Mume wangu hanisifii hata nikipendeza    

Anti nashindwa kumuelewa mume niliyenaye na hiki kinanipa shida sana. Huu ni mwaka wa sita nipo naye hajawahi kunisifua nikipendeza wala kunikosoa nisipopendeza. Ilimradi tunaishi tu. Huwa naona wivu sana wenzangu wanapotakiwa heri ya kuzaliwa au kumbukumbu ya ndoa zao, kwani kwangu hayo ni historia, haijawahi kutokea mume wangu akayazungumzia. Nilijaribu kufanya hili na lile…

Read More

Singida Black Stars yavunja kambi Arachuga

KOCHA Msaidizi wa Singida Black Stars, David Ouma ametamba timu hiyo imekamilika kila idara na ipo tayari kwa ajili ya mzunguko wa pili huku akitamba licha ya ugeni wa benchi la ufundi, wanajivunia wachezaji wao kuingia kwenye mfumo kwa uharaka. Singida Black Stars iliingia kambini mapema kwa ajili ya kujiweka sawa chini ya benchi lao…

Read More

Simba hii ya Fadlu, haiachi kitu

SIMBA inaianza safari ya michuano ya Kombe la Shirikisho ikiwa nyumbani kuikaribisha Kilimanjaro Wonders, huku kocha msaidizi wa timu hiyo, Seleman Matola akisema hawatawadharau wapinzani wao hao kwa vile msimu huu, Wekundu wa Msimbazi hawaachi kitu katika mbio za kurejesha mataji klabuni. Wekundu hao wenye mzuka baada ya kutinga robo fainali ya michuano ya Kombe…

Read More

Faili la beki wa Simba latua Sauzi

SIMBA inajiandaa kushuka uwanjani jioni ya leo kuvaana na Kilimanjaro Wonders katika mechi ya kiporo cha Kombe la Shirikisho, lakini mapema wakati kikosi hicho kikijiweka tayari, mabosi wa Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini walikuwa wakipitia faili la beki wa Wekundu hao kwa lengo la kutaka kumsajili. Ndiyo, klabu hiyo inayonolewa na kocha wa zamani wa…

Read More