Jela maisha kwa kubaka mtoto wa miaka mitano

Mbeya. Mahakama ya Wilaya ya Kyela Mkoa wa Mbeya, imemhukumu kutumikia kifungo cha maisha Kiswigo Mwakalinga (20) mkazi wa Kijiji cha Ibale kwa kosa la kubaka mtoto wa miaka mitano. Hukumu hiyo imesomwa Januari 28, 2025 mbele ya Hakimu mkazi, Paul Barnabas baada ya kuridhishwa na ushahidi uliotolewa mahakamani hapo pasipo shaka. Awali, mwendesha mashtaka…

Read More

Mkwanja wa Ramovic Algeria, hata wewe usingebaki

KWA dau hili hata ungekuwa ni wewe usingebaki. Ndio, imefichuka kwamba aliyekuwa kocha mkuu wa Yanga, Sead Ramovic aliye mbioni kujiunga na CR Belouizdad ya Algeria atavuta mshahara wa kibosi, tofauti na ule aliyokuwa akilipwa na Yanga. Kocha huyo raia wa Ujerumani, aliyejiunga na Yanga katikati ya Novemba mwaka jana akitokea TS Galaxy ya Afrika…

Read More

Foleni yatikisa Dodoma miaka 48 ya CCM

Dodoma. Ikiwa leo ni maadhimisho ya miaka 48 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mji wa Dodoma umekuwa na msongamano mkubwa wa magari kutokana na barabara zinazopita kwenye uwanja wa Jamhuri yanapofanyika maadhimisho hayo kuwa na msongamano wa watu na magari hivyo kusababisha foleni kubwa. Mwananchi Digital imeshuhudia leo Jumatano Februari 5, 2025 msongamano…

Read More

Shirika la Kimataifa lajitosa usafiri mwendokasi Dar

Dar es Salaam. Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart) umeingia makubaliano na Shirika la Kimataifa la Fedha (IFC) ili kuusaidia wakala huo kuwapata watoa huduma watakaofanya kazi katika awamu ya tatu na ya nne ya Usafiri wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT). Ofisa Mtendaji Mkuu wa Dart, Dk Athumani Kihamia akizungumza na The Citizen jana Jumanne,…

Read More

Trump Ataka Kuuchukua Ukanda Wa Gaza – Global Publishers

Rais wa Marekani, Donald Trump Rais wa Marekani, Donald Trump, ameshitua watu duniani baada ya kutangaza nia yake ya kuchukua udhibiti wa Ukanda wa Gaza ulioharibiwa na vita na kuufanyia maendeleo ya kiuchumi baada ya Wapalestina kuhamishiwa maeneo mengine. Hatua hiyo inaweza kubadili sera za Marekani za miongo kadhaa kuhusu mgogoro wa Israel na Palestina….

Read More

Aliyeua bila kukusudia jela miaka mitatu

Arusha. Mahakama Kuu Masijala Ndogo ya Tabora, imemhukumu kifungo cha miaka mitatu jela, Hussein Warioba baada ya kupatikana na hatia ya kumuua Hamis Okelo bila kukusudia. Hussein alishtakiwa kwa kumuua Hamis kwa kumchoma na kisu upande wa kushoto wa kifua baada ya kutokea ugomvi baina yao walipokuwa wakinywa pombe ya kienyeji. Jaji Dk Adam Mambi…

Read More

Aga Khan Afariki Dunia – Global Publishers

Mtukufu Aga Khan Karim Al-Hussaini (kulia) akiwa na aliyekuwa Malkia wa Uingereza, Elizabeth II (kushoto) Kiongozi Mkuu wa 49 wa Madhehebu ya Shia Ismailia na Mwanzilishi wa Mtandao wa Maendeleo wa Aga Khan, Mtukufu Aga Khan amefariki dunia jana Februari 4, 2025 jijini Lisbon, Ureno. Mtukufu Aga Khan iV anayefahamika kama Karim…

Read More