Zelensky amfuta kazi kiongozi wa jeshi Sumy, shambulizi lililoua wanajeshi 60 latajwa
Kiev. Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky amemfukuza kazi Mkuu wa Utawala wa Kijeshi katika Mkoa wa Sumy nchini humo, Vladimir Artyukh. Vladimir Artyukh amefukuzwa kazi kutokana na madai kuwa alipanga hafla ya utoaji tuzo za kijeshi ambayo ililengwa katika shambulio la makombora ya Urusi katika Mkoa wa Sumy nchini humo lililosababisha vifo vya raia zaidi…