Kocha Tabora United ajichomoa | Mwanaspoti

KOCHA Mkuu wa Tabora United, Mzimbabwe Genesis ‘Kaka’ Mangombe imedaiwa amejiweka kando kukifundisha kikosi hicho, huku sababu kubwa ikielezwa ni kutokana na mwenendo usioridhisha wa timu hiyo ikiwa ni siku zisizofikia 20 tangu amejiunga nayo Machi 28, 2025. Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo, zimeliambia Mwanaspoti kuwa, kocha huyo amejiweka pembeni kutokana na kutoridhishwa na…

Read More

CAG: Tanzania haijapewa ardhi Uturuki, Kuwait

Dar es salaam. Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2023/2024 imebainisha kuwa Tanzania haijapewa ardhi, Uturuki na Kuwait licha ya kutoa maeneo Dodoma. Ripoti hiyo iliyowekwa wazi jana imeeleza kuwa Serikali ya Tanzania iliipatia Jamhuri ya Uturuki ekari tano za ardhi katika eneo la Mtumba-Dodoma lililotengwa kwa ajili…

Read More

Buswita mambo magumu Namungo | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Namungo, Pius Buswita amekiri msimu huu amekuwa na wakati mgumu katika kasi ya kutupia mipira nyavuni, lakini amesema kama hataifikia rekodi ya msimu uliopita ya mabao saba, basi hata akimaliza na matano kupitia mechi zilizosalia kwake itakuwa freshi tu. Kwa sasa nyota huyo wa zamani wa Mbao na Yanga, ana mabao matatu na…

Read More

Uchaguzi Mkuu 2025: Musukuma alipuka bungeni

Dodoma. Homa ya uchaguzi imeendelea kutanda bungeni ambapo Mbunge wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Musukuma ameshauri watumishi wa umma wanaotaka kugombea ubunge katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025, wafanyiwe ukaguzi maalumu ili kuepuka Bunge kuwa sehemu ya vichaka vya kujificha watu wasio waadilifu. Musukuma ametoa angalizo hilo kipindi ambacho vuguvugu la uchaguzi katika majimbo limepamba…

Read More

Gambo aibua tuhuma za ufisadi Arusha, Spika Tulia…

Dodoma. Mbunge wa Arusha Mjini (CCM), Mrisho Gambo ameibua tuhuma za ufisadi juu ya matumizi mabaya ya fedha kwenye miradi ya maendeleo. Gambo amesema hayo leo Jumatano, Aprili 16, 2025 wakati akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) kwa mwaka wa fedha 2025/26. “Mimi…

Read More

Mchengerwa ataja vipaumbele bajeti ya Tamisemi 2025/26

Dar es Salaam. Udhibiti wa matumizi yasiyo na tija ni miongoni mwa vipaumbele vinavyojirudia katika bajeti za Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) 2025/26 huku kukiwa na mapengo ya utekelezwaji wake. Mapengo hayo yanathibitishwa katika Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), katika mwaka unaoishia Machi…

Read More

TRC ilivyobeba abiria ‘kiduchu’ Dar, kuboresha huduma

Moshi. Shirika la Reli Tanzania (TRC), limeshindwa kufikia malengo ya mkakati wake wa miaka mitano (2019/2020-2023/2024) wa kubeba abiria milioni 10 katika utoaji wa usafiri jijini Dar es Salaam, na kuishia kubeba asilimia 28 tu ya lengo. Hayo yamebainishwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere katika ripoti Kuu ya…

Read More

WASIRA AKUTANA NA KADINALI PROTASE RUGAMBWA TABORA

Na Mwandishi Wetu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amekutana na kufanya mazungumzo na Muadhama Kadinali Protase Rugambwa katika Jimbo Kuu Katoliki la Tabora. Wasira amekutana na Kadinali Rugambwa leo Aprili 16, 2025 katika Jimbo Kuu Katoliki Tabora akiwa katika ziara ya kukagua uhai wa Chama na utekelezaji wa Ilani…

Read More