
Athari za kiafya maduka ya chini ya ghorofa Kariakoo
Dar es Salaam. Maduka ya chini ya majengo ya ghorofa (underground) yanayozunguka Soko la Kariakoo yanaweza kuleta changamoto mbalimbali za kiafya na kiusalama kwa wauzaji na wateja. Mwananchi imefanya uchunguzi kwenye majengo ya biashara ya ghorofa yanayozunguka eneo la Soko la Kariakoo, baada ya kuanguka jengo la ghorofa kutokana mmiliki wake kudaiwa kuongeza kuchimba eneo…