Gomez achekelea kombe la dunia

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga klabu ya Wydad Casablanca ya Morocco, Selemani Mwalimu ‘Gomez’ amesema licha ya kutokuwa na uhakika wa kucheza katika kikosi cha kwanza, lakini anafurahi kuwepo katika timu inayokwenda kushiriki michuano ya Klabu Bingwa ya Dunia. Michuano hiyo inatarajiwa kufanyika kati ya Juni 16 hadi Julai 13 nchini Marekani na Wydad…

Read More

IMF YAKUNWA NA UTEKELEZAJI MIPANGO YA TANZANIA YA KUKUZA UCHUMI NA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI

 Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amelihakikishia Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kwamba, Serikali itaendelea kufanya maboresho ya sera na mipango yake kwa kuhakikisha sekta mbalimbali za kiuchumi na kijamii pamoja na kuimarisha sekta binafsi zinapewa kipaumbele. Dkt. Nchemba amesema hayo wakati akifunga vikao vya…

Read More