
Umuhimu wa watoto kwenye ndoa, japo ni majaliwa ya Mwenyezi Mungu
Japo dhima, lengo na maana kubwa vya ndoa ni kwa wawili kuishi pamoja kwa upendo, usawa na matarajio ya kuishi pamoja, nyingine ni kutengeneza au kuzaa watoto kwa lengo la kuendeleza kizazi. Hata hivyo, siku hizi ndoa inabadilika, hasa kwenye nchi za magharibi ambako hitajio la watoto si shuruti tena, bali chaguo na uamuzi wa…