Latra wawageukia wenye malori mfumo wa VTS

Dar es Salaam.  Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (Latra), imesema mwaka huu itaanza kufunga mfumo wa kufuatilia mwenendo wa gari (VTS) kwenye malori na kuweka utaratibu mpya wa ratiba kwa madereva wa magari hayo. Awali, mfumo huo ulifungwa kwenye mabasi ya abiria ikiwa ni hatua ya kupunguza ajali za barabarani zinazosababishwa na mwendokasi na uchovu…

Read More

Abdulla ageukia ripoti ya Tume ya Haki Jinai

Unguja. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla amesema ripoti ya Tume ya Haki Jinai inadhihirisha kuwa, utendaji wa taasisi hizo nchini hauridhishi kwa kuwa wananchi wameonesha uhitaji wa kufanya mabadiliko katika utoaji wa huduma unaozingatia haki na uwazi. Amesema mapendekezo hayo yapo ya Muungano na Zanzibar yakijumuisha udhibiti wa makosa ya…

Read More

SMZ na kipaumbele cha miradi ya  uwekezaji

Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema kupitia sera zake imetoa kipaumbele miradi ya biashara na vivutio vinavyowavuta wawekezaji kwa lengo la kuwekeza. Kwa miaka minne, Zanzibar kupitia Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji (Zipa), imesajili miradi 430 yenye thamani ya Sh11 trilioni, kati ya miradi hiyo asilimia 30 ni majumba ya biashara huku ikitarajia kutoa…

Read More

Haya hapa mambo saba kuboresha sera mpya ya elimu

Dar es Salaam. Shirika la Uwezo Tanzania limeanisha maeneo saba yanayopaswa kufanyiwa mabadiliko katika Sera ya Elimu ya Mwaka 2014, toleo la 2023, iliyozinduliwa jana Jumamosi, Februari mosi, 2025, huku likitoa mapendekezo ya kinachopaswa kufanyika. Upungufu ulioainishwa umegusa maeneo ya utangulizi na hali ya sasa, kutambua mabadiliko ya kimataifa, mfumo, miundo, na utaratibu ulioboreshwa wa…

Read More

Simba yaishusha Yanga kileleni, yaifumua Tabora United

NYUKI wa Tabora leo  wametulizwa nyumbani baada ya kufumuliwa tena mabao 3-0 na Simba katika mechi ya Ligi Kuu Bara na kuhitimisha tambo ilizokuwa nazo timu hiyo mbele ya vigogo, ikithibitisha unyonge uliopitiliza dhidi ya Mnyama kwa kufungwa jumla ya mabao 12-0 katika mechi nne walizokutana katika ligi kuanzia msimu uliopita. Tabora ilionekana tishio baada…

Read More

Jaji Mruma: Wananchi wengi hawajui kudai haki zao

Morogoro. Kaimu Jaji Mfawidhi Mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Morogoro, Amir Mruma amesema wananchi wengi hawajui haki zao katika kupata huduma muhimu ikiwemo umeme na maji. Amesema hata wanapopata  athari zitokanazo na huduma iliyotolewa kwa uzembe, huchukulia ni hali ya kawaida. Jaji Mruma amebainisha hayo leo Jumapili, Februari 2, 2025 wakati akifunga maonyesho ya…

Read More

Asasi 157 zapewa kibali elimu kwa mpiga kura

Tanga. Jumla ya asasi 157 za kiraia zimepewa kibali na Tume ya Huru ya Taifa ya Uchaguzi kwa ajali ya kutoa elimu ya mpigakura katika uboreshaji wa daftari la kudumu la wapigakura, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya uchaguzi mkuu utakaofanyika mwaka huu. Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Jaji Jacobs Mwambegele…

Read More

RAIS SAMIA AMEING’ARISHA CHAMWINO KIMAENDELEO – DKT. BITEKO

-Serikali imewekeza zaidi ya bilioni 13 elimu ya Sekondari Chamwino-Uboreshaji wa miundombinu shilingi bilioni 17.9 zimetumika-Vijiji vyote 47 Chamwino vimewashwa umeme-Asema Sekta ya Nishati ipo salama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya kazi kubwa ya kuing’arisha Chamwino kwa kutatua changamoto mbalimbali za wananchi wa Jimbo hilo. Hayo yamebainishwa…

Read More

Polisi yazuia mazishi wanaodaiwa kunywa pombe yenye sumu

Manyara. Jeshi la Polisi mkoani hapa, limezuia kuzikwa kwa miili ya watu watatu wanaodaiwa kufariki kwa kunywa pombe yenye sumu, hadi uchunguzi wa kitaalamu ukamilike. Watu hao Madai Amsi ‘Samweli’ (42), Hao Bado (59) na Nada Yaho ‘Paulina’ (43) wakazi wa Kijiji cha Bashnet wilayani Babati mkoani Manyara walifariki dunia Januari 31, 2025 kwa nyakati…

Read More