BENKI YA USHIRIKA KUINUA UCHUMI JUMUISHI KWA JAMII

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Ushirika Godfrey Joel Ng’urah,amemuhakikishia Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT),Emmanuel Tutuba kuwa benki hiyo itahakikisha inainua uchumi Jumuishi kwa jamii,ili kuhakikisha kila mmoja anashiriki fursa zinazotolewa na benki hiyo. Ng’urah amesema hayo alipomtembelea ofisini kwake Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania BOT,na kufanya mazungunzo…

Read More

Mbunge akataa kura za kuongezewa kwenye sanduku

Dodoma. Mbunge wa Mbogwe (CCM), Nicodemus Maganga amewataka wasimamizi wa uchaguzi mkuu kutenda haki ili watoe matokeo sahihi bila kuongeza kura wala kupunguza. Maganga amesema mgombea akipewa kura sahihi kwenye uchaguzi itasaidia Taifa kuwa na viongozi sahihi wenye hofu ya Mungu kuliko kama watapatikana viongozi watakaopita kwa nguvu ya wasimamizi. Ametoa kauli hiyo leo Jumanne…

Read More

Gambo ahoji kusuasua ujenzi wa stendi ya mabasi Arusha

Dodoma. Mbunge wa Arusha Mjini (CCM), Mrisho Gambo, amemuhoji Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Dk Festo Dugange, ikiwa yuko tayari kujiuzulu endapo ujenzi wa stendi ya kisasa katika eneo la Bondeni City, jijini Arusha, hautakuwa umeanza kufikia Mei 2025. Akiuliza maswali ya nyongeza bungeni leo Jumanne,…

Read More

Mabalozi kutoka nchi mbalimbali waahidi kuisaidia Tanzania kutangaza vivutio vya utalii

Na Mwandishi Wetu -Arusha.  Mabalozi wanaowakilisha nchi mbalimbali pamoja na mashirika ya kimataifa wameonesha kuvutiwa na vivutio vilivyoko nchini huku wakiahidi kuiongezea nguvu Tanzania katika kutangaza vivutio hivyo katika nchi zao. Wakizungumza jana kwenye hafla ya chakula cha jioni kilichoandaliwa na Benki ya NMB kwa kushirikiana na Wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa…

Read More

Baba miaka 30 jela kwa kuzini na mwanaye

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Musoma, imebariki adhabu ya kifungo cha miaka 30 jela kwa mkazi wa Bunda, aliyohukumiwa kwa kosa la kuzini na binti yake wa kumzaa  aliyekuwa na umri wa miaka 12. Kulingana na Kanuni ya Adhabu Sura ya 16 kama ilivyofanyiwa marejeo mwaka 2022, kosa la kuzini na ndugu wa damu…

Read More