Nchi zinakamilisha makubaliano ya kihistoria ya janga baada ya mazungumzo ya miaka mitatu – maswala ya ulimwengu

Iliyotengenezwa baada ya zaidi ya miaka mitatu ya mazungumzo chini ya malengo ya Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO), rasimu inaelezea mfumo wa kuimarisha ushirikiano wa kimataifa, usawa na ujasiri katika uso wa vitisho vya afya vya ulimwengu. “Mataifa ya ulimwengu yalifanya historia huko Geneva leo” Alisema WHO Mkurugenzi Mkuu Tedros Adhanom Ghebreyesus. “Katika kufikia makubaliano…

Read More

CAG abaini ucheleweshwaji fidia waathirika wa miradi

Dar es Salaam. Fidia kwa watu walioathiriwa na miradi (PAPs) zenye thamani ya Sh27.81 bilioni katika miradi mitatu ya miundombinu ya barabara na mmoja wa maji haikulipwa, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere amebaini. Imebainika fidia hizo hazikulipwa licha ya kuendelea kutekelezwa kwa miradi hiyo, na kupita kwa muda wa…

Read More

Safari ya Nyamo-Hanga ilivyohitimishwa Bunda

Bunda. Majonzi yametawala miongoni mwa viongozi wa umma, binafsi, wafanyakazi, familia, ndugu jamaa na marafiki waliokusanyika mjini Bunda, mkoani Mara katika maziko ya Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Gissima Nyamo-Hanga. Maziko yamefanyika leo Jumatano, Aprili 16, 2025, eneo la Migungani mjini Bunda, waombolezaji wakiongozwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati,…

Read More

Wanafunzi wa kike wabuni mashine ya kuhesabu kura

Arusha. Katika kusaidia kuharakisha mchakato wa kuhesabu kura, wanafunzi wawili wa kike wa kidato cha tatu, wamebuni kifaa kinachoweza kutumika kuhesabu kura. Aidha wamesema licha ya kutambua kuwa kifaa hicho hakijafikia viwango vya kuweza kutumika katika chaguzi mbalimbali ikiwemo Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani wa mwaka huu, wameiomba Serikali kuwasaidia kuboresha mashine hiyo ili…

Read More

Pamba Jiji yaziendea msituni pointi sita

PAMBA Jiji imekubaliana na kipigo ilichokipata katika robo fainali ya Kombe la Shirikisho (FA), lakini imesema haitakubali kuona inashindwa kupata pointi sita katika mechi mbili zijazo katika Ligi Kuu Bara ili kuwa sehemu salama zaidi. Timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu Bara msimu huu kwa mara ya kwanza baada ya kupita takribani miaka 23, Jumatatu wiki…

Read More

Wakali wa hat trick fa maguri, shaibu wamo

WAKATI mashindano ya Kombe la Shirikisho (FA) yakitinga hatua ya nusu fainali, nyota kadhaa wamefunga ha trick katika mechi walizocheza, huku wale wa Ligi ya Championship wakitamba. Nyota wa kwanza kufunga hat trick ni Kassim Shaibu ‘Mayele’ wa TMA Stars waliposhinda mabao 5-1 dhidi ya Mabingwa wa Mkoa wa Tanga, Leopards FC hatua ya 64…

Read More