Blanco apeleka mabao Colombia | Mwanaspoti
ALIYEKUWA mshambuliaji wa Azam FC, Jhonier Blanco amekamilisha uhamisho wake wa kujiunga na timu ya Llaneros ya kwao Colombia, baada ya kutokuwa na timu yoyote tangu alipoachana na wanalambalamba aliowatumikia kwa msimu wa 2024-25. Baada ya kuondoka Azam, mshambuliaji huyo awali ilielezwa angejiunga na timu ya Independiente Santa Fe ya huko kwao Colombia, lakini dili…