Tuinuke Pamoja Yatoa mafunzo kwa waragbishi.

Watekelezaji wa Mradi wa Tuinuke Pamoja, Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) na Aga Khan Foundation, wametoa mafunzo ya Uraghbishi kwa Waraghbishi kutoka ngazi ya jamii kutoka katika wilaya za Chemba, Kondoa TC, Kondoa DC, Mkoani Dodoma, Tanzania na maandalizi ya utekelezaji wa Uraghbishi katika ngazi ya jamii wenye lengo la kuimarisha uwezo na ujuzi wa…

Read More

MITI MILIONI 686 YAPANDWA NCHINI-NAIBU WAZIRI KHAMIS

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. KhamisHamza Khamis amesema jumla miti milioni 686.24 iliyopandwa katika halmashauri mbalimbali nchini imestawi. Amesema kuwa miti iliyopandwa na kustawi ni sawa na asilimia 82.3 ya miti yote milioni 866.7 iliyopandwa katika kipindi cha mwaka 2020/2021 hadi 023/2024. Mhe.Khamis amesema hayo bungeni jijini Dodoma leo…

Read More

Wadau wataka sheria mpya makosa ya ukatili

Unguja. Ofisi ya Mwanasheria Mkuu imesema lazima iwepo sheria mpya itakayotoa adhabu kwa wanaosingizia makosa ya ukatili, ili kupunguza vitendo vya ukatili wa kijinsia. Pia, watendaji wanaozorotesha, uchukuaji wa hatua katika masuala hayo pamoja na adhabu kwa wazee au walezi wanaotelekeza familia zao. Mapendekezo hayo yametolewa na Wakili wa Serikali kutoka Ofisi hiyo, Dk Mahfoudha…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Kwenye haya, namwelewa Rais Trump

Paka ni kiumbe anayependa starehe na mambo mazuri. Hapendi vurugu wala shuruba hata kidogo. Paka anaweza kugoma kuondoka kwenye kochi anapokuona ukitaka kuketi hapo. Anaona kufanyiwa hivyo ni kuvurugiwa starehe yake ya kujilaza sofani, huku wewe ambaye ni bosi wake ukimpapasa kichwani. Kama vile yeye ndiye bosi wa nyumba, unapaswa kumletea ruzuku ya maziwa kila…

Read More

Barabara mpya kuzingatia njia ya waenda kwa miguu

Dodoma. Serikali ya Tanzania imesema barabara zote mpya zinazojengwa kwa kiwango cha lami zinahusisha ujenzi wa njia za waenda kwa miguu katika maeneo ya majiji, miji na maeneo mengine. Naibu Waziri wa Ujenzi, Godfrey Kasekenya ameyasema hayo leo Jumatano Februari 5, 2025 wakati akijibu swali la msingi la Mbunge wa Viti Maalumu, Esther Matiko. Mbunge…

Read More

Serikali haijatoa mwongozo posho za watumishi walio pembezoni

Dodoma. Serikali imesema haijatoa mwongozo mahususi wa kulipa posho ya mazingira magumu kwa watumishi wa kada ya walimu na watumishi wengine wanaopangiwa vituo vya kazi katika mikoa ya pembezoni kutokana na changamoto zinazoweza kujitokeza katika utekelezaji wake. Naibu Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deo Sangu ameyasema…

Read More