
Tshisekedi, Kagame kukutana Dar Jumamosi
Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Felix Tshisekedi, na Rais wa Rwanda, Paul Kagame, wanatarajiwa kukutana Jumamosi, Februari 8, 2025, jijini Dar es Salaam kujadili mgogoro unaoendelea DRC. Akitoa taarifa hiyo leo Jumatatu, Februari 3, 2025, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Rais wa Kenya, William Ruto, amesema…