Mambo 10 ya kushangaza kuhusu mvua

Dar es Salaam. Unapohisi mpangilio ule ule wa matone ya mvua yakigonga ngozi yako, huenda usifikirie kuhusu sifa za kuvutia za mvua. Hata hivyo, mvua ni sehemu ya ajabu la dunia yetu ya asili inayoficha siri nyingi. Kwa mujibu wa Mtandao wa FoxWeather, mvua hupitia mabadiliko mbalimbali na hufuata mifumo fulani kutoka utengenezwaji wake juu…

Read More

SERIKALI YAIPONGEZA KAMPUNI YA NDENENGO SENGUO

Kushoto ni mkuu wa wilaya ya Chato,Louis Peter Bura,akipata ufafanuzi kutoka kwa Msimamizi mkuu wa kampuni ya Ndenengo,aliyeko kulia. ……………………… Na Daniel Limbe,Chato SERIKALI wilayani Chato mkoani Geita imeipongeza kampuni ya kizalendo ya M/S Ndenengo Senguo Company Limited, inayotekeleza mradi wa upanuzi wa mtandao wa maji safi na salama kutoka Buzirayombo hadi Mkungo kutokana na…

Read More

Mbunge mwingine aomba gongo ya korosho ihalalishwe

Dodoma. Mbunge wa Ndanda (CCM), Cecil Mwambe leo Jumatatu April 14, 2025 bungeni jijini Dodoma ameihoji Serikali kama haioni haja ya kutafsiri sheria ili kuruhusu wakulima wa korosho wazalishe gongo. “Je Serikali haioni haja ya kutafsiri Sheria ya Intoxication Liquors Act 1968 ili kutoa fursa kwa wakulima kupata kipato kwenye gongo ya mabibo,” ameuliza Mwambe….

Read More

VIONGOZI OLOSIVA LAWAMANI KWA KUBOMOA KUTA ZA NYUMBA ZA WANANCHI BILA KUFUATA SHERIA, WAIOMBA SERIKALI KUINGILIA KATI NA KUWACHUKULIA HATUA ZA KISHERIA!

 Na Joseph Ngilisho ARUMERU  WANANCHI zaidi ya 200 wakiwemo mabalozi,diwani na mtendani kata katika kitongoji cha Olosiva wilaya ya Arumeru wamejichukukia sheria mkononi kwa  kubomoa kuta za nyumba za zaidi ya 100 bila kuwashirikisha wahusika jambo linaloashiria uwepo wa uvunjifu wa Amani. Tukio hilo kimetokea mwishoni mwa wiki na kuzua taharuki kubwa kwa wananchi waliobomolewa …

Read More

Simba yaipeleka Stellenbosch Zenji | Mwanaspoti

WAWAKILISHI pekee wa Tanzania katika michuano ya CAF, Simba imeamua kuwapeleka wapinzani wao wa mechi za nusu fainali, Stellenbosch ya Afrika visiwani Zanzibar. Simba itavaana na timu hiyo ya Afrika Kusini Jumapili ya wikiendi hii kwenye Uwanja wa Amaan Complex, baada ya Uwanja wa Benjamin Mkapa kufungiwa kwa muda kupisha ukarakati na mabosi wa Msimbazi…

Read More

TPDC, ZPDC ZAENDELEA KUSHIRIKIANA UENDELEZAJI SEKTA YA GESI NCHINI

…………….. Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) mwezi Februari, 2022 liliingia makubaliano ya ushirikiano na Shirika la Maendeleo ya Petroli Zanzibar (ZPDC) ambapo kupitia ushirikiano huo masuala mbalimbali yamekuwa yakifanyika kuiendeleza Sekta  ikiwemo kubadilishana ujuzi na utaalam. Mhe. Kapinga ameyasema hayo leo Aprili 14,…

Read More