Bei mafuta ya kula yapasua vichwa wananchi Iringa

Iringa. Wananchi mkoani Iringa wamelalamikia kupanda kwa bei ya mafuta ya kula katika masoko mbalimbali, wakieleza kuwa hali hiyo inaathiri bajeti zao za kila siku. Wakizungumza na Mwananchi leo, Februari 1, 2025 kwa nyakati tofauti, baadhi ya wananchi hao wamesema awali walikuwa wakinunua lita moja ya mafuta ya kula kwa kati ya Sh4,500 na Sh5,000,…

Read More

Wanne kortini kwa madai ya kuwatapeli wastaafu

Dar es Salaam. Wakazi wanne wa mkoa wa Kagera na Mwanza, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashtaka 49 yakiwemo ya kutumia laini ya simu iliyosajiliwa kwa jina la mtu mwingine, kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na kutakatisha fedha kiasi cha Sh5 milioni. Washtakiwa hao ni mfanyabiashara Eradius Rwechungura (43) maarufu…

Read More

Bei mafuta ya kura yapasua vichwa wananchi Iringa

Iringa. Wananchi mkoani Iringa wamelalamikia kupanda kwa bei ya mafuta ya kula katika masoko mbalimbali, wakieleza kuwa hali hiyo inaathiri bajeti zao za kila siku. Wakizungumza na Mwananchi leo, Februari 1, 2025 kwa nyakati tofauti, baadhi ya wananchi hao wamesema awali walikuwa wakinunua lita moja ya mafuta ya kula kwa kati ya Sh4,500 na Sh5,000,…

Read More

Ajali zawasukuma madereva bodaboda kuchangia damu

Kahama. Waendesha pikipiki maarufu kama bodaboda wa Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga,  wamejitolea kuchangia damu katika Hospitali ya Manispaa ya Kahama mkoani humo ili kunusuru maisha ya wahitaji wa huduma hiyo. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Hospitali ya Manispaa ya Kahama mkoani humo, wastani wa  12 hutumika kila siku huku majeruhi wa ajali  za…

Read More

TEA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA MAFUNZO YA AMALI

Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) imejipanga kuboresha miundombinu ya kujifunzia na kufundishia mafunzo ya amali kama sehemu ya kuunga mkono utekelezaji wa Sera Mpya ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi. Akizungumza na waandishi wa habari katika maonesho ya uzinduzi wa Sera ya Elimu ya Mwaka 2014 Toleo la 2023, Jijini Dodoma Mkurugenzi Mkuu wa TEA,…

Read More

Aliyehukumiwa kwa kumuua baba yake mzazi aachiwa huru

Arusha. Mahakama ya Rufani imetengua adhabu ya kifo aliyokuwa amehukumiwa Seni Lisesi, baada ya kukutwa na hatia ya kumuua baba yake mzazi, Gindu Kashinje. Awali Mei 14, 2021, Mahakama Kuu Kanda ya Sumbawanga ilimhukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa baada ya kumkuta na hatia ya kumuua baba yake. Mahakama ya rufani imebatilisha adhabu hiyo baada…

Read More