Waliofariki ajali  ya basi, Rav4 Moshi watambuliwa

Moshi. Miili ya watu watatu waliofariki kwa ajali ya gari iliyohusisha basi la kampuni ya Esther Luxury na gari dogo aina ya Toyota RAV4 mkoani Kilimanjaro, imetambuliwa. Ajali hiyo imetokea leo asubuhi, Februari Mosi, 2025 katika eneo la Mdawi, Wilaya ya Moshi, mkoani humo, baada ya dereva wa gari dogo kugongana uso kwa uso na…

Read More

DC MPOGOLO USAFI ZOEZI LA KUDUMU ILALA.

    Katika kuhakikisha  zoezi la usafi linakua la kudumu, Mkuu wa wilaya ya Ilala  Edward Mpogolo amewataka wananchi, wafanyabiashara na taasisi zote ndani ya halmashauri hiyo kufanya usafi kuwa zoezi la kudumu. Mkuu huyo wa wilaya ya Ilala ameyazungumza hayo wakati wa zoezi maalum la usafi lililofanyika february mosi 2025.  Mpogolo amesema mkakati wa…

Read More

UELEWA WA WANANCHI KUHUSU KODI WAONGEZA MAPATO

Na. Peter Haule, WF, Dodoma Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande amesema kuwa Serikali inaendelea kuchukua hatua mbalimbali ili kujenga uelewa kuhusu umuhimu wa kulipa kodi, utoaji wa risiti za mauzo na ununuzi wa bidhaa na huduma ikiwemo ya kutoa elimu ya kodi. Mhe. Chande ameeleza hayo bungeni jijini Dodoma alipokuwa akijibu swali…

Read More

WATENDAJI ARDHI WATAKIWA KUTOCHELEWESHA HUDUMA KWA MAKUSUDI

Na Munir Shemweta, WANMM IRINGA Serikali imewataka watendaji wa sekta ya Ardhi nchini kutochelewesha huduma za sekta ya Ardhi kwa makusudi wakati wanapowahudumia wananchi wanaokwenda kupata huduma katika ofisi zao. Hayo yameelezwa Januari 31, 2025 mkoani Iringa na Mkurugenzi wa Upimaji na Ramani wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Bw. Hamdouny Mansoor…

Read More