Wabunge CCM mtegoni | Mwananchi
Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimewatega wabunge wake, baada ya kutangaza mchakato wa kuchukua na kurudisha fomu za kuwania nafasi hiyo kabla ya kuvunjwa kwa Bunge Juni 27, 2025. CCM imetangaza kufungua pazia la uchukuaji na urejeshaji fomu za ubunge, udiwani na nafasi zote za viti maalumu kuanzia Mei mosi hadi 15, 2025,…