Wananchi wa Mangae Wanufaika na Mradi wa Maji wa Zaidi ya Milioni 600
Na FARIDA MANGUBE, MOROGORO Wananchi wa Kijiji na Kata ya Mangae, Tarafa ya Mlali, Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, wameanza kunufaika na mradi mkubwa wa maji uliotekelezwa na Wakala wa maji safi na usafi wa Mangira Vijijini (RUWASA), wenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 600. Mradi huo, unatarajiwa kuwahudumia zaidi ya wakazi 4,000, umezinduliwa…