Suala la Marekani kusitisha msaada latinga bungeni

Dodoma. Baada ya Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) kutangaza kusitisha utoaji fedha, Serikali imesema inajiimarisha kuhakikisha inakuza uchumi kwa kutumia vyanzo vya fedha na mapato kujazia maeneo yaliyopungua. USAID imetangaza kusitisha utoaji fedha mpya na usambazaji wa fedha chini ya makubaliano ya malengo ya Maendeleo (DOAGs) hadi uhakiki kwa programu za msaada…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Dogo Sabri Kondo akili nyingi

TETESI ambazo tunazo hapa mtaani ni mchezaji bora wa mashindano ya kuwania kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Vijana chini ya umri wa miaka 20 (Afcon U20) kupitia Kanda ya Cecafa, Sabri Kondo anamilikiwa na Singida Black Stars. Hivyo pale Coastal Union ambako ametambulishwa yuko kwa mkopo tu ambao utamalizika mwishoni mwa msimu huu…

Read More

Kiut Bingwa Provincal CUP | Mwanaspoti

KIUT imedhihirisha ubora wake baada ya kuifunga DB Oratory  kwa pointi 72-54 katika fainali ya kombe la Provincial kwenye Uwanja wa Donbosco, Oysterbay. Mashindano hayo ya kombe la Provincial yaliandaliwa na kituo cha Donbosco, Oyster bay, yakishirikisha DB VTC, Don Rua, IFM, Kigamboni Academy, DB Oratory, MUHAS  na KIUT. Katika mchezo huo, KIUT ilidhibiti eneo…

Read More

UCHAMBUZI WA MALOTO: Tujadili upacha wa CCM na wasanii wa Bongo Movie, Bongo Flava

Januari 16, 2025 watu maarufu, hasa wasanii wa makundi yote wakiwamo waigizaji wa filamu na tamthiliya (Bongo Movie), wanamuziki, wachekeshaji, na wenye ushawishi mitandaoni (influencers), walionekana kwenye treni ya SGR. Walikuwa wakitokea Dar es Salaam, kwenda Dodoma, kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), uliofanyika Januari 18 na 19, 2025 kwenye ukumbi wa mikutano…

Read More

Dk Slaa afikisha siku 28 rumande, kesi yake yapigwa kalenda

Dar es Salaam. Serikali imesema upelelezi katika kesi ya kusambaza taarifa za uongo katika Mtandao wa X, inayomkabili wanasiasa mkongwe nchini, Willibrod Slaa (76), bado haujakamilika. Wakili wa Serikali Agness Mtunguja ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Alhamisi Februari 6, 2025 wakati kesi hiyo ilipoitwa kwa ajili ya kutajwa. Mtunguja ametoa maelezo hayo mbele…

Read More

Robo fainali daraja la kwanza, ukizubaa tu unaachwa

UKIZUBAA unaachwa. Ndiyo kinachoenda kutokea kwenye michezo ya robo fainali ya Ligi Daraja la Kwanza Dar es Salaam inayoanza kesho kwenye Uwanja wa Don Bosco, Oysterbay. Kisasi ni cha Chang’ombe Boys kwa Mlimani B.C baada ya kufungwa katika mchezo wa hatua ya makundi kwa pointi 68-57 na zinakutana tena robo fainali. Kocha wa Mlimani, Abbas…

Read More

Tujadili upacha wa CCM na wasanii wa Bongo Movie, Bongo Flava

Januari 16, 2025 watu maarufu, hasa wasanii wa makundi yote – waigizaji wa filamu na tamthiliya (Bongo Movie), wanamuziki, wachekeshaji, vilevile wenye ushawishi mitanadaoni (influencers), walionekana kwenye treni ya SGR. Walikuwa wakitokea Dar es Salaam, kwenda Dodoma, kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), uliofanyika Januari 18 na 19, 2025 kwenye ukumbi wa mikutano…

Read More

Ripoti ya CAG yaondoka na watumishi wa halmashauri 20

Dodoma. Jumla ya watumishi 294, wakiwamo wakurugenzi na waweka hazina wa halmashauri, wamechukuliwa hatua. Miongoni mwa hatua hizo ni pamoja na watumishi 20 kufukuzwa kazi na watano kufungwa jela kufuatia taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya ukaguzi wa mwaka wa fedha 2022/23. Naibu Waziri wa Nchi katika Ofisi ya…

Read More

Madeleka aliamsha sakata la wachezaji Singida Black Stars

Hatimaye sakata la wachezaji watatu nyota wa timu ya Singida Black Stars (SBS) kupewa uraia wa Tanzania, limetinga kortini. Wakili Peter Madeleka amefungua kesi ya kikatiba akidai utoaji huo wa uraia ulikiuka Katiba ya Tanzania. Kesi hiyo ya kikatiba imesajiliwa Mahakama Kuu Masjala ya Dodoma na kupewa namba 2729/2025 na Jaji Evaristo Longopa ndiye ataisikiliza…

Read More