Kesi ya ‘Bwana harusi’ yakwama kwa mara ya pili, sababu zatolewa
Dar es Salaam. Serikali imeshindwa kumsomea maelezo ya awali (PH) “Bwana Harusi” Vicent Masawe (36) anayekabiliwa na kesi ya wizi wa gari aina ya Ractis, kutokana na mawakili wanaoendesha kesi hiyo kuwa kwenye kikao cha mawakili mkoani Dodoma. Hii ni mara ya pili kwa kesi hiyo kuahirishwa ikiwa katika hatua ya mshtakiwa kusomewa hoja za…