Kocha amhakikisha Chama maisha | Mwanaspoti

KOCHA wa Yanga, Miloud Hamdi avunja ukimya kuhusu kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Clatous Chama akisema kwa sasa gari ndo limewaka na wala hana presha ya kuchagua nani wa kuanza kikosini. Chama aliyesajiliwa na Yanga msimu huu kutoka Simba, aliyoitumikia kwa miaka kama Simba tangu alipoua Msimbazi akitokea Power Dynamos ya Zambia, ameamua kutumika kwa…

Read More

Mfanyabiashara Mtanzania akutana na Rais Ruto

Nairobi. Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Amson Group, Edha Nahdi, amekutana na Rais wa Kenya, William Ruto Ikulu jijini Nairobi kwa ajili ya mazungumzo kuhusu uwekezaji mkubwa wa upanuzi wa kiwanda cha saruji cha Bamburi kwa awamu ya pili. Uwekezaji huo una thamani ya Dola za Marekani milioni 380 (Zaidi ya Sh960 bilioni). Nahdi (37)…

Read More

Kongamano la uwekezaji kuibua fursa za kiuchumi Pemba

Dar es Salaam. Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar (Zipa) imesema Kongamano la uwekezaji  litakalofanyika  Mei 7,2025 visiwani humo, litakuwa lango la wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kutafuta fursa ambazo hazijatumika visiwani humo. Kongamano hilo lina kaulimbiu isemayo,  “Ni wakati wa Pemba” dhamira kuu ni kuweka mikakati ya kukuza kiuchumi kisiwamo humo. Hayo yameelezwa…

Read More

CAG: Mashirika 106 yanadai Sh3.5 trilioni, 36 hayana bodi

Moshi. Mashirika ya Umma yapatayo 106, ukiwemo Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), yanadai madeni ya biashara yanayofikia Sh3.58 trilioni ambazo ni madeni ya huduma walizotoa kwa wateja hadi kufikia Juni 30, 2024. Taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) iliyokabidhiwa bungeni jana Jumatano, Aprili 16, 2025 inaeleza madai…

Read More

Warioba ataja mambo matatu kufanikisha uchaguzi wa amani

Dar es Salaam. Wakati vyama vya siasa vikiendelea na maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba amebainisha mambo matatu yanayopaswa kuzingatiwa ili kuhakikisha uchaguzi huo unafanyika kwa amani na kupata wawakilishi sahihi wa wananchi. Kwa mujibu wa kiongozi huyo, uchaguzi wa amani pia utapatikana kwa kutungwa sheria zinazowawezesha wananchi…

Read More

TASAC YATOA ELIMU KWA MAWAKALA WA MELI NA FORODHA MKOANI TANGA KUONGEZA UFANISI SEKTA YA USAFIRISHAJI MAJINI

  Na Oscar Assenga,TANGA SHIRIKA la Wakala wa Meli Tanzania (TASAC) wamekutana na Mawakala wa Meli na Forodha Mkoani Tanga kwa lengo la kutoa uelewa na kukumbushana majukumu yao katika kuchangia kufanikisha ufanisi wa sekta ya usafirishaji kwa njia ya maji. Akizungumza wakati akifungua kikao hicho Mkurugenzi wa Udhibiti wa Usafiri wa njia ya Maji…

Read More

CAG abaini kasoro lukuki sekta ya mifugo

Dar es Salaam. Licha ya Tanzania kuwa na mifugo ya aina tofauti, ripoti ya Mthibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) imebainisha huduma za ugani zinazotolewa zinawafikia asilimia tisa tu ya wafugaji nchini. CAG imebaini upungufu wa asilimia 67 ya maofisa ugani nchini ambao unasababisha asilimia 91 ya kaya zinazojihusisha na ufugaji kukosa…

Read More