Mikakati mipya ya Zipa kuifungua Pemba kiuchumi

Dar es Salaam. Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar (Zipa), imeeleza jitihada inazofanya katika kuvifungua visiwa vya Pemba, ikiwemo kuwa mwenyeji wa kongamano kubwa la uwekezaji litakalofanyika visiwani humo. Hayo yamesemwa leo, Jumanne, Aprili 15, 2025, na Mkurugenzi Mtendaji wa Zipa, Saleh Saad Mohamed, alipotembelea ofisi za Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), zilizopo Tabata, jijini…

Read More

Unaijua Dhahabu Yenye Rangi Nyeusi?

MOJA kati ya vitu vyenye thamani kubwa duniani kwa rasilimali za asili ukiachana na mafuta kuna hii kitu inaitwa dhahabu, Tanzania imejaliwa utajiri huu lakini Meridianbet imekuletea mchezo maalum wa dhahabu tu na malipo yake ni makubwa yenye thamani kama ya mafuta na dhahabu, kucheza na kushinda ni rahisi, soma hapa mbinu za ushindi na…

Read More

Mikakati ya Zipa kuifungua Pemba

Dar es Salaam. Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar (Zipa), imeeleza jitihada inazofanya katika kuvifungua visiwa vya Pemba, ikiwemo kuwa mwenyeji wa kongamano kubwa la uwekezaji litakalofanyika visiwani humo. Hayo yamesemwa leo, Jumanne, Aprili 15, 2025, na Mkurugenzi Mtendaji wa Zipa, Saleh Saad Mohamed, alipotembelea ofisi za Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), zilizopo Tabata, jijini…

Read More

KAZOBA INTERNATIONAL HERBAL PRODUCTS YAWA KIMBILIO LA TIBA ASILI,MAMIA WAHUDUMIWA SERIKALI YAMKUBALI YAMPATIA CHETI CHA KUKUBALI HUDUMA ZAKE

By ngilishonews.com MTAALAMU Maarufu wa Tiba asili nchini , kupitia taasisi yake ya Kazoba International Herbal Products amewashauri  watoa huduma za tiba asili hapa nchini, kusajili huduma zao pamoja na dawa zao kwa kufuata sheria ili kuunga mkono juhudi za serikali. Dkt Kazoba mbali na kutoa huduma hiyo ya Tiba asili pia kupitia taasisi yake…

Read More

RAIS SAMIA KUZINDUA DARAJA LA JP MAGUFULI

****** Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuzindua Daraja la Kigongo Busisi jijini Mwanza mwezi Mei mwaka huu, tayari kwa matumizi ikiwa ni miongoni mwa miradi mikubwa ya kielelezo na ya kimkakati iliyokamilishwa na Serikali ya awamu ya sita ya Rais Samia Suluhu Hassan. Aidha, daraja hilo lenye urefu wa…

Read More

Wawili mbaroni kukutwa na meno ya tembo

Mbeya. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya kwa kushirikiana na Mamlaka ya Usimamizi Wanyamapori Tanzania (Tawa) linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kukutwa na vipande 12 vya meno ya tembo katika Wilaya ya Kyela na Mbarali mkoani Mbeya. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Benjamin Kuzaga leo Jumanne Aprili 15, 2025 akizungumza na waandishi wa…

Read More

SERIKALI KUENDELEA KUCHUKUA HATUA MADHUBUTI KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI- NYONGO

NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Stanslaus Haroon Nyongo (Mb) amesema kuwa Serikali imeendelea kuchukua hatua madhubuti za kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji kwa lengo la kuwawezesha Watanzania na wageni kushiriki kikamilifu katika shughuli za kiuchumi nchini kwa kufanya mapitio ya jumla ya sheria 66 za kisekta. Nyongo ameyasema hayo…

Read More