Mtoto wa Zuma kortini akituhumiwa kuchochea ghasia

Durban. Duduzile Zuma-Sambudla, binti wa Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, amefikishwa mahakamani leo Alhamisi Februari 6, 2025 baada ya kushtakiwa kwa kuchochea vurugu wakati wa ghasia za mwaka 2021 ambapo zaidi ya watu 300 waliuawa. Wakili wa Zuma-Sambudla amesema amekana mashitaka hayo. Waendesha mashtaka wanadai kuwa Zuma-Sambudla alichochea watu wengine kufanya vurugu…

Read More

Tehama yawezesha kufungua kesi bila kufika mahakamani

Morogoro. Matumizi ya Tehema katika mahakama nchini yamerahisisha ufunguaji wa kesi ambapo mlalamikaji anaweza kufungua kesi bila kulazimika kufika mahakamani wala kuonana na karani. Pia, Tehema imewezesha kupunguza vitendo vya rushwa na malalamiko ya ucheweshaji wa kesi. Hayo yamesemwa leo Februari 6, 2025 mkoani Morogoro na Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Profesa Elisante Ole…

Read More

Kipigo chamzindua Mgunda | Mwanaspoti

KIPIGO cha mabao 2-1 ilichopewa Namungo kutoka kwa Tabora United, kimemuamsha Kocha Juma Mgunda aliyesema ameona mwanga ambao akirekebisha kidogo tu mambo yatakuwa matamu kwa Wauaji hao wa Kusini. Namungo ilipokea kipigo hicho ikiwa ugenini kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, mjini Tabora huku ikitangulia kupata bao la mapema kupitia nahodha wake, Jacob Massawe kabla…

Read More

Nyumba 100 pembezoni hatarini kusombwa Bahari ya Hindi

Unguja. Takirban nyumba 100 zilizo pembezoni mwa Bahari ya Hindi kwenye Kijiji cha Nungwi Wilaya ya Kaskazini ziko hatarini kwa kusogelewa na bahari na wameiomba Serikali kuwanusuru na hatari hiyo. Wakizungumza na Mwananchi digital kwa nyakati tofauti leo Februari 6, 2025, wakazi wa eneo hilo lililopo Mkoa wa Kaskazini Unguja wamesama hali hiyo inatokana na…

Read More

Mauya: Uzoefu mdogo umetuponza | Mwanaspoti

KIUNGO wa KenGold, Zawadi Mauya amesema kucheza na timu kongwe kama Yanga inahitaji ukomavu wa akili na uzoefu wa kutosha wa kuwa na uwezo wa kufanya maamuzi sahihi, kitu ambacho juzi hawakuwa nacho na kujikuta wakifumuliwa mabao 6-1 kwenye Uwanja wa KMC Complex. KenGold iliyofanya usajili wa kishindo dirisha dogo ilifungwa mabao hayo ukiwa ni…

Read More

UDOM KUANZISHA PROGRAMU MAALUMU YA UTHIBITISHO UBORA KWA WATAALAMU WA TEHAMA

Chuo Kikuu cha Dodoma kiko mbioni kuanzisha programu ya mafunzo ya Uthibitisho wa Ubora wa Wataalam wa Usalama Mtandaoni (Cybersecurity Professional Certification Program), hatua ambayo ni muhimu kuelekea kuboresha elimu na mafunzo ya usalama wa mtandao, inayotolewa na Chuo Kikuu cha Dodoma, pamoja na kuongeza wigo wa ajira kwa wataalamu wanaozalishwa nchini. Hayo yameelezwa leo…

Read More

Prisons, Pamba Jiji zafanya kweli Ligi Kuu Bara

Timu za Prisons na Pamba Jiji zimeanza vizuri ngwe ya lala salama ya Ligi Kuu Bara baada ya kupata ushindi mchana kwenye viwanja viwili tofauti. Prisons ilikuwa nyumbani jijini hapa na kushinda mabao 2-1 dhidi ya Mashujaa, wakati Pamba ikiwa ugenini iliinyoa Dodoma Jiji kwa bao 1-0 na kuongeza kibubu cha pointi walizonazo katika Ligi…

Read More

Katika Djibouti, wanaharakati kushawishi kumaliza ukeketaji wa kike – maswala ya ulimwengu

“Ninaogopa wanaume, wa kila mtu, wa kila kitu,“Aliiambia Shirika la Afya la Kijinsia na Uzazi la Umoja wa Mataifa (UNFPA). FGM, shughuli ambayo inajumuisha kubadilisha au kujeruhi sehemu ya siri ya kike kwa sababu zisizo za matibabu, inatambuliwa kimataifa kama Ukiukaji wa haki za msingi za binadamu. Ni suala la ulimwengu, lililoripotiwa katika nchi 92…

Read More