Hiki ndicho chanzo wasichana wengi kuvunja ungo mapema

Dar es Salaam. Matukio ya wasichana wenye umri mdogo kupevuka (kuvunja ungo) ni ya kawaida katika miaka ya hivi karibuni. Kutokana na hili, wasiwasi pia umekuwa ukiongezeka miongoni mwa wazazi. Kuna ushuhuda mwingi wa baadhi ya wazazi, wanaosema watoto wao wa kike wamepevuka wakiwa na miaka minane mpaka 12, tofauti na umri sahihi unaotakiwa ambao…

Read More

Mwili wa Mtukufu Aga Khan IV kuzikwa Misri

Mwanza. Mwili wa Mtukufu Aga Khan IV aliyekuwa Imamu wa 49 wa Madhehebu ya Shia Ismailia na mwanzilishi wa Mtandao wa Maendeleo wa Aga Khan (AKDN), utazikwa Mjini Aswan nchini Misri Jumapili Februari 9, 2025. Mtukufu Aga Khan (88) alifariki dunia Jumanne Februari 4, 2025, jijiji Lisbon, Ureno akiwa amezungukwa na familia yake. Kwa mujibu…

Read More

Safari ya Taasisi za Umma kujiendesha kibiashara

Na Mwandishi wa OMH Serikali ya awamu ya sita chini ya Mhe. Dk. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imedhamiria kufanya mageuzi makubwa kwenye mashirika ya umma kwa kuyafanya yajiendeshe kibiashara. …Na dereva wa safari ya mageuzi hayo ni Ofisi ya Msajili wa Hazina chini ya Bw. Nehemiah Mchechu, ambaye ni…

Read More

TUME YA TEHAMA YASISITIZA UMUHIMU WA ANUANI ZA MAKAZI

Na Mwandishi Wetu, Dodoma TUME ya TEHAMA, imeelezea kufurahishwa na uamuzi wa Serikali wa kuanzisha Maonesho ya Anuani za Makazi ikisema ni jukwaa muhimu la kufikisha elimu juu ya mchango wa anuani katika uchumi wa kidigitali. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Maonesho ya kwanza ya Anuani ya Makazi, Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya TEHAMA, Dkt….

Read More