Sowah atupia Singida ikitesti mitambo Arusha

Singida Black Stars imeendelea kujifua ikiwa kambini mkoani Arusha na leo imejipima nguvu dhidi ya Mbuni na kushinda mabao 4-1. Singida imeweka kambi mkoani humo ikijiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara chini ya kocha wao mpya Mfaransa Miloud Hamdi. Kwenye mchezo huo mabao ya Singida yamefungwa na Marouf Tchakei na Arthur Bada,…

Read More

Antisemitism juu ya kuongezeka kati ya vizazi vichache – maswala ya ulimwengu

Melissa Fleming, Katibu Mkuu wa Mawasiliano ya Ulimwenguni, anashughulikia Sherehe ya Ukumbusho wa Umoja wa Mataifa ya Umoja wa Mataifa: Ukumbusho wa Holocaust kwa Heshima na Haki za Binadamu kwa kuzingatia Siku ya Kimataifa ya Maadhimisho katika Kumbukumbu ya Wahasiriwa wa Holocaust. Mikopo: Picha ya UN/Manuel Elías na Oritro Karim (Umoja wa Mataifa) Jumanne, Januari…

Read More

Mambo 15 azimio la Dar es Salaam la nishati

Dar es Salaam. Wakuu wa Nchi za Afrika wameazimia kutengeneza mazingira bora ya kisera na kisheria ili kuwezesha ushiriki wa sekta binafsi katika uwekezaji kwenye mnyororo wa thamani wa sekta ya nishati. Azimio hilo ni moja kati ya 15 yaliyotolewa jijini Dar es Salaam, katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika Kuhusu Nishati, uliwakutanisha…

Read More

Marais wa Afrika wataja matumaini uzalishaji umeme

Dar es Salaam. Baadhi ya marais wa nchi za Afrika wanaohudhuria mkutano mkuu wa nishati Afrika, wameeleza matumaini yao kuhusu mkakati ulioandaliwa kwa ajili ya uzalishaji wa umeme barani humo. Mkutano huo wenye kauli mbiu ya Ajenda 300, ulioanza kufanyika jijini Dar es Salaam tangu jana Januari 27 na leo Januari 28, umehudhuriwa na marais …

Read More

‘Sekta binafsi ipewe nafasi kuzalisha umeme’

Dar es Salaam. Wakati kukosekana kwa miundombinu ya usambazaji umeme ikitajwa kuwa sababu ya maeneo mengi Afrika kukosa nishati ya uhakika, wadau wameshauri sekta binafsi iandaliwe mazingira ili iweze kuwekeza katika miradi mikubwa ya uzalishaji nishati. Pia, nchi zimeshauriwa kuangalia namna ya kutumia mifuko ya pensheni na hifadhi ya jamii kwa ajili ya uendeshaji wa…

Read More

Tabora United yapewa mwamuzi ‘mtata’ dhidi Simba

Presha ya mchezo wa Tabora United dhidi ya Simba inazidi kupanda mdogondogo na taarifa ya kushtua ni kwamba mchezo huo utaamuliwa na mwamuzi Amina Kyando ambaye hana rekodi nzuri na wenyeji wa mechi hiyo. Kyando ataamua mechi hiyo ya tatu kwenye historia ya Tabora United huku mechi mbili zilizotangulia akikumbana na matukio ya utata yaliyosababisha…

Read More

Meneja wa Mbowe aeleza mitihani ya Lissu Chadema

Dar es Salaam. Siku chache baada ya kumalizika kwa uchaguzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), uongozi mpya chini ya Tundu Lissu unakabiliwa na mambo matatu, ikiwemo kuvunja makundi na kukipeleka chama hicho kwenye uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025. Mambo hayo yamebainishwa na Daniel Naftari, aliyekuwa Mratibu wa Kampeni za Freeman Mbowe, aliyekiongoza chama…

Read More