Nafasi ya Kuondoka na Ushindi Iko Hapa

BAADA ya kushuhudia mechi kibao za ligi wikendi zikichuana vikali, sasa ni zamu ya kutusua kijanja na Meridianbet siku ya Jumatatu. Timu kibao zipo uwanjani leo. Je beti yako unaiweka wapi leo? EPL pale Uingereza kuendelea kwa mechi moja kali kabisa kati ya Newcastle United vs Liverpool ya Arne Slot. Meridianbet wanampa Liver nafasi kubwa…

Read More

BASHUNGWA ACHUKUA FOMU KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KARAGWE.

::::::: Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Karagwe, Ndugu Alloys Simba Maira, amemkabidhi fomu ya uteuzi wa kugombea nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Karagwe kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Innocent Bashungwa, leo tarehe 25 Agosti 2025 katika Ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jimbo la Karagwe mkoani Kagera. Makabidhiano hayo ni sehemu…

Read More

ELIMU YA WATU WAZIMA NI ZANA YA MAENDELEO ENDELEVU

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza, kwenye kongamano la kilele cha maadhimisho ya miaka 50 ya Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima yaliyofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, Agosti 25.2025. (Pichana Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizindua mfumo wa kupata taarifa kuhusu elimu ya watu…

Read More

WAZIRI DKT. GWAJIMA AZINDUA MRADI WA KUSAIDIA WATOTO WANAOISHI NA KUFANYA KAZI MTAANI (Children in Street Situation (CiSS))

………………………. Na WMJJWM-Dar Es Salaam  Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amezindua mradi wa kuwasaidia watoto wanaoishi na kufanya kazi mtaani (Children in Street Situation (CiSS) utaotekelezwa katika mikoa ya Dar Es Salaam, Dodoma na Mwanza wenye lengo la kupunguza kuwapatia elimu, ujuzi na stadi mbalimbali kwa…

Read More

Askofu mstaafu KKKT Kaskazini, Dk Shao afariki dunia

Moshi. Askofu mstaafu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Martin Shao amefariki dunia leo Jumatatu, Agosti 25, 2025 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya kanda ya kaskazini (KCMC), Mjini Moshi. Dk Shao amehudumu kama Askofu wa Dayosisi ya Kaskazini kuanzia mwaka 2004 hadi 2014 alipostaafu na…

Read More

Vodacom inavyojivunia mafanikio ya ESG

Dar es Salaam. Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania imeeleza mafanikio yake kupitia mfumo wa jumuishi wa Mazingira, Kijamii na Utawala (ESG) unaozinduliwa kesho Jumanne, Agosti 26, 2025, huku ikisisitiza kukuza ujumuishi wa kidijitali na kufanya biashara kwa uwajibikaji. Kwa mujibu wa kampuni hiyo, inayohudumia wateja milioni 22.6 nchini na zaidi ya milioni 211 barani Afrika,…

Read More

ILO yataka mkazo ajira zenye staha Tanzania

Dar es Salaam. Shirika la Kazi Duniani (ILO), limesema katika utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya Taifa ya 2050, ni muhimu Tanzania iweke kipaumbele katika ajira zenye staha kwa kuwa ndiyo msingi wa amani na utulivu wa jamii. Hayo yameelezwa jijini Dar es Salaam leo, Agosti 25, 2025 na Mkurugenzi wa ILO Kanda ya Afrika…

Read More