
Sera mpya ya elimu yataja PPP, Elimu ya lazima kutoka miaka saba kwenda 10
Dodoma. Baada ya mchakato wa muda mrefu hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan amezindua Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 toleo la mwaka 2023, huku akitaja mambo matatu yalimsukuma kutaka kufanyika mapitio ya sera baada ya kuingia madarakani. Akizungumza jana jijini Dodoma alisema licha ya kwamba ndiye aliagiza kufanyika kwa mapitio hayo, kazi kubwa…