SERIKALI ITAENDELEA KULINDA MASLAHI YA WAKULIMA WA KAHAWA, AELEZA CHANGAMOTO ALIZOPITIA AKIWATETEA WAKULIMA.
***** *Bashungwa aagiza Jeshi la Polisi kushughulikia wizi wa kahawa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea kusimamia sera nzuri na mifumo madhubuti ya usimamizi na uuzaji wa kahawa, kwa lengo la kuhakikisha wakulima wa zao hilo wanaendelea kunufaika kwa kupata bei nzuri na yenye tija. Kauli hiyo imetolewa…