Mikakati mipya ya Zipa kuifungua Pemba kiuchumi
Dar es Salaam. Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar (Zipa), imeeleza jitihada inazofanya katika kuvifungua visiwa vya Pemba, ikiwemo kuwa mwenyeji wa kongamano kubwa la uwekezaji litakalofanyika visiwani humo. Hayo yamesemwa leo, Jumanne, Aprili 15, 2025, na Mkurugenzi Mtendaji wa Zipa, Saleh Saad Mohamed, alipotembelea ofisi za Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), zilizopo Tabata, jijini…