SAKATA KUZUIA MAZAO: Wadau waunga mkono, watoa tahadhari

Dar es Salaam.  Wakati Serikali kupitia Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ikitangaza itazuia mazao na bidhaa zote za kilimo kutoka Malawi na Afrika Kusini, wadau wameunga mkono hatua hiyo lakini wakitoa tahadhari kuwa ina athari za kiuchumi. Waziri Bashe kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii leo Arpili 17, 2025 amesema ifikapo Jumatano Aprili 23,…

Read More

Mastaa KenGold bado hawaamini | Mwanaspoti

MATOKEO mabaya iliyonayo KenGold inayosubiri kwa sasa miujiza ili kuepuka kushuka daraja kutoka Ligi Kuu kurudi Ligi ya Championship, imewafanya hadi wachezaji wa timu hiyo kushindwa kuamini kilichowakuta, japo wameapa kupambana kupitia mechi nne zilizosalia ili kuona inakuwaje. KenGold iliyopanda daraja msimu huu sambamba na Pamba Jiji, ndio inaburuza mkia katika msimamo wa Ligi Kuu…

Read More

Maeneo 9 ya udhamini mpya Simba

MKATABA wa miaka mitano wenye thamani ya Sh38.1 bilioni ilioingia Simba na mzabuni mpya, Kampuni ya Jayrutty Investment atakayehusika na zoezi la kubuni, kuzalisha na kusambaza jezi na bidhaa nyingine zenye nembo ya klabu hiyo, umegusa maeneo tisa tofauti ambayo yatanufaika moja kwa moja. Mwenyekiti wa Kamati ya Tenda ya Simba, Dk Seif Muba, alisema…

Read More

Walioiba chaja ya baiskeli, wahukumiwa kifungo cha nje

Dar es Salaam. Mahakama ya Mwanzo Kariakoo, imemuhukumu Naufali Ramadhani (22) na Abubakari Chiputa, kifungo cha nje cha miezi sita kila mmoja, baada ya kupatikana na hatia ya wizi wa chaja ya baiskeli na extension cable. Pia, Mahakama hiyo imeamuru chaja hiyo pamoja na extension cable arudishiwe mlalamikaji, ambaye ni Idriss Mustafa. Uamuzi huo umetolewa…

Read More

Ridhiwan aongoza mazishi ya Mama Karia

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Ajira, Vijana wenye ulemavu na makundi maalumu, Ridhiwani Kikwete, jioni ya leo Alhamisi, ameongoza waombolezaji katika mazishi ya mama mzazi wa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia. Janeth Abdallah, alifariki dunia usiku wa kuamkia jana Jumatano na amezikwa jioni ya leo katika makaburi yaliyopo eneo…

Read More

DK.KIMEI AWEKA REKODI YA UTENDAJI VUNJO

Na Mwandishi Wetu,Dodomaa  MBUNGE wa Jimbo la Vunjo Dkt Charles Kimei ametajwa kuwa kinara wa kuzungumzia mahitaji ya wananchi kwa kuwa miongoni mwa wabunge vinara wa kusema, kuchangia au kuhoji katika kila kikao cha bunge la 12 linalotarajiwa kuvunjwa mwishoni mwa mwezi Juni mwaka huu. Kwa mujibu wa tovuti ya Bunge la Tanzania inaonyesha Dk.Kimei…

Read More

Kocha Yanga amhakikisha Chama maisha

KOCHA wa Yanga, Miloud Hamdi avunja ukimya kuhusu kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Clatous Chama akisema kwa sasa gari ndo limewaka na wala hana presha ya kuchagua nani wa kuanza kikosini. Chama aliyesajiliwa na Yanga msimu huu kutoka Simba, aliyoitumikia kwa miaka kama Simba tangu alipoua Msimbazi akitokea Power Dynamos ya Zambia, ameamua kutumika kwa…

Read More