ACT Wazalendo kushiriki uchaguzi, waeleza sababu

Unguja. Kamati ya Uongozi ya ACT Wazalendo imeridhia kwa kauli moja kwamba chama hicho kishiriki uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025 huku kikitaja sababu tatu ikiwamo ya kupigania mabadiliko katika mifumo ya uchaguzi. Uamuzi huo umefanyika jana Aprili 15, 2025 mjini Unguja, Zanzibar katika kikao cha Kamati ya Uongozi kilichokaa na kupitisha uamuzi huo utakaokiwezesha chama…

Read More

Mwanafunzi matatani kwa kujifungua mtoto na kumtupa chooni

Rukwa. Jeshi la Polisi mkoani Rukwa linaendelea kufanya uchunguzi wa kina kuhusu tukio linalomhusisha mwanafunzi wa kidato cha nne, Julitha Saimon (18) siyo jina lake sahihi, kutoka Shule ya Sekondari Nkasi, ambaye alijifungua na kisha kumtupa mtoto chooni. Akizungumzia tukio hilo leo Jumatano Aprili 16, 2025, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Rukwa, Shadrack Masija…

Read More

MILIONI 431 ZAWAGUSA WANANCHI WALIOKUWA TAABANI CHATO

Mkuu wa wilaya ya Chato,Louis Bura(katikati) akizungumza na wananchi wa Kibumba. Tenki la maji safi na salama katika mradi wa kisima Kibumba. Meneja wa Ruwasa wilaya ya Chato,Avitus Exavery,akizungumza na waandishi wa habari. Mkuu wa wilaya ya Chato,Louis Bura(wa kwanza kulia) akikagua chanzo cha maji katika mradi wa Kibumba,wa mwisho Kushoto ni Meneja wa Ruwasa,Avitus…

Read More

Mchengerwa ataja vipaumbele sita maboresho Dart

Dar es Salaam. Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (Dart), katika mwaka wa fedha 2025/26, unatarajiwa kukamilisha ununuzi wa mtoa huduma kwa njia ya ubia kati ya sekta ya umma na binafsi katika awamu ya pili ya mradi huo. Sambamba na hilo, wakala huo maarufu ‘mradi wa mwendokasi’ unatarajia kukamilisha ufungamanishaji wa mfumo…

Read More

Wataalamu kujadili teknolojia matibabu vidonda vya tumbo

Dar es Salaam. Ikiwa ni hatua ya kuelekea kuboresha matibabu ya vidonda vya tumbo, wataalamu wa magonjwa ya mfumo wa chakula wanatarajia kukutana kwenye kongamano la kisayansi litakalofanyika Mei 24, 2025, katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam. Kwa sasa matibabu ya vidonda vya tumbo yanahusisha vipimo vya haja kubwa na damu kwa…

Read More

TAMISEMI YAOMBA TRILIONI 11.78 BAJETI 2025/2026

OR-TAMISEMI OFISI ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imewasilisha bungeni makadirio ya mapato kwa mwaka 2025/26 yenye takribani Shilingi trilioni 11. 783 kwa ajili ya wizara na taasisi zilizo chini yake. Bajeti hiyo imeongezeka kutoka Shilingi trilioni 10.125 zilizotengwa mwaka 2024/25 hadi kufikia Shilingi trilioni 11.783 na kuwa na ongezeko la…

Read More

VIPAUMBELE 14 VYA TAMISEMI HIVI HAPA – MHE MCHENGERWA

OR TAMISEMI WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema Wizara yake imepanga kutekeleza vipaumbele 14 katika mpango wa bajeti wa mwaka 2025/26. Akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi kwa wizara na taasisi zake kwa mwaka 2025/26, Mhe. Mchengerwa amesema utekelezaji wa mpango wa majeti unazingatia vipaumbele vya kusimamia shughuli za utawala bora,…

Read More

Wakati tovuti za India za Ramsar zinaongezeka, maeneo ya mvua yanabaki hatarini – maswala ya ulimwengu

Mhifadhi wa mazingira Asad Rahmani pamoja na mfanyikazi wa ulinzi wa ardhi ya mvua huko Haigam Wetland huko India Kaskazini. Mikopo: Athar Parvaiz/IPS na Athar Parvaiz (Delhi mpya) Jumatano, Aprili 16, 2025 Huduma ya waandishi wa habari NEW DelHI, Aprili 16 (IPS) – Marehemu mnamo Februari, mtaalam wa mazingira wa India na mtunzaji wa mazingira,…

Read More