
Yao Kouassi, Pacome, Dube wategwa Yanga
KIKOSI cha Yanga jana jioni kilikuwa uwanjani kuvaana na Copco ya Mwanza katika pambano la kiporo cha michuano ya Kombe la Shirikisho, huku kocha wa timu hiyo, Sead Ramovic akiwatega mastaa wa timu hiyo akiwamo Pacome Zouzoua, Yao Kouassi na Prince Dube. Kocha huyo raia wa Ujerumani, amewatumia mastaa hao ujumbe na wengine wa timu…