Tanzania Yatengeneza Biosensor ya Kwanza Afrika Mashariki kwa Ulinzi wa Wanyama Pori

Na Karama Kenyunko, Michuzi Tv IDARA ya Baolojia ya Molekyuli na baoteknolojia, kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) inahitaji taasisi au makampuni mbalimbali kutoka Tanzania na nje ya nchi ambayo wanaweza kushirikiana kutengeneza Chipu ya kihisio cha kibaolojia (Biosensor chips) itakayotumika kutambua au kujua uwepo wa virusi vinavyoshambulia wanyamapori kama simba, nyati na…

Read More

Moto wateketeza karakana ya mbao, samani Dar

Dar es Salaam. Karakana ya mbao na samani mbalimbali iliyopo Mtaa wa Kibangu, Kata ya Makuburi, Wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam imeteketea kwa moto. Moto huo ambao umetokea asubuhi ya leo Jumatano, Februari 5, 2025 umeelezwa na mashuhuda umesababishwa kwa hitilafu kwenye nguzo ya umeme iliyopo pembezoni mwa jengo hilo kisha kudondokea kwenye…

Read More

Tangazo la Trump kuichukua Gaza lazua hofu

Washington. Mpango wa Rais Donald Trump kuiwezesha Marekani kuchukua udhibiti wa eneo la Gaza na kuibadilisha kutoka magofu kuwa ‘Riviera’ yaani Pwani ya utalii ya Mashariki ya Kati, unazua hofu miongoni mwa wataalamu wa sera za kigeni, wakionya huenda ukasababisha uvamizi wa umwagaji damu. Kauli za Trump kuhusu suala hilo, ikiwemo kupeleka wanajeshi ikiwa italazimu,…

Read More

TRA KUIMARISHA MAZINGIRA YA KODI KARIAKOO

 Katika kuhakikisha wafanyabiashara wa soko kuu la kimataifa Kariakoo wanapata huduma zao  karibu, Mkuu wa wilaya ya Ilala, Mkoani Dar es salaam  Edward Mpogolo, amesema halmashauri hiyo ipo tayari kushirikiana na mamlaka nyingine ikiwepo TRA.  Mpogolo ameyasema hayo jijini Dar es salaam wakati wa Mkutano kati ya viongozi wa  halmashauri,  Kamishna Mkuu wa TRA YUSUPH…

Read More

UNDP, VODACOM, COSTECH WATANGAZA KUSHIRIKIANA KUENDELEA KUIMARISHA BUNIFU

Na Said Mwishehe,Michuzi Blog KATIKA kuendelea kuimarisha ubunifu na kuendesha mabadiliko ya kidijitali,Mpango wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDP) Tanzania kupitia programu yake ya FUNGUO, Vodacom Tanzania, na Tume ya Sayansi na Teknolojia Tanzania (COSTECH) wametangaza ushirikiano wa pamoja wa kuandaaWiki ya Ubunifu Tanzania 2025 (IWTz2025). Tukio hili kubwa, litakalojumuisha Mkutano wa Future Ready…

Read More