Chadema yapitisha 23 kuwania  ujumbe Kamati Kuu

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimewapitisha makada wake 23 kuwania ujumbe wa Kamati Kuu. Hatua ya kupitishwa kwa wagombea hao, imekuja baada ya leo, Jumapili Januari 19, 2025 kusailiwa katika ofisi za makao makuu ya chama hicho, Dar es Salaam.  Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Itifaki na Mambo ya Nje wa…

Read More

Dk Nchimbi atajwa turufu kwa CCM Uchaguzi Mkuu

Dar es Salaam. Hatua ya mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan kumteua Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Emmanuel Nchimbi kuwa mgombea mwenza wa urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, inatajwa kuwa turufu kwa chama hicho. Hilo linatokana na kile kilichoelezwa na wachambuzi wa masuala ya siasa kuwa, mtendaji…

Read More

Sababu CCM kuazimia Samia, Dk Mwinyi kugombea urais 2025

Dodoma/Dar. Kama kuna mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mwenye ndoto ya kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba, mwaka huu, basi asahau, kwani wajumbe wa mkutano mkuu maalumu wa chama hicho wamefunga milango. Kwa kauli moja, wajumbe wameazimia Rais Samia Suluhu Hassan ndiye atakuwa mgombea urais wa chama hicho wa Tanzania, huku Zanzibar atakuwa,…

Read More

CCM yatangaza muundo mpya wa wajumbe, uteuzi wa wagombea

Dodoma/Dar es Salaam. Hatua ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kufanya mabadiliko ya Katiba yao huenda ikazua maumivu kwa wagombea ubunge na udiwani. Mabadiliko hayo yamefanywa na Mkutano Mkuu wa chama hicho, jijini Dodoma leo Januari 19, 2025, mbele ya Mwenyekiti wake, Rais Samia Suluhu Hassan. Akisoma mabadiliko hayo, Katibu wa NEC, Oganaizesheni Taifa, Issa Gavu,…

Read More

Wenyeviti 21 wa Chadema watangaza kumuunga mkono Lissu

Dar es Salaam. Wenyeviti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutoka mikoa 21, wametoa tamko rasmi la kumuunga mkono Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu katika kinyang’anyiro cha kuwania nafasi ya Uenyekiti wa Taifa. Viongozi hao wanatoka katika mikoa ya Mara, Ruvuma, Katavi, Simiyu, Rukwa, Songwe, Ubungo, Mtwara, Ilala, Kaskazini Unguja, Geita, Kagera, Singida,…

Read More

Fadlu awamwagia sifa mastaa wa Simba

KOCHA wa Simba, Fadlu Davids ameonyesha kufurahishwa na viwango vya wachezaji wa timu hiyo na kuwamwagia sifa kutokana na kuonyesha ukomavu na kupata matokeo ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya CS Constantine ya Algeria wakati wakihitimisha mechi za makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika. Simba ilipata ushindi huo jioni ya leo kwenye Uwanja wa…

Read More

Mtoto aliyeibwa Januari 15 apatikana kwenye mashamba ya miwa

Kilosa. Mtoto Shamimu Nasibu, mwenye umri wa miaka miwili ambaye aliripotiwa kupotea alipokuwa akicheza na mwenzake karibu na nyumbani kwao, hatimaye amepatikana akiwa hai kwenye mashamba ya miwa katika Kijiji cha Kisanga, kata ya Ruaha, Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro. Mtoto huyo aligunduliwa na wasamaria wema waliokuwa wakipita katika mashamba hayo. Akizungumza na Mwananchi leo…

Read More

Spika wa Bunge la Tanzania Dokta Tulia Akson awakilishwa vyema Mbio za Miaka 25 ya TAWJA dhidi ya ukatili wa kijinsia.

Na Jane Edward,Arusha Spika wa bunge la Tanzania Dokta Tulia Akson amekipongeza chama cha majaji na mahakimu wanawake Tanzania (TAWJA)kwa kuanzisha vilabu vya haki ya kijinsia katika shule sita za sekondari jijini Arusha kwani vilabu hivyo vitakuwa ni chachu ya kujenga hisia na kupandikiza mbegu ya kuamini na kusimamia haki katika jamii hapa nchini. Akizungumza…

Read More

Bila ya mashabiki, Simba yamzima Mwarabu

SIMBA imetoa darasa tamu kwa watani wao wa jadi, Yanga baada ya jioni ya leo kushinda mabao 2-0 mbele ya CS Constantine ya Algeria, licha ya kucheza bila ya mashabiki kutokana na kutumikia adhabu iliyopewa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF). Simba ilipata ushindi huo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam ambao…

Read More