Ajali ndege ya kusafirisha wagonjwa yaua sita Marekani

Philadelphia. Jinamizi la ajali za ndege limeendelea kuikumba Marekani baada ya ndege iliyokuwa imebeba mgonjwa, mama yake na wahudumu wanne kupata ajali na kuanguka eneo la Philadelphia nchini Marekani. Ndege hiyo ilipata ajali saa 12:30 jioni muda mfupi baada ya kuondoka katika uwanja nchini Marekani kumpeleka mgonjwa huyo katika matibabu ya dharura jijini Tijuana nchini…

Read More

Takukuru Mwanza yazuia upigaji Sh366 milioni

Mwanza. Wakati Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Mwanza ikitoa taarifa ya kuokoa fedha zaidi ya Sh366.9 milioni zilizokuwa hatarini kupigwa, wataalam wameshauri mbinu kudhibiti mianya ya upotevu wa makusanyo ya Serikali. Akitoa taarifa ya utendaji kazi wa Takukuru kati ya Oktoba hadi Desemba 2024, Kaimu Mkuu wa Takukuru Mkoa wa…

Read More

Ajali basi la Esther, Rav4 yaua watatu Kilimanjaro

Moshi. Watu watatu wamefariki dunia papo hapo baada ya gari aina ya Toyota Rav4 waliokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na basi la abiria la Kampuni ya Esther Kuxury, mkoani Kilimanjaro leo Jumamosi Februari mosi, 2025. Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji mkoani Kilimanjaro, Jeremiah Mkomagi amesema ajali hiyo imetokea eneo la Mdawi,…

Read More

Chimbuko la M23, ilivyoanzishwa na kigogo wa jeshi – 2

Habari kuhusu M23 zimekuwa zinasikika sana katika kipindi cha zaidi ya mwongo mmoja ulipita. Lakini nini hasa  chimbuko la M23? Lilianzishwa lini na kwanini? Je, ni wapiganaji wa DRC? Ni waasi kutoka Uganda na Rwanda walioko DRC? Kwanini Jeshi la DRC linaishutumu Rwanda na Uganda kuwaunga mkono waasi wa kundi hilo katika mapigano yaliyozuka upya…

Read More

Majina ya wanaorejea soko la Kariakoo haya hapa

Dar es Salaam. Hatimaye majina 1,520 ya wafanyabiashara walio na sifa na vigezo vya kurejea katika Soko Kuu la Kariakoo yamewekwa hadharani. Sanjari na hilo, wafanyabiashara zaidi ya 366, hawataruhusiwa kurudi sokoni hapo hadi watakapolipa madeni waliokuwa wanadaiwa na Shirika la Masoko kabla soko halijaungua. Hatua hii inakuja baada ya kukamilika kwa ukarabati na ujenzi…

Read More