Kocha Tabora United ajichomoa | Mwanaspoti
KOCHA Mkuu wa Tabora United, Mzimbabwe Genesis ‘Kaka’ Mangombe imedaiwa amejiweka kando kukifundisha kikosi hicho, huku sababu kubwa ikielezwa ni kutokana na mwenendo usioridhisha wa timu hiyo ikiwa ni siku zisizofikia 20 tangu amejiunga nayo Machi 28, 2025. Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo, zimeliambia Mwanaspoti kuwa, kocha huyo amejiweka pembeni kutokana na kutoridhishwa na…