Wachezaji Simba waongezewa mzuka, watangaziwa dau nono
SIMBA inahesabu saa kabla ya kushuka uwanjani kesho Jumapili kukabiliana na Stellenbosch ya Sauzi katika mchezo wa kwanza wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, huku mfadhili wa zamani, Azim Dewji, akiwaongezea mzuka mastaa kwa kutangaza dau kwa kila bao na asisti. Simba itaikabili Stellenbosch kwenye Uwanja wa New Amaan, Zanzibar kuanzia saa 10:00…