
Mkutano wa 19 wa ACA Kufanyika Dar es Salaam 2025, Kuangazia Uwekezaji katika Sekta ya Korosho
TANZANIA inatarajiwa kuwa mwenyeji katika Mkutano wa 19 wa mwaka wa Jukwaa la Korosho Afrika ambao kufanyika Novemba 18 hadi 22, 2025 katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam. Mkutano huo umendaliwa na Jukwaa la Korosho Afrika (ACA) kwa kushirikiana na Bodi ya Korosho Tanzania na Umoja wa…