
Trump aja na mpya, aahidi kubadili Gaza kuwa bustani ya Paradiso
Kauli ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuchukua eneo la Gaza na kuibadilisha kutoka magofu kuwa bustani ya Paradiso imetajwa kuzua hofu ya kuongeza joto la mgogoro kati ya Palestina na Israel. Kauli za Trump kuhusu suala hilo, ikiwemo kupeleka wanajeshi ikiwa italazimu, zimezua mjadala miongoni mwa wabunge na wachambuzi, wakihofia kwamba zinaweza kuitumbukiza…