Wawili wafariki dunia kwa kufukiwa mgodini Simiyu

Bariadi. Wachimbaji wadogo wawili wa madini ya dhahabu katika mgodi wa Ikinabusu namba 2, Wilaya ya Bariadi, mkoani Simiyu, wamefariki dunia baada ya gema kuporomoka na kuwafukia, huku mmoja akinusurika. Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Simiyu, Mrakibu Msaidizi wa Zimamoto Faustine Mtitu, akizungumza na waandishi wa habari mjini Bariadi, amewataja…

Read More

Tamu, chungu kuahirishwa Chan 2024

Uamuzi wa kusogezwa mbele fainali za mataifa ya Afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi za ndani (Chan) 2024 hadi Agosti mwaka huu unaweza kuja na faida chanya na hasi hasa kwa Tanzania ambayo ni miongoni mwa nchi tatu wenyeji wa mashindano hayo. Jumanne, Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (Caf) lilitangaza kuwa fainali hizo ambazo zilipangwa…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Labda Mapinduzi Cup itamfufua Hilika

UKIENDA kule Visiwani Zanzibar, mshikaji wetu Ibrahim Hamad ‘Hilika’ ni staa mkubwa sana na mashabiki wa soka pale huwaambii kitu kuhusu jamaa. Wenyewe kutokana na mahaba ambayo wanayo kwa mshambuliaji huyo wameamua kumpachika jina la utani la straika wa nchi wakimaanisha kuwa pale visiwani hakuna mshambuliaji hatari kumzidi. Mahaba ya Wazanzibar kwa Hilika hayajatokea kwa…

Read More

JKT waitana kambini, kocha akilia na mastraika

KIKOSI cha JKT Tanzania kesho Jumamosi kinaanza rasmi kambi ya mazoezi kwa ajili ya kujiweka tayari kumaliza duru la pili la Ligi Kuu Bara, huku kocha wa timu hiyo, Ahmed Ally akilia na safu ya ushambuliaji. Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) inatangaza mabadiliko ya tarehe ya kurejea kwa michezo ya ligi ambayo hapo awali…

Read More

Mwamuzi wa Simba v Constantine huyu hapa

SIMBA inaendelea kujifua kwa ajili ya pambano la mwisho la Kundi A la Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya CS Constantine ya Algeria, lakini mastaa wa timu hiyo wanapaswa kuwa makini kwani pambano hilo limepewa mwamuzi Celso Armindo Alvação kutoka Msumbiji ambaye ni mwamuzi wa kumwaga kadi. Mwamuzi huyo atakayesaidiwa pia na waamuzi kutoka nchini…

Read More

Polisi wamdaka dereva wa lori lililoua 11 Handeni

Handeni. Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga linamshikilia dereva wa lori aliyesababisha ajali iliyoua watu 11 na kujeruhi wengine 13. Ajali hiyo ilitokea Januari 13, 2025, saa 3:30 usiku, katika kijiji cha Chang’ombe, wilaya ya Handeni. Akizungumza na waandishi wa habari jana Januari 16, 2025 katika kituo kidogo cha polisi cha Mkata, Wilaya ya Handeni,…

Read More

PIRAMID YA AFYA: Kutopenda kula inaweza kuwa tatizo la kiakili

Mara nyingi tumekuwa tukiona tatizo la kutopenda kula zaidi nyakati za utotoni, lakini kumbe tatizo hili linaweza kujitokeza ukubwani, chanzo kikiwa tatizo la kisaikolojia au kiakili. Anorexia Nervosa ni ugonjwa wa akili unaosababisha muathirika kuwa na hofu kali ya kupata uzito au unene, hivyo kupoteza hamu ya kula kabisa, hatimaye kupoteza uzito mwingi unaohatarisha afya…

Read More