Israel yadai kumuua kiongozi mwandamizi wa Hamas, jeshi laizingira Gaza
Gaza. Jeshi la Israel (IDF) limedai kuwa kiongozi Mwandamizi wa Hamas ameuawa katika operesheni ya pamoja na Shirika la Kijasusi la Israel (Shin Bet). Kupitia chapisho lake kwenye mitandao ya kijamii, IDF imeeleza kuwa msaidizi huyo wa Kamanda wa Brigedi ya Gaza ya Hamas aliuawa siku kadhaa zilizopita katika shambulio mjini Gaza nchini Palestina. Al…