Miradi sita ya maji Meatu yaanza kutumia umeme

Meatu. Wakazi wa vijiji sita wilayani Meatu, mkoani Simiyu, wameanza kunufaika na huduma ya maji ya uhakika baada ya maboresho ya miradi ya maji iliyokuwa ikitumia nishati ya mafuta na sasa kuhamia kwenye matumizi ya umeme. Taarifa hiyo imetolewa leo Alhamisi Aprili 17, 2025 na Meneja wa Wakala wa Maji Safi na Usafi wa Mazingira…

Read More

Polisi yatoa kauli mechi ya Simba,  Stellenbosch

ZIKIWA zimebaki siku tatu kabla ya mchezo wa nusu fainali wa Kombe la Shirikisho Afrika kati ya Simba na Stellenbosch ya Afrika Kusini utakaopigwa kwenye Uwanja wa New Amaan Complex mjini Zanzibar, Jeshi la Polisi limeonya kuwa mashabiki wanapaswa kuzingatia taratibu zilizowekwa vinginevyo halitasita kuwachukulia hatua watakaozikiuka. Jeshi hilo limesema ulinzi utaimarishwa kipindi chote cha…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Taoussi ana kazi kubwa Azam

AZAM FC inaomba Mungu aijaalie ipate tiketi ya kushiriki mashindano ya kimataifa msimu ujao, licha ya ushindani inaopata kutoka kwa Singida Black Stars hapo kwenye nafasi ya tatu ambako wapo. Ligi ndio tumaini pekee lililobakia kuipeleka Azam kimataifa kwani tayari imeshatolewa katika Kombe la TFF ambalo mshindi wake anapata tiketi ya kushiriki moja kwa moja…

Read More