TUMIENI MIKOPO INAYOTOLEWA NA SERIKALI KUJIENDELEZA KIUCHUMI

Na WMJJWMM, Tarime – Mara Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Felister Mdemu amewaasa wananchi kutumia mikopo inayotolewa na Serikali ili kujikwamua kiuchumi kwa maendeleo ya familia zao na jamii inayowazunguka. Felister ameyasema hayo Aprili 15, 2025  kwenye mkutano na wakazi wa Kata ya Susuni, Bumera, Mwema na…

Read More

INEC yajibu madai ya Chadema kanuni za uchaguzi

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Jaji Jacobs Mwambegele amesema kilichozungumzwa na tume hiyo ni tafsiri yao na kama Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wanatafsiri tofauti basi mtafsiri wa mwisho wa mambo hayo ni mahakama. Kauli ya Jaji Mwambegele imekuja baada ya Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Dk Rugemeleza Nshala…

Read More

Nafasi ya Afrika, wanawake kiti cha Katibu Mkuu wa UN

Mchakato wa kumtafuta Katibu Mkuu mpya wa Umoja wa Mataifa (UN), unaotarajiwa kukamilika mwaka 2026, tayari umeanza. Kwa kuwa tuliadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake Machi 8, 2025, ulikuwa ni wakati mwafaka kutafakari juu ya ukweli kwamba katika kipindi cha miaka 80 ya uwepo wa Umoja wa Mataifa, hakuna mwanamke aliyewahi kuongoza taasisi hiyo kubwa…

Read More

WAZIRI MKUU AELEKEA SOMANGA

***** Waziri Mkuu Kassim Majaliwa asubuhi Hii Aprili 16, 2025 amewasili eneo la Somanga kukagua Miundombinu ya barabara kuu ya Dar es Salaam-Lindi ambayo imeathiriwa na mvua zinazoendelea kunyesha nchini. Mheshimiwa Waziri Mkuu ameambatana na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Stegomena Tax pamoja na Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega.  

Read More

MIRADI YA MAJI KUWEZESHA KUINUA UCHUMI MALINYI

FARIDA MANGUBE, MOROGORO Wakazi zaidi ya 12,000 wa vijiji vya Alabama na Mizani, Wilaya ya Malinyi, wameondokana na adha ya upatikanaji wa maji safi na salama kufuatia kukamilika kwa Mradi wa Maji wa Mizani-Itete, unaotekelezwa na Serikali kupitia Wakala wa Maji Safi na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA). Mradi huo ni miongoni mwa miradi iliyozinduliwa…

Read More