MSIGWA | Mwanaspoti

Baada ya kujitokeza kwa kasoro ya eneo la kuchezea (Pitch) kwenye Uwanja wa Benjamini Mkapa, Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema eneo hilo halikuwa sehemu ya ukarabati unaoendelea. Amesema eneo hilo lilikarabatiwa mwaka 2023 na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (Caf) kwa…

Read More

CHANGAMOTO YA UPUNGUFU WA WATUMISHI KUTATULIWA ,SIMBACHAWENE

………………………  NA Ester Maile…Dodoma  Serikali kupitia Ofisi ya Rais menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora imetafuta namna bora ya kuondoa changamoto ya upungufu wa watumishi katika maeneo mengi . Hayo yameelezwa leo 17,march 2025 na Waziri wa Nchi ,ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora George Simbachawene  wakati akizungumza…

Read More

MADIWANI KIBONDO WARIDHIA UTEKELEZAJI MRADI WA UMWAGILIAJI LUMPUNGU

…………………. Na Mwandishi wetu Baraza la Madiwani Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma limepitisha utiaji saini mkataba wa utekeleza, ujenzi, uendeshaji na usimamizi wa mradi wa Umwagiliaji Lumpungu wenye thamani ya zaidi ya sh. Bilioni 150 unaolenga kuongeza tija ya uzalishaji wa mazao, uhakika na usalama wa chakula nchini. Mradi huo, unatarajiwa kutekelezwa kwa ushirikiano kati ya…

Read More

Watuhumiwa Wawili Wakamatwa na Vipande vya Nyaya za Umeme Ruvuma

Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma limefanikiwa kukamata vipande 65 vya nyaya za umeme mali ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), ambavyo vilikuwa vimehifadhiwa nyumbani kwa watuhumiwa wawili waliokuwa wakitafuta wateja wa kuviuza. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma, SACP Marco Chilya, amethibitisha tukio hilo na kueleza kuwa nyaya hizo zimekamatwa kupitia operesheni inayoendelea kwa…

Read More

KIKWETE AFIKISHA UJUMBE WA RAIS SAMIA BURKINA FASO

**** Mjumbe Maalum wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete amehitimisha ziara yake kwa kukutana na Rais wa Burkina Faso, Mhe. Captain Ibrahim Traoré. Mkutano huo ulifanyika jijini Ouagadougou Aprili 17, 2025 na kuhudhuriwa na maafisa waandamizi kutoka Serikali zote mbili. Katika mkutano huo, Mhe. Kikwete alielezea shukrani zake kwa kupata fursa…

Read More

RAIS KIKWETE USO KWA USO NA MWAMBA WA OUAGADOUGOU RAIS TRAORE ,TIZAMA PICHA UTAPENDA!

By ngilishonews.com Mjumbe Maalum wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete amehitimisha ziara yake kwa kukutana na Rais wa Burkina Faso, Mhe. Captain Ibrahim Traoré. Mkutano huo ulifanyika jijini Ouagadougou Aprili 17, 2025 na kuhudhuriwa na maafisa waandamizi kutoka Serikali zote mbili. Katika mkutano huo, Mhe. Kikwete alielezea shukrani zake kwa kupata…

Read More