Kocha amhakikisha Chama maisha | Mwanaspoti
KOCHA wa Yanga, Miloud Hamdi avunja ukimya kuhusu kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Clatous Chama akisema kwa sasa gari ndo limewaka na wala hana presha ya kuchagua nani wa kuanza kikosini. Chama aliyesajiliwa na Yanga msimu huu kutoka Simba, aliyoitumikia kwa miaka kama Simba tangu alipoua Msimbazi akitokea Power Dynamos ya Zambia, ameamua kutumika kwa…