
Tuinuke Pamoja Yatoa mafunzo kwa waragbishi.
Watekelezaji wa Mradi wa Tuinuke Pamoja, Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) na Aga Khan Foundation, wametoa mafunzo ya Uraghbishi kwa Waraghbishi kutoka ngazi ya jamii kutoka katika wilaya za Chemba, Kondoa TC, Kondoa DC, Mkoani Dodoma, Tanzania na maandalizi ya utekelezaji wa Uraghbishi katika ngazi ya jamii wenye lengo la kuimarisha uwezo na ujuzi wa…