Simba hii, ikipata penalti mmekwisha!

ACHANA na matokeo ya mechi za jana ikiwa fungua dimba raundi ya 17 kwa Ligi Kuu Bara, kama hujui ni kwamba Simba ndio timu pekee iliyopata penalti nyingi kuliko yoyote ikiwa nazo saba huku zote ikiweka kambani. Yaani kwa kifupi kila timu inayocheza na Simba ni lazima iwe na tahadhari ya kufanya madhambi langoni mwake,…

Read More

Kazi anayo: Vigingi kocha mpya ndani ya Yanga

UKISIKIA kata mti panda mti, ndicho kilichofanywa na Yanga baada ya mabosi wa klabu hiyo kushtushwa na uamuzi wa ghafla wa kocha Sead Ramovic aliyeomba kuvunja mkataba kisha juzi Jumanne akawaaga wachezaji na maofisa wengine wa timu. Hata hivyo, chapu mabosi hao wa Yanga wakambeba kocha mpya Hamdi Miloud kutoka Singida Black Stars ambaye jana…

Read More

Serikali ya Haiti inakabiliwa na kukosoa kwa majibu yake kwa shambulio la genge huko Kenscoff – maswala ya ulimwengu

Jean-Victor Harvel Jean-Baptiste, Waziri wa Mambo ya nje na Ibada ya Haiti, anahutubia Baraza la Usalama juu ya hali ya sasa nchini Haiti. Mikopo: Picha ya UN/ Evan Schneider na Oritro Karim (Umoja wa Mataifa) Jumatano, Februari 05, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Umoja wa Mataifa, Februari 05 (IPS)-Hali ya kibinadamu huko Haiti inaendelea…

Read More

Sio pesa tu, haya pia yalichangia Ramovic kusepa

LICHA ya kupeleka ombi la kuvunja mkataba ili aondoke klabuni kwa kilichoelezwa amepata ofa nono kutoka CR Belouizdad ya Algeria, lakini kuna mambo kadhaa nyuma ya pazia katika dili la kocha Sead Ramovic kusepa Yanga ikiwa ni siku 82 tangu alipojiunga nayo Novemba 15, mwaka jana. Ramovic aliyejiunga na Yanga kutoka TS Galaxy ya Afrika…

Read More

EARLY PAYOUT IMEKUJA KUKUPA KITITA PALE MERIDIANBET

CHAGUO jipya kutoka mabingwa wa kubashiri kampuni ya Meridianbet ambapo wateja wanaobashiri mpira wa miguu wana uwezo wa kujishindia mkwanja wa kutosha kupitia chaguo jipya la early payout. Meridianbet wamekuja na kitu iinaitwa early payout hii ikiwa na maana mshindi atahesabiwa pale tu timu ambayo ameiwekea ubashiri kuongoza kwa tofauti ya mabao mawili, Kwa mfano…

Read More

SAMIA: CCM ITALETA WAGOMBEA WANAOKUBALIKA

-Mwenyekiti wa CCM aahidi mchujo wa haki kwa wagombea 2025-Mawazo ya wananchi kuzingatiwa ili kuimarisha ushindi kwa chama Dodoma, tarehe 5 Februari 2025 Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuwa CCM italeta wagombea wanaokubalika na wananchi katika Uchaguzi Mkuu wa 2025, ili…

Read More