SERIKALI YAZINDUA MRADI WA MAJI KIJIJI CHA TUNGAMAA PANGANI, WANANCHI ZAIDI YA 2500 KUNUFAIKA

Na Oscar Assenga,Pangani ZAIDI ya Wananchi 2500 wa Kijiji cha Tungamaa wilayani Pangani mkoani Tanga watanufaika na mradi wa Maji baada ya Serikali kutekeleza mradi katika eneo hilo uliogharimu kiasi cha Milioni 500 kupitia Wakala wa Maji Vijijini (RUWASA) Akizungumza wakati akizindua mradi huo ambao umetekelezwa kwa muda mfupi kwa kutumia Force Akaunti, kwa niaba…

Read More

FEDHA ZISIZOTUMIKA HADI MWISHO WA MWAKA KURUDI MFUKO MKUU WA SERIKALI

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akijibu swali bungeni jijini Dodoma, lililoulizwa na Mbunge wa Tandahimba Mhe. Katani Ahmad Katani, aliyetaka kujua lini Serikali itarejesha fedha za miradi zilizochukuliwa na Hazina. (Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Fedha) ………………. Na. Josephine Majura, WF, Dodoma Serikali imesema kuwa fedha ambazo hazijatumika…

Read More

WAZIRI MKUU AKAGUA ATHARI ZA MVUA LINDI, ATOA MAELEKEZO KWA MAMENEJA WA TANROADS NCHINI

………………… Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza Mameneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS) wote nchini kuhakikisha wanakagua vipenyo vya makalvati na madaraja yote katika maeneo yao kabla na baada ya msimu wa mvua ili  kujiridhisha  kama vinapitisha maji kwa urahisi bila kuathiri barabara. Majaliwa ametoa maelekezo hayo  leo Aprili 16, 2025 mara baada ya kuwasili mkoani…

Read More

Watoto wanaoripoti matukio ya kufanyiwa ukatili kulindwa

Na Diana Byera,Missenyi. Wanafunzi na watoto ambao wako chini ya miaka 18 wilayani Missenyi mkoani Kagera,  wamehakikishiwa kuwa Siri zao wanazowasilisha katika madawati ya Polisi na Ustawi wa Jamii kuhusu ukatili unaowakumba shuleni na Majumbani zinalindwa hivyo wasiogope kutoa taarifa kwa vitisho wa Waharifu. Timu ya Kampeni ya msaada wa kisheria ya mama Samia “MSLAC”…

Read More

MCHENGERWA ATOA MAAGIZO MAHUSUSI KWA maRC na maDED

OR TAMISEMI Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Tamisemi Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa amewaelekeza Wakuu wote wa mikoa kuwasimiamia Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kuzingatia vipaumbele vya mwaka 2025/26 kikamilifu. Waziri Mchengerwa ametoa maelekezo hayo leo Aprili 16, 2025 wakati akiwasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya wizara na taasisi zake kwa mwaka…

Read More