Kesi ya Dk Slaa kutajwa leo Mahakama ya Kisutu

Dar es Salaam. Kesi ya kusambaza taarifa za uongo kwenye Mtandao wa X inayomkabili wanasiasa mkongwe nchini, Dk Willibrod Slaa (76) itatajwa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam. Dk Slaa anadaiwa  kutenda kosa hilo chini ya kifungu cha 16 cha Sheria ya Makosa ya Mtandao namba 14 ya mwaka 2015….

Read More

Kufunga saa juu ya mabadiliko ya Sudani Kusini, Baraza la Usalama linasikia – Maswala ya Ulimwenguni

Ilisainiwa mnamo 2018 kumaliza miaka ya migogoro, makubaliano ya amani yaliyorekebishwa, hapo awali yaliweka ratiba ya miaka tatu kwa uchaguzi na malezi ya serikali ya kidemokrasia. Mabadiliko hayo yameongezwa mara nne, na alama muhimu za kisiasa, usalama, na utawala zilizobaki hazijatimizwa. Chini ya nyongeza ya hivi karibuni, iliyotangazwa na viongozi mnamo Septemba mwaka jana, uchaguzi…

Read More

 CCM yaomboleza kifo cha Mtukufu Aga Khan IV

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Kiongozi Mkuu wa 49 wa Madhehebu ya Shia Ismailia na mwanzilishi wa Mtandao wa Maendeleo wa Aga Khan (AKDN), Mtukufu Aga Khan IV. Mtukufu Aga Khan amefariki dunia akiwa na miaka 88 Jumanne, Februari 4, 2025 jijiji Lisbon, Ureno akiwa amezungukwa…

Read More

Madenge alivyochomoka kifungo miaka 30 kwa dosari za hukumu

Arusha. Kukosekana kielelezo kuhusu uzito wa bangi na nyaraka za ushahidi kusomwa kwa sauti ya chini kiasi cha mtuhumiwa kushindwa kusikia ni kasoro zilizoifanya Mahakama Kuu Masijala Ndogo ya Dar Es Salaam, kumuachia huru Ally Madenge, aliyekuwa akitumikia kifungo cha miaka 30 jela. Madenge ambaye tayari ametumikia sehemu ya adhabu kwa kukaa jela kwa takriban…

Read More

Sababu marufuku ya matumizi ya mkaa Dar kukwaa kisiki

Dar es Salaam. Licha ya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kuwapiga marufuku wafanyabiashara wa chakula wakiwamo mama na babalishe kutumia kuni na mkaa kupikia, bei kubwa ya gesi na udogo wa majiko vinatajwa kuwa changamoto kwao kutumia nishati hiyo mbadala. Tangazo la jiji pia linawahusu wafanyabiashara wa migahawa na hoteli. Kwa kawaida mama…

Read More

Siri CCM kuendelea kudunda madarakani

Morogoro. Mwanasiasa mkongwe aliyewahi kushika nyadhifa kadhaa za uongozi ndani ya CCM na serikalini, Stephen Mashishanga amesema ili chama hicho kiendelee kushika dola lazima wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi wawe wenye kukubalika na wananchi. Amesema licha ya chama hicho kuendelea kuongoza nchi na kutimiza miaka 48 tangu kuzaliwa kwake, bado kinapaswa kuboresha eneo la…

Read More

Mtanzania abuni teknolojia ya kupika kwa bei chee

Dar es Salaam. Kama ulidhani kuwa kupika kwa umeme ni ghali, huenda ulikosea. Teknolojia mpya iliyozinduliwa na kampuni inayomilikiwa na Watanzania itawawezesha kutumia Sh500 kulipia umeme utakaotosha kupikia kwa siku nzima. Teknolojia hiyo inahusisha matumizi ya sufuria za umeme zinazopika kwa haraka (pressure eCookers), ambazo zina uwezo wa kipekee kuhakikisha kuwa chakula kinakuwa tayari kwa…

Read More

Kibano wanaotumia simu wakiendesha vyombo vya moto

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani limependekeza mabadiliko ya sheria kupiga marufuku matumizi ya simu kwa madereva wanapoendesha vyombo vya moto. Marufuku ya matumizi ya simu na vifaa vingine vya kielektroniki kwa madereva wa magari, pikipiki na bajaji inalenga kudhibiti ajali za barabarani. Akizungumza na Mwananchi Januari 30, 2025, jijini Dar…

Read More