Adaiwa kumuua mpenzi wake mwanafunzi, naye ajinyonga

Mwanza. Mwanafunzi anayesoma kidato cha tano katika moja ya shule ya sekondari iliyopo mkoani Tanga, Benadeta Silvester (21) amefariki dunia baada ya kukabwa koo na mpenzi wake, Adamu Kailanga (30) kisha naye kujinyonga kwa mtandio kisa wivu wa mapenzi. Taarifa ya Kamanda wa Polisi mkoani Mwanza, Wilbrod Mutafungwa iliyotolewa leo Jumatano Februari 5, 2025 imesema…

Read More

Wenye ulemavu kukutana kujadili changamoto, fursa Kilimanjaro

Moshi. Wakati watu wenye ulemavu wakikumbana na changamoto za unyanyapaa katika baadhi ya familia, jamii imetakiwa kuwathamini, kuwasikiliza, na kutowafanya wapweke, bali kuwaonyesha upendo kama ilivyo kwa watu wengine. Kutokana na hali hiyo, Mkoa wa Kilimanjaro kupitia shirika lisilokuwa la kiserikali la New Life Foundation, litawakutanisha wenye ulemavu kutoka maeneo mbalimbali ya mkoa huo Februari…

Read More

Kwa nini ushuru wa tarumbeta hauwezi kutatua shida ya Amerika fentanyl – maswala ya ulimwengu

Kukomesha shida ya fentanyl haitakuwa rahisi. Amerika ina shida ya madawa ya kulevya ambayo inachukua miongo kadhaa – kwa muda mrefu kutabiri kuongezeka kwa fentanyl – na majaribio mengi ya kudhibiti, kutunga sheria na kutengwa yamefanya kidogo kupunguza matumizi ya dawa za kulevya. Mikopo: Shutterstock Maoni Jumatano, Februari 05, 2025 Huduma ya waandishi wa habari…

Read More

Bunge laazimia vituo vya kura karibu na makazi

Dodoma. Bunge limeazimia vituo vya kuandikisha wapigakura na vile vya kupiga kura viwekwe karibu na makazi ya wananchi ili washiriki na kutekeleza haki yao ya kikatiba. Mbali na hilo, pia limeazimia Serikali ihakikishe inapeleka watumishi wa kutosha katika vituo vya kupigia kura wasimamia kazi hiyo. Hatua hiyo imefikiwa baada ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya…

Read More

Mkutano wa TAMSTOA waibua changamoto za Malori

CHAMA cha Wamiliki wa Malori Wadogo na Wakati Tanzania(TAMSTOA), wameiomba Serikali kushughulikia changamoto wanazokutana nazo hasa kamatakamata ya malori na ufinyu wa barabara. Akizungumza katika Mkutano wa tano wa mwaka 2024 wa chama hicho uliofanyika leo Februari 5, 2025, jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa TAMSTOA, Shaban Chuki, alisema alisema barabara kutoka bandarini bado ni…

Read More

Rais Samia ajitwisha zigo la ajira kwa vijana

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Rais Samia Suluhu Hassan amesema wanaendelea kushughulikia suala la changamoto ya ajira kwa vijana kwa kubuni vitu mbalimbali ambavyo vinaweza kuwakwamua kiuchumi. Hilo linafanyika wakati wakitambua tatizo la ajira siyo la Tanzania pekee bali dunia nzima lakini wanalishughulikia kwani uelekeo wa miaka mingi ijayo inategemea…

Read More

Mzize, Dube wawasha moto Yanga ikifanya mauaji

LICHA ya kuondoka kwa kocha Sead Ramovic, moto wa Yanga katika Ligi Kuu Bara haujapoa baada ya jioni ya leo kuinyoosha bila huruma KenGold iliyofanya usajili wa maana kupitia dirisha dogo kwa kuifumua mabao 6-1, huku ikishuhudiwa na kocha mpya, Hamdi Miloud aliyekuwa jukwaani. Ushindi huo ndio mkubwa zaidi katika ligi hiyo kwa msimu huu…

Read More

Wananchi wahamasika kujiandikisha, wataja mfumo ‘kusahau’ vidole vyao

Pemba. Wakati uandikishaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga kura likiendelea, wananchi katika Wilaya ya Wete, Mkoa wa Kaskazini Pemba, wamesema wameridhishwa na uandikishaji licha ya kujitokeza kwa changamoto ya baadhi vidole vyao kushindwa kutambulika kwa mfumo. Hata hivyo, hakuna anayeshindwa kuandikishwa kwani changamoto hiyo inatatuliwa kwa wakati. Awamu ya pili ya uandikishaji imeanza tangu…

Read More