KANUNI MAADILI YA UCHAGUZI: ‘Kibano’ kwa Serikali, Tume, vyama vya siasa
Wiki iliyopita, vyama vya siasa, Serikali na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) walitia saini Kanuni za Maadili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani za Mwaka 2025, ikiwa ni hatua za awali za kuanza kwa mchakato wa uchaguzi. Wadau hao walikutana jijini Dodoma na kusaini kanuni hizo ambazo baadaye zitatangazwa kwenye gazeti la…