Askofu Sangu: Ufisadi, dhuluma ni matendo ya giza
Shinyanga. Askofu wa Jimbo Katoliki la Shinyanga, Liberatus Sangu amewataka waumini wa dini ya Kikristo kusherehekea Pasaka kwa matendo yenye nuru sio giza ili waweze kufufuka na Yesu Kristo. Akizungumza kwenye misa ya mkesha wa Pasaka jana Jumamosi, Aprili 19, 2025 iliyofanyika Parokia ya Mama Mwenye Huruma iliyopo Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga amesema: “Kifo…