Zile 10 za Chikola zapata ugumu

NYOTA wa Tabora United, Offen Chikola amekiri ameanza kupata shaka ya kutimiza ndoto zake za kufunga mabao 10 msimu huu ili kuweka rekodi binafsi katika Ligi Kuu Bara iliyopo ukingoni. Mshambuliaji huyo, alisema kwa sasa anakuna kichwa ili kuona anazitumia mechi nne zilizosalia za timu hiyo kufunga mabao matatu na kukamilisha hesabu ya mabao 10,…

Read More

Mambo sita yamsubiri Majaliwa bungeni

Dodoma. Suala la wageni kupewa fursa ya kufanya kazi zinazoweza kufanywa na Watanzania, na changamoto ya ajira nchini, ni miongoni mwa hoja zitakazojibiwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa bungeni jijini Dodoma kesho Jumanne, Aprili 15, 2025. Hoja hizo mbili ni kati ya sita zilizoibuliwa na wabunge kuanzia Aprili 9, mwaka huu, katika mjadala wa makadirio…

Read More

Kocha JKT Tanzania apiga hesabu kali

MAAFANDE wa JKT Tanzania, wapo katika nafasi ya saba kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara wakikusanya pointi 32 kupitia mechi 25, huku kocha wa timu hiyo, Ahmad Ally akipiga hesabu kali kwa mechi za tano zilizosalia ili kuhakikisha wanavuna pointi za kutosha zitakazowaacha salama. Kocha Ally alisema pointi walizonazo kwa sasa bado haziwapi dhamana ya…

Read More

Sheria, kanuni uchaguzi zaibua mjadala

Dar es Salaam. Kukosekana kipengele kinachoweka ukomo wa muda wa kusaini kanuni za maadili ya uchaguzi, kumeibua mjadala kwa wanasheria, wakihoji sheria ipi inayoeleza chama cha siasa lazima kisaini siku inayopangwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC). Chimbuko la mjadala huo ni hatua ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kutangazwa na INEC…

Read More

Dabo apata shavu Libya | Mwanaspoti

ALIYEKUWA kocha mkuu wa Azam FC, Youssouph Dabo amesema ni heshima kubwa kupata nafasi ya kuifundisha timu ya taifa ya Libya, akiwa kocha msaidizi wa Aliou Cisse, aliyeipa Senegal ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON), mwaka 2022. Dabo alijiunga na AS Vita Club baada ya kuachana na Azam, Septemba 3, 2024, kutokana na…

Read More

Juma Abdul ataja ‘Top 5’ ya mastraika hatari

BEKI wa zamani wa Mtibwa Sugar, Yanga na Singida Big Stars, Juma Abdul ameitaja 5-Bora ya washambuliaji aliowashudia ubora wao kwa namna walivyokuwa wanawaliza mabeki waliokuwa wanaidharau mipira iliyokufa na kujikuta wakiruhusu mabao ya kizembe.  Aliwataja washambuliaji hao waliowahi kuibuka vinara wa mabao Ligi Kuu Bara, Mussa Hassan Mgosi aliyeibuka mfungaji Bora msimu wa 2019/10…

Read More

Tanzania, Sweden kupambana na athari za viuatilifu nchini

Arusha. Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania  (TPHPA), imeingia makubaliano ya miaka miwili na Taasisi  ya Udhibiti wa Kemikali ya Sweden (Kemi) kukabiliana na athari za viuatilifu kwa afya za binadamu, wanyama na mazingira kwa jumla. Akizungumza leo Jumatatu, Aprili 14, 2025 jijini Arusha baada ya kusaini hati ya makubaliano hayo (MoU), Mkurugenzi…

Read More