Wachezaji Simba waongezewa mzuka, watangaziwa dau nono

SIMBA inahesabu saa kabla ya kushuka uwanjani kesho Jumapili kukabiliana na Stellenbosch ya Sauzi katika mchezo wa kwanza wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, huku mfadhili wa zamani, Azim Dewji, akiwaongezea mzuka mastaa kwa kutangaza dau kwa kila bao na asisti. Simba itaikabili Stellenbosch kwenye Uwanja wa New Amaan, Zanzibar kuanzia saa 10:00…

Read More

Kugonga usawa endelevu kati ya mifugo na mazingira ni muhimu kwa Africas siku zijazo – maswala ya ulimwengu

Maoni na Daouda Ngom (Dakar, Senegal) Ijumaa, Aprili 18, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Dakar, Senegal, Aprili 18 (IPS) – pr. Daouda Ngom, Waziri wa Mazingira na Mpito wa Ikolojia kwa Senegalin nchi yangu, Senegal, karibu asilimia 70 ya ardhi yetu hutumiwa kulisha mifugo. Hapa na kote Afrika, wachungaji na walindaji wa mifugo huendeleza…

Read More

Straika Stellenbosch aingiwa ubaridi, adai Simba ni hatari

Kwa mara nyingine macho na masikio ya wapenda soka yataelekezwa Zanzibar, Jumapili hii, pale Simba  itakapoumana na Stellenbosch ya Afrika Kusini katika mchezo wa nusu fainali ya kwanza ya  Kombe la Shirikisho Afrika utakaopigwa kwenye Uwanja wa New Amaan Complex. Katika kuelekea mchezo huo mshambuliaji wa Stellenbosch, Andre Ernest de Jong, raia wa New Zealand,…

Read More

JAMII YATAKIWA KUTEMBELEA MAENEO YA MALIKALE

Mhifadhi Mkuu Mambo ya Kale na Mkuu wa Kanda ya Magharibi Makumbusho na Malikale anayesimamia uhifadhi na uendelezaji maeneo ya kusini mwa Tanzania Lindi na Mtwara Revocatus Bugumba akizungumzia  siku ya Kimataifa ya Malikale ambayo hufanyika tar 18 April ya kila mwaka. Mhifadhi Mkuu Mambo ya Kale na Mkuu wa Kanda ya Magharibi Makumbusho na…

Read More

Maaskofu watema nondo kuelekea uchaguzi mkuu

Dar es Salaam/mikoani. Kilio cha haki katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwezi Oktoba, 2025, ni miongoni mwa mambo yaliyochukua nafasi kubwa kutoka kwa viongozi wa dini ya Kikristo nchini, ikiwa ni sehemu ya ujumbe wao katika mahubiri ya Ibada ya Ijumaa Kuu. Wameambatanisha ujumbe huo na msisitizo kwa Watanzania kuhakikisha wakati huu wa kuelekea uchaguzi, wanatumia…

Read More

Shahada masomo ya kichina sasa kufundishwa UDSM

Dar es Salaam. Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), kinatarajia kuanzisha shahada nyingine itakayojikita katika masomo ya Kichina na Kiswahili lengo likiwa kuongeza wigo na fursa ya soko la ajira. Hayo yamesemwa leo Ijumaa Aprili 18, 2025 na Naibu Makamu  Mkuu wa Chuo Taaluma hicho, Bonaventure Rutinwa, katika ufunguzi wa mashindano ya awali ya lugha…

Read More