
Adaiwa kumuua mpenzi wake mwanafunzi, naye ajinyonga
Mwanza. Mwanafunzi anayesoma kidato cha tano katika moja ya shule ya sekondari iliyopo mkoani Tanga, Benadeta Silvester (21) amefariki dunia baada ya kukabwa koo na mpenzi wake, Adamu Kailanga (30) kisha naye kujinyonga kwa mtandio kisa wivu wa mapenzi. Taarifa ya Kamanda wa Polisi mkoani Mwanza, Wilbrod Mutafungwa iliyotolewa leo Jumatano Februari 5, 2025 imesema…