Huyu anamkaba Gomez Wydad AC

WIKI iliyopita Singida Black Stars iliripoti kuwa imemuuza mshambuliaji wake Mtanzania Selemani Mwalimu ‘Gomez’ kwenda Wydad AC ya Morocco. Kwenye eneo la ushambuliaji, Gomez atakutana na upinzani kutoka kwa Mohamed Rayhi, raia wa Uholanzi ambaye ni chaguo la kwanza la kocha Rulani Mokwena. Rayhi ndiye kinara wa ufungaji kwenye ligi hiyo maarufu kama Botola Pro…

Read More

Mlandizi kujitutumua kwa JKT Queens?

BAADA ya kucheza mechi 11 bila ushindi wowote, Mlandizi Queens wiki hii itakuwa ugenini kujiuliza mbele ya JKT Queens. Hadi sasa ndio timu iliyopo kwenye nafasi mbaya za kushuka daraja msimu huu ikipata sare moja huku kwenye mechi 11 nyingine ikigawa pointi tu. Timu hizo zinakutana JKT ikiwa ya pili kwenye msimamo kwa pointi 26…

Read More

Aziz KI wa Yanga SC Princess nje wiki nne

MSHAMBULIAJI wa Yanga Princess, Ariet Udong anayefananishwa na nyota wa Yanga, Aziz KI atakuwa nje ya uwanja kwa miezi minne akiuguza majeraha ya mguu. Nyota huyo mara ya mwisho kuonekana uwanjani ilikuwa Desemba 31 kwenye mzunguko wa nane wa Ligi akifunga mabao matatu dhidi ya Ceasiaa Queens ya Iringa. Akizungumza na Mwanaspoti, kocha wa Yanga…

Read More

Trump aigeukia Afrika Kusini, kuinyima misaada

Rais wa Marekani, Donald Trump amesema bila kutaja ushahidi, kwamba “tabaka fulani za watu” nchini Afrika Kusini walikuwa wakitendewa ‘vibaya sana’ na kwamba atakata ufadhili wa nchi hiyo hadi suala hilo litakapochunguzwa. Trump amebainisha hilo jana, Februari 2, 2025 katika mtandao wake wa Truth akisema kuwa baadhi ya wananchi amekuwa wakifanyiwa ukatili. “Afrika Kusini inanyakua…

Read More

Mipango ya Ramovic yammaliza Gamondi

MOTO wa kocha Sead Ramovic bado unaendelea kuwachoma wapinzani wa Yanga katika Ligi Kuu Bara baada ya Gusa Achia Twende Kwao kumbeba tangu ajiunge na timu hiyo kutoka TS Galaxy ya Afrika Kusini, akimfunika hadi mtangulizi wake, Miguel Gamondi. Kocha huyo Mjerumani, ameupindua ufalme wa Gamondi baada ya Gusa Achia yake kumlipa katika mechi sita…

Read More

Jina la Fei Toto bado tishio, atabiriwa makubwa

Staa wa zamani wa Simba, Yanga na Taifa Stars, amekiri kukunwa na kiwango kikubwa cha soka alichonacho kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ aliyedai kama akikaza kidogo tu anaweza kufika mbali zaidi. Staa huyo aliyeanza soka jijini Arusha alikozaliwa na kukulia akiitumikia AFC Arusha kabla ya Simba kumbeba na baadae kutua Yanga,…

Read More

UVCCM CHEMBA WAMPA TANO MBUNGE WAO.

Umoja wa Chama Cha Mapinduzi ( UVCCM) Wilaya ya Chemba Mkoani Dodoma umempongeza Mbunge wa Jimbo hilo Mohammed Monni kwa kutekeleza na kusimamia ipasavyo miradi mbalimbali ya Maendeleo katika Wilaya hiyo Ikiwemo Kufungua shule 13 mpya za Msingi, shule 7 mpya za sekondari, Zahanati 11, pamoja na vituo vya afya. Pongezi hizo zimetolewa na Mwenyekiti…

Read More

DKT. MASIKA ARIDHISHWA UTEKELEZAJI MRADI WA MEMBE

 📍 NIRC Dodoma   Mwenyekiti Bodi ya Uongozi Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Dkt. Richard Masika amekiri kuridhishwa na hatua zinazofanywa na Tume katika utekelezaji miradi ya Umwagiliaji ikiwemo mradi wa ujenzi bwawa la Umwagiliaji Membe lililopo wilayani Chamwino mkoani Dodoma.   Dkt. Masika ametoa kauli hiyo mara baada ya kufanya ziara katika bwawa hilo ambapo kwa…

Read More

Chadema, ACT, NCCR, CUF kuhusu ‘Ukawa’ 2025 wasema…

Dar es Salaam. Matumaini ya vyama vya upinzani kuunda mseto ili kukikabili Chama cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 kama ilivyotokea mwaka 2015, yako njia panda huku baadhi wakifananisha na ngamia kupita katika tundu la sindano. Hata hivyo, ACT-Wazalendo imesema kabla ya kuunda ushirika huo, kwanza wanapaswa kuungana kushinikiza kuundwa kwa Tume…

Read More

Watumishi ufadhili wa Marekani walia hofu kupoteza ajira

Dar es Salaam. Ni mtikisiko! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya sintofahamu kutawala miongoni mwa watumishi waliokuwa chini ya miradi ya ufadhili wa Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID), wengi wakihofu kukosa mishahara na ajira zao. Sintofahamu hiyo imekuja baada ya Januari 20, 2025 Rais wa Marekani, Donald Trump kutoa tamko la kusitisha kwa…

Read More