
RAIS SAMIA ASISITIZA MASLAHI YA TAIFA KUENDELEA KUZINFATIWA KWENYE MIKATABA INAYOINGIWA
-Mikataba 1799 ya Kitaifa, Kikanda na Kimataifa na Hati 352 za Makubaliano zafanyiwa upekuzi – Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameitaka Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuhakikisha inaendelea kuzingatia masilahi ya nchi kwenye Mikataba mbalimbali ambayo nchi inakusudia kuingia kwakua Kikatiba Ofisi ya…