Nida kutoa namba kwa watoto na wageni, kuzifuta hizi…
Dar es Salaam. Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida) imetangaza mpango wa utambuzi na usajili wa watu wote chini ya miaka 18 na raia wa kigeni wanaoingia nchini na kukaa zaidi ya miezi sita kuanza kupatiwa jamii namba. Kwa mujibu wa mamlaka hiyo, usajili wa watu wenye umri chini ya miaka 18 utaanza kwa majaribio…