TRC, ofisi ya mtaa wachukua hatua kivuko cha SGR

Dar es Salaam. Kutokana na kujaa maji katika karavati ambalo wananchi wanalitumia kama kivuko kupita kwenye reli ya umeme (SGR) maeneo ya Gongolamboto jijini Dar es Salaam Shirika la Reli Tanzania (TRC) na ofisi ya serikali za mitaa wamechukua hatua  kushughulikia tatizo hilo. Hayo yamesemwa leo Jumanne Aprili 15, 2025 na mwenyekiti wa Serikali ya…

Read More

RAIS SAMIA MLEZI BORA WA CHAMA CHA MAWAKILI WA SERIKALI

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Mwanasheria Mkuu wa Serikali wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Hamza Johari amemshukuru Rais Samia kwa kuendelea kukilea chama Cha Mawakili wa Serikali kwa miaka mitatu na kusema kuwa ni wajibu wao sasa kukilinda na kuhakikisha kinafikia malengo yake. Mwanasheria Mkuu wa Serikali ameyazungumza hayo leo Aprili 15, 2025…

Read More

Chadema jino kwa jino na INEC kanuni za uchaguzi

Dar es Salaam. Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Dk Rugemeleza Nshala amesema Watendaji wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), wanapaswa kujitathimini kama wanaweza kutekeleza majukumu yao baada ya kusema Chadema hakitashiriki uchaguzi kwa kuwa  hakijasaini kanuni za maadili ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Amesema sababu za chama au mgombea  kutoshiriki uchaguzi mkuu zimetajwa kwenye…

Read More

Dereva wa Tanesco aliyefariki ajalini alistaafu mwaka jana

Kibaha/Musoma. Imeelezwa kuwa dereva wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Muhajiri Haule, aliyepoteza maisha katika ajali ya gari iliyosababisha pia kifo cha Mkurugenzi Mtendaji wa shirika hilo, Gissima Nyamo-Hanga, alikuwa amestaafu utumishi wa umma tangu mwaka jana. Ajali hiyo ilitokea Aprili 13, 2025 eneo la Nyatwali, wilayani Bunda Mkoa wa Mara, wakati mkurugenzi huyo na…

Read More

TARURA YAWAKANA WANANCHI WALIBOMOA KUTA ZA NYUMBA100 ZA WENZAO ,WATAKIWA KUADHIBIWA ,WALIDAI WAMETUMWA NA TARURA KUPANUA BARABARA,YAWATAKA KUFUATA SHERIA!

 Na Joseph Ngilisho ARUSHA  SAKATA la wakazi wa kitongoji cha Olisiva  kata ya Olorien wilayani Arumeru,kubomolewa kuta za Nyumba zao zaidi ya 100  na wananchi wenzao wakishirikiana na viongozi wa kata kwa madai ya kutengeneza barabara, limechukua sura mpya. Aprili 12 Mwaka huu,wananchi zaidi ya 200  wa kata hiyo ya Olisiva waliendesha bomoabomoa ya kuta…

Read More

Kagera Sugar ilivyomfungulia njia Adebayor

BAADA ya winga wa Singida Black Stars, Victorien Adebayor kufunga bao moja katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Kagera Sugar, mchezaji huyo amesema imetimiza hamu yake ya kucheka na nyavu. Hilo ni bao la kwanza kwa Adebayor tangu alipojiunga na Singida Black Stars mwanzoni mwa msimu huu akitokea AS GNN ya nchini kwao Niger. Adebayor…

Read More