Wanawake wanaopenda kubusu ndevu hatarini

Dar es Salaam. Katika jamii nyingi, ndevu zimekuwa ishara ya uanamume, mvuto na hata heshima. Wanawake wengi huvutiwa na wanaume wenye ndevu nadhifu na nzuri.  Hata katika utafiti uliochapishwa na tovuti ya VWO testing inayojihusisha na masuala ya mitindo kwa wanaume kupitia mfumo walioupa jina la A/B testing, umebaini kuwa wanawake wengi  huvutiwa sana na…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Kosa la pili halifuti la kwanza

Katika kila jamii kuna mambo yanayostahili kupongezwa na kuungwa mkono, na yapo pia yanayostahili kulaumiwa au kulaaniwa.  Jamii yoyote ile, iwe inaongozwa kwa misingi ya demokrasia, kifalme au hata udikteta, kuna vitendo vinapofanyika huwa havikubaliki na jamii husika.  Lakini pale jamii inaposhindwa kupaza sauti, kukosoa au kulaani maovu hayo, hujikuta ikibaki na masikitiko, ikiguna pembeni…

Read More

BARAZA LA MZEE SALIM: Hakuna Mtanzania aliye juu ya sheria

Katika kila jamii kuna mambo yanayostahili kupongezwa na kuungwa mkono, na yapo pia yanayostahili kulaumiwa au kulaaniwa.  Jamii yoyote ile, iwe inaongozwa kwa misingi ya demokrasia, kifalme au hata udikteta, kuna vitendo vinapofanyika huwa havikubaliki na jamii husika.  Lakini pale jamii inaposhindwa kupaza sauti, kukosoa au kulaani maovu hayo, hujikuta ikibaki na masikitiko, ikiguna pembeni…

Read More

Nabi avujisha faili la Wasauz, Fadlu ashindwe mwenyewe

KUNA sababu tatu ambazo kocha wa zamani wa Yanga, Nasreddine Nabi amezitaja ambazo zinaipa Simba nafasi kubwa ya kuitoa Stellenbosch ya Afrika Kusini. Nabi ambaye kwa sasa anaifundisha Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini, amesema anawafahamu vizuri Stellenbosch kwani hivi karibuni amecheza nao mara tatu na kuwapiga nje ndani. Kocha huyo raia wa Tunisia, katika mechi…

Read More

UCHUKUAJI FOMU ZA UBUNGE CCM RASMI JUNE 28

 **** Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesema kwamba baada ya mashauriano na Wanachama wake, kutafakari na kupima kwa umakini ushauri huo, kimeamua kufanya marekebisho juu ya ratiba ya mchakato wa ndani wa uteuzi wa Wagombea wa nafasi ya ubunge, ujumbe wa Baraza la Wawakilishi na udiwani, kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025. Taarifa iliyotolewa…

Read More