TMA YAPONGEZWA KWA UBORESHWAJI WA TAARIFA ZA HALI YA HEWA

………………….. Morogoro, Tarehe 15/04/2025 Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imepongezwa kwa uboreshwaji wa utabiri wa hali ya hewa na taarifa za tahadhari za matukio ya hali mbaya ya hewa nchini.  Hayo yamesemwa na Mhe. Dkt. Rozalia Rwegasira,  Kaimu Katibu Tawala Mkoa, sehemu ya uchumi na uzalishaji wa mkoa wa Morogoro wakati wa ufunguzi…

Read More

WAZIRI MKUU AMPONGEZA RAIS DKT. SAMIA MAFANIKIO MIAKA MINNE

……………………  ▪️Asema ameimarisha ukusanyaji wa mapato, utekelezaji wa miradi nchini ▪️Asema Miaka minne ya uongozi wake ilani imetekelezwa kwa kiwango kikubwa ▪️Asisitiza ilikuwa ni miaka minne ya kazi na uwajibikaji   WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amempongeza Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa mafanikio yaliyopatikana katika miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita ambapo imeshuhudiwa…

Read More

KINSABE WAISHUKURU RUWASA UPATIKANAJI WA MAJI SAFI YA BOMBA

Mkuu wa wilaya ya Chato,Louis Peter Bura,akimtua ndoo mama kichwani kama ishara ya utekelezaji wa agizo la Rais Samia Suluhu Hassan ……………………… Na Daniel Limbe,Chato WAKAZI wa Kijiji cha Kinsabe kata ya Iparamasa wilayani Chato mkoani Geita wameipongeza mamlaka ya usambazaji maji na Usafi wa Mazingira vijijini (Ruwasa) baada ya kuwanusuru na adha ya kutumia…

Read More

Bunge lapitisha bajeti ofisi ya Waziri Mkuu

Dodoma. Bunge limepitisha bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu, taasisi zake na Mfuko wa Bunge kwa mwaka 2025/26 huku Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisema Serikali itaendelea kuhakikisha kuna hali ya usalama, amani na utulivu kipindi chote cha uchaguzi. Ofisi hizo zimepitishiwa Sh782.08 bilioni katika mwaka huo wa fedha. Hotuba hiyo ilichangiwa na wabunge 103 lakini…

Read More

Mikakati mipya ya Zipa kuifungua Pemba kiuchumi

Dar es Salaam. Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar (Zipa), imeeleza jitihada inazofanya katika kuvifungua visiwa vya Pemba, ikiwemo kuwa mwenyeji wa kongamano kubwa la uwekezaji litakalofanyika visiwani humo. Hayo yamesemwa leo, Jumanne, Aprili 15, 2025, na Mkurugenzi Mtendaji wa Zipa, Saleh Saad Mohamed, alipotembelea ofisi za Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), zilizopo Tabata, jijini…

Read More

Unaijua Dhahabu Yenye Rangi Nyeusi?

MOJA kati ya vitu vyenye thamani kubwa duniani kwa rasilimali za asili ukiachana na mafuta kuna hii kitu inaitwa dhahabu, Tanzania imejaliwa utajiri huu lakini Meridianbet imekuletea mchezo maalum wa dhahabu tu na malipo yake ni makubwa yenye thamani kama ya mafuta na dhahabu, kucheza na kushinda ni rahisi, soma hapa mbinu za ushindi na…

Read More

Mikakati ya Zipa kuifungua Pemba

Dar es Salaam. Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar (Zipa), imeeleza jitihada inazofanya katika kuvifungua visiwa vya Pemba, ikiwemo kuwa mwenyeji wa kongamano kubwa la uwekezaji litakalofanyika visiwani humo. Hayo yamesemwa leo, Jumanne, Aprili 15, 2025, na Mkurugenzi Mtendaji wa Zipa, Saleh Saad Mohamed, alipotembelea ofisi za Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), zilizopo Tabata, jijini…

Read More

KAZOBA INTERNATIONAL HERBAL PRODUCTS YAWA KIMBILIO LA TIBA ASILI,MAMIA WAHUDUMIWA SERIKALI YAMKUBALI YAMPATIA CHETI CHA KUKUBALI HUDUMA ZAKE

By ngilishonews.com MTAALAMU Maarufu wa Tiba asili nchini , kupitia taasisi yake ya Kazoba International Herbal Products amewashauri  watoa huduma za tiba asili hapa nchini, kusajili huduma zao pamoja na dawa zao kwa kufuata sheria ili kuunga mkono juhudi za serikali. Dkt Kazoba mbali na kutoa huduma hiyo ya Tiba asili pia kupitia taasisi yake…

Read More