Aprili 19, 2025  iliyofanyika Parokia ya Mama Mwenye Huruma iliyopo Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga amesema: “Kifo…

Read More

Umuhimu wa kumfunza mwanao usimamizi wa fedha

Katika ulimwengu wa sasa wa mabadiliko ya haraka ya kiuchumi na kijamii, mafunzo ya usimamizi wa fedha kwa watoto yamekuwa jambo la msingi sana linalohitaji kupewa kipaumbele na wazazi, walimu pamoja na jamii kwa ujumla. Hii ni kwa sababu watoto wa leo ndio viongozi wa kesho, na ili waweze kufanya uamuzi wa kifedha kwa ufanisi,…

Read More

MAHUBIRI: Kufufuka Yesu ndio msingi wa imani ya Kikristo

Bwana Yesu asifiwe! Leo tukiwa tunaadhimisha Sikukuu ya Pasaka inayomaanisha kufufuka kwa Bwana Yesu kutoka kaburini, natamani uyafahamu mambo ya msingi kuhusiana na ufufuko huu ili kumwezesha kila mmoja kufaidika na uhalisia wa tukio hili. Ukristo umezaliwa kupitia Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye ni mwanzilishi pekee wa imani ambaye alikufa na hakubaki kaburini, maana alifufuka…

Read More

Hizi ndizo sifa wanazotaka wanaume kwa wanawake

Katika uhusiano wa mapenzi, kuna sifa zinazomfanya mwanamke awe wa kipekee na kuvutia mwanaume. Ingawa kila mwanaume ana vigezo vyake, kuna tabia za kimsingi ambazo kwa ujumla huongeza mvuto wa mwanamke na kuimarisha uhusiano wake na mpenzi wake. Tuone baadhi ya sifa hizo. Mwanaume huvutiwa na mwanamke anayetoa mazingira ya utulivu na amani. Mwanamke asiye…

Read More

‘Wakristo ishini kama mlivyoishi kipindi cha Kwaresma’

Dar es Salaam. Askofu wa Jimbo Katoliki teule la Bagamoyo, Stephano Musomba amesema kila muamini anapaswa kuwa mmishionari katika kutangaza mema na ukuu wa Mungu. Sambamba na hilo, amesisitiza kutoacha aina ya maisha Wakristo Wakatoliki waliyaishi katika kipindi chote cha mfungo wa Kwaresma. Amesema hayo wakati akihubiri katika ibada ya mkesha wa Sikukuu ya Pasaka…

Read More

Simba v Stellenbosch hatari ipo hapa

UNAKUMBUKA mwaka 1993 wakati Simba inacheza fainali ya Kombe la CAF ambalo baadaye 2004 likaunganishwa na Kombe la Washindi kisha kuzaliwa Kombe la Shirikisho Afrika? Basi kwa kukukumbusha tu ni kwamba kabla ya mechi ya nusu fainali dhidi ya Atlético Sport Aviação, hali ilikuwa kama hivi ambavyo Jumapili hii Simba wanakwenda kucheza dhidi ya Stellenbosch….

Read More

Anthony Komu arejea Chadema, Heche amtambulisha rasmi

Dar es Salaam. Aliyekuwa Mbunge wa Moshi Vijijini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Anthony Komu, amerejea kwenye chama hicho baada ya kuhamia NCCR-Mageuzi. Itakumbukwa kuwa Komu alikuwa miongoni mwa makada wa Chadema walioingia kwenye mzozo, na kusababisha ahojiwe kabla ya kujiondoa. Komu ametambulishwa leo, Aprili 19, 2025, na Makamu Mwenyekiti wa Chadema-Bara, John…

Read More