MAKAMU WA RAIS AFUNGUA KONGAMANO LA KODI MWAK 2025

…………………. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema Serikali ya Awamu ya Sita itaendelea kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji nchini ikiwemo kuimarisha hali ya ulinzi, amani na usalama na kuboresha mfumo wa viwango vya kodi. Makamu wa Rais amesema hayo wakati akifungua Kongamano la Kodi na Uwekezaji…

Read More

Majaji watakaoamua hatima ya Katiba Mpya

Dar es Salaam. Hatima ya upatikanaji wa Katiba mpya sasa imewekwa mikononi mwa jopo la majaji watatu linaloongozwa na Jaji Adam Mambi. Majaji wengine katika jopo hilo ni Dk Zainabu Mango na Frank Mirindo. Jopo hilo ndilo lililokabidhiwa na Jaji Kiongozi, Mustapher Siyani, dhima ya kuamua shauri la kikatiba linalolenga kufufua na kuhitimisha mchakato wa…

Read More

Bashe awavaa TRA kisa mashine za EFD

Dodoma. Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, ameionya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutowalazimisha wakulima kutumia mashine za kutoa risiti za kielektroniki (EFDs), akibainisha kuwa hakuna sheria iliyopitishwa na Bunge inayowataka kufanya hivyo. Bashe ameyasema hayo leo Aprili 15, 2025 wakati akichangia mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu, taasisi zake…

Read More

Mbunge alilia barabara ili apite kwenda kuomba kura za Rais Samia

Dodoma. Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Angelina Malembeka ameitaka Serikali kuharakisha ujenzi wa barabara katika maeneo mbalimbali nchini, ili kuwawezesha wananchi kufika kwa urahisi na kumuombea kura Rais Samia Suluhu Hassan. Malembeka ametoa kauli hiyo leo bungeni, Jumatatu, wakati akichangia hotuba ya Waziri Mkuu kuhusu bajeti ya mwaka 2025/26, ambapo Serikali imeomba kuidhinishiwa na Bunge…

Read More

Baba miaka 30 jela kwa kuzini mwanaye

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Musoma, imebariki adhabu ya kifungo cha miaka 30 jela kwa mkazi wa Bunda, aliyohukumiwa kwa kosa la kuzini na binti yake wa kumzaa aliyekuwa na umri wa miaka 12. Kulingana na Kanuni ya Adhabu Sura ya 16 kama ilivyofanyiwa marejeo mwaka 2022, kosa la kuzini na ndugu wa damu (incest…

Read More

RAIS SAMIA MGENI RASMI TUZO ZA WAANDISHI WA HABARI DODOMA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wanahabari, maarufu kama Samia Kalamu Awards. Tuzo hizi zinalenga kuhamasisha uandishi wa habari za maendeleo kwa kufanya uchambuzi na utafiti wa kina, kuongeza maudhui ya ndani, kuzingatia weledi, maadili, uwajibikaji wa kitaaluma,…

Read More