Wabunge CCM mtegoni | Mwananchi

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimewatega wabunge wake, baada ya kutangaza mchakato wa kuchukua na kurudisha fomu za kuwania nafasi hiyo kabla ya kuvunjwa kwa Bunge Juni 27, 2025. CCM imetangaza kufungua pazia la uchukuaji na urejeshaji fomu za ubunge, udiwani na nafasi zote za viti maalumu kuanzia Mei mosi hadi 15, 2025,…

Read More

Vigogo African Sports wala kiapo Championship

KATIKA kuhakikisha African Sports inakwepa janga la kushuka daraja, viongozi wa kikosi hicho wamefanya kikao cha kujadili mambo mbalimbali yanayoihusu, huku kubwa ni jinsi gani ya kukabiliana na ukata wanaokumbana nao kwa sasa. Akizungumza na Mwanaspoti, Mwenyekiti wa African Sports, Ramadhani Sadiki alisema kutokana na hali wanayopitia waliamua kuitisha kikao na wadau, wanachama na mashabiki…

Read More

ALLIANCE Girls inataka kubaki WPL

ALLIANCE Girls ya mkoani Mwanza imesema haitaki mambo mengi Ligi Kuu ya Wanawake na inachokitaka ni kubaki tu msimu ujao. Msimu uliopita timu hiyo ilimaliza nafasi ya nane kwa tofauti ya idadi ya mabao ya kufunga na kufungwa ikilingana pointi na Baobab Queens iliyoshuka daraja sambamba na Geita Gold Queens. Akizungumza na Mwanaspoti, Kocha wa…

Read More

Makalla: Wanaruangwa ishikilieni Namungo FC

KATIBU wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla, amewahimiza wakazi wa Ruangwa mkoani Lindi kuendelea kuiunga mkono timu ya Namungo iliyopo katika Ligi Kuu Bara kwa vile  ni kichocheo kikubwa cha maendeleo ya kiuchumi wilayani humo. Akizungumza leo Jumapili, Aprili 13, 2025, na wananchi  wilayani Ruangwa, Makalla…

Read More

Othman rasmi kumvaa Mwinyi Uchaguzi mkuu

Unguja. Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa, Othman Masoud amechukua fomu ya kugombea Urais kupitia chama hicho katika uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu. Hatua ya Othman ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar kuchukua fomu hiyo, ni dhahiri anakwenda kuchuana na Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ambaye chama chake …

Read More

RAIS SAMIA ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA MKURUGENZI MTENDAJI TANESCO

  ……,……. Kupitia ukurasa wake wa mtandao kijamii Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ameandika “Nimepokea kwa masikitiko taarifa ya vifo vya Mhandisi Boniface Gissima Nyamohanga, Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), pamoja na dereva wake, Muhajiri Mohammed Haule, vilivyotokea usiku wa kuamkia leo kwa ajali ya barabarani eneo la Bunda, Mkoa wa Mara….

Read More

POLISI TANZANIA TAYARI KUWAVAA COSMOPOLITAN JUMAPILI HII

BABATI, MANYARA. TIMU ya Polisi Tanzania Jumapili hii Aprili 13, 2025 inawakaribisha Cosmopolitan katika mchezo wa Ligi ya Championship, mchezo utakaochezwa katika Uwanja wa Tanzanite Kwaraa Mjini Babati. Akizungumza  na Waandishi wa habari, Afisa habari wa timu ya Polisi Tanzania Inspekta Frank Lukwaro amesema kikosi hicho kipo vizuri na wachezaji wana ari na morali ya …

Read More

Mnoga agonganisha mabosi England | Mwanaspoti

MWEZI mmoja kabla ya mkataba wake na Salford City ya England kutamatika mwezi ujao (Mei), beki wa kimataifa wa Tanzania, Haji Mnoga ameanza kuwachonganisha viongozi wa timu hiyo. Mnoga alijiunga na Salford City kwa mkataba wa mwaka mmoja wenye kipengele cha kuongezeka ikiwa mchezaji huyo ataonyesha kiwango bora. Mwendelezo wa kiwango alichoonyesha beki huyo wa…

Read More

Mbeya City yampa mzuka kocha Madenge

KOCHA wa Biashara United, Omary Madenge amesema sare ya bao 1-1, iliyoipata kikosi hicho Aprili 9, dhidi ya Mbeya City kwenye Uwanja wa Karume Mara, imewaongezea morali ya kupambana ili kuinusuru timu hiyo isishuke daraja. Madenge aliyekuwa Mkurugenzi wa Ufundi katika timu hiyo kabla ya kuifundisha baada ya kuondoka kwa Kocha Mussa Rashid aliyejiunga na…

Read More