Blanco apeleka mabao Colombia | Mwanaspoti

ALIYEKUWA mshambuliaji wa Azam FC, Jhonier Blanco amekamilisha uhamisho wake wa kujiunga na timu ya Llaneros ya kwao Colombia, baada ya kutokuwa na timu yoyote tangu alipoachana na wanalambalamba aliowatumikia kwa msimu wa 2024-25. Baada ya kuondoka Azam, mshambuliaji huyo awali ilielezwa angejiunga na timu ya Independiente Santa Fe ya huko kwao Colombia, lakini dili…

Read More

UNEA-7: Mustakabali wa mazingira duniani, ajenda 11 zikipitishwa

Nairobi. Maazimio 11, maamuzi matatu na tamko moja la mawaziri yanayolenga kuimarisha ustahimilivu wa dunia, yalipitishwa katika mkutano wa mazingira huko Nairobi. Maazimio hayo ya kikao cha saba cha Baraza la Umoja wa Mataifa la Mazingira (UNEA-7) yalihitimishwa Desemba 12, 2025 na mataifa wanachama, wakati Marekani ikipinga ajenda hizo, kwa madai kuwa maamuzi hayo yamepoteza…

Read More

Kipigo cha 6-0 chailiza Bilo Queens

BAADA ya kukubali kichapo cha mabao 6-0 kutoka kwa JKT Queens, kocha wa Bilo Queens, Ibrahim Humba, amesema ugeni wa Ligi Kuu na uzoefu mdogo wa mashindano ni kati ya sababu zilizowaangusha. Bilo Queens ni kati ya timu nne zilizopanda daraja kucheza Ligi Kuu ya Wanawake msimu huu baada ya kufanya vizuri kwenye mashindano ya…

Read More

Waisraeli 11 wauawa katika shambulio Australia

Sydney, Australia. Watu 11 wamefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya shambulio la risasi lililotokea leo Jumapili Desemba 14, 2025, katika ufukwe wa Bondi, mashariki mwa Jiji la Sydney nchini Australia. Taarifa ya polisi wa Jimbo la New South Wales zinaeleza kuwa tukio hilo limetokea wakati watu walipokuwa wamekusanyika kusherehekea sikukuu ya Hanukkah (Chanukah),…

Read More

Bilioni 53 kujenga miradi 57 Manispaa Kigoma Ujiji

Kigoma. Zaidi ya Sh53 bilioni zimetarajiwa kutumika katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya kimkakati katika Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji. Hayo yamebainishwa leo, Desemba 14, 2025, na Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Kisena Mabuba, wakati wa ziara ya waandishi wa habari ya kukagua baadhi ya miradi inayotekelezwa na manispaa hiyo. Amesema kuwa jumla ya miradi…

Read More

Zambia kuendelea kushirikiana na Tanzania kiuchukuzi

Dar es Salaam. Zambia imesema itaendelea kuwa mdau muhimu wa sekta ya usafiri na uchukuzi nchini Tanzania, ikibainisha kuwa  ushirikiano kati ya nchi hizo mbili umeleta matokeo chanya kiuchumi kwa wananchi wake na katika ukanda wa kusini mwa Afrika. Hayo yameelezwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi ya Zambia, Fredrick Mwalusaka wakati wa uzinduzi…

Read More

Ramadhan Chomelo kutimkia Depsas Enerji

KUNA asilimia kubwa kwa kiungo mshambuliaji wa zamani wa Konya Amputee inayoshiriki Ligi Kuu ya Walemavu Uturuki, Ramadhan Chomelo akatimkia Depsas Enerji ya nchini humo. Kama atafanikiwa kukamilisha uhamisho huo basi inaweza kuwa msimu wake wa nne mfululizo kuitumikia Ligi ya Uturuki akiujiunga nayo msimu wa 2022 alipotokea Tanzania. Chanzo cha kuaminika kililiambia Mwanaspoti kuwa…

Read More

Mtanzania mwingine atimka Dispas | Mwanaspoti

WINGA Mtanzania, Kassim Mbarouk aliyeitumikia Sauti Parasports amejiunga na Dispas SC ya Uturuki kwa mkataba wa mwaka mmoja. Mbarouk anakuwa mchezaji wa nne kutoka Tanzania kujiunga na Ligi ya Walemavu nchini Uturuki baada ya Ramadhan Chomelo, Shedrack Hebron (Sisli Yeditepe) na Mudrick Mohamed wa Mersin. Akizungumza na Mwanaspoti Mbarouk amesema alipata dili hilo akiwa na…

Read More