Yao Kouassi, Pacome, Dube wategwa Yanga

KIKOSI cha Yanga jana jioni kilikuwa uwanjani kuvaana na Copco ya Mwanza katika pambano la kiporo cha michuano ya Kombe la Shirikisho, huku kocha wa timu hiyo, Sead Ramovic akiwatega mastaa wa timu hiyo akiwamo Pacome Zouzoua, Yao Kouassi na Prince Dube. Kocha huyo raia wa Ujerumani, amewatumia mastaa hao ujumbe na wengine wa timu…

Read More

UNDOF ni nini? Kwa nini walinda amani wa Umoja wa Mataifa wanashika doria kwenye mpaka wa Israel na Syria – Masuala ya Ulimwenguni

Moja ya UN misheni ya muda mrefu zaidi ya kulinda amani – Kikosi cha Waangalizi wa Kutengwa kwa Umoja wa Mataifa, kinachojulikana kwa kifupi chake UNDOF – kilianza zaidi ya nusu karne iliyopita wakati mgogoro wa Mashariki ya Kati wa 1973 ulipolipuka. The Makubaliano ya Kutengana kati ya vikosi vya Israeli na Syria ilihitimishwa ambayo…

Read More

UN yawahamisha wafanyikazi wasio muhimu kutoka Kivu Kaskazini, DR Congo – Global Issues

Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini DR Congo, MONUSCOinahamisha wafanyikazi wa utawala na wengine katika Kivu Kaskazini ambao wanaweza kuendelea kutekeleza majukumu yao kutoka mahali pengine kwa kukabiliana na kuzorota kwa hali ya usalama na kuzidisha uhasama unaohusisha kundi lisilo la Serikali la M23, vuguvugu linaloungwa mkono na Rwanda dhidi ya Serikali ya Kongo. “Hatua…

Read More

Magomeni Makuti Yafurahia Ujio wa Meridianbet

JUMAMOSI nyingine tena ya mwezi wa kwanza ambapo siku ya leo kampuni kubwa ya ubashiri Tanzania, Meridianbet imeamua kuwafikia wakazi wa Magomeni Makuti na kutao msaada wa vyakula. Meridianbet, kwa kutambua changamoto zinazowakabili wakazi wa Magomeni Makuti, iliamua kuwatembelea wakazi wa eneo hilo na kutoa msaada wa vyakula kwa familia zinazokumbwa na hali ngumu ya…

Read More

TAWA IMESHIRIKI WIKI YA SHERIA KANDA YA DAR ES SALAAM

MAMLAKA ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania(TAWA) Kanda Maalum ya Dar es Salaam imeshiriki katika maandamano ya kuanzishamisha wiki ya sheria Maandamani hayo yameanzia Mahakama Kuu, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kuhitimishwa katika viwanja vya mnazi mmoja huku yakishirikisha wahifadhi kutoka Makao Makuu ya Kanda na kituo cha Magofu leo januari25,2025. Kauli mbiu ya maadhimisho…

Read More

ILALA TUPO TAYARI KUPOKEA UGENI “ DC MPOGOLO

    Na Mwandishi Wetu Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Mheshimiwa Edward Mpogolo, amesema Wilaya ya Ilala imejipanga kikamilifu kupokea ugeni mkubwa wa marais na viongozi wa nchi za Afrika wanaotarajiwa kuwasili nchini kwa ajili ya mkutano  utakaofanyika tarehe 27 na 28 Januari mwaka huu. Ameyasema hayo leo, tarehe 25 Januari 2025, wakati wa zoezi…

Read More