Marekani yaufungia mtandao wa TikTok

Dar es Salaam. Mtandao wa TikTok umeacha kufanya kazi nchini Marekani, saa chache kabla ya sheria mpya inayopiga marufuku mtandao huo kuanza kutekelezwa. Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Uingereza (BBC), mtandao huo umepigwa marufuku kutokana na wasiwasi kuhusu uhusiano wake na Serikali ya China na ilipewa tarehe ya mwisho ya Januari 19, 2025….

Read More

KURUI ,KISARAWE KUMEKUCHA ‘JAFO CUP’

Na Khadija Kalili Michuzi Tv Timu za soka Kata ya Kisarawe na Kurui jana zimetoka sare ya goli moja moja ikiwa ni katika hatua ya kuwania kucheza mechi ya fainali ya michuano ya Jafo Cup itakayochezwa Februari 2 ,2025. Wakizungumza mara baada ya kumalizika kwa mechi hiyo ambayo wachezaji wa timu zote wameonesha uwezo wa…

Read More

Pato, uchumi wa Zanzibar wapaa

Dar es Salaam. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla amesema Uchumi wa Zanzibar umekua kutoka asilimia 5.1 kutoka mwaka 2021 hadi asilimia 7.5 mwaka 2024. Mbali ya uchumi pia pato la taifa (GDP) limeifikia Sh6.28 trilioni mwaka 2024 kutoka Sh4.2 trilioni mwaka 2020. Ameyasema hayo wakati akiwasilisha utekelezaji wa ilani ya…

Read More

Wagombea uongozi wa kitaifa Chadema wafika kusailiwa

Dar es Salaam. Wagombea wa nafasi za juu za uongozi wa Chadema, wanafanyiwa usaili leo Jumapili, Januari 19, 2025, ikiwa ni maandalizi ya kinyang’anyiro cha uchaguzi unaotarajiwa kufanyika keshokutwa Jumanne Januari 21, 2025. Usaili wa wagombea hao, unafanyika yalipo Makao Makuu ya Chadema, Mikocheni jijini Dar es Salaam na tayari wagombea mbalimbali wameanza kuwasili. Wagombea…

Read More

HUYU NDIYE STEPHEN WASIRA MAKAMU MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI

*Atangazwa kujaza nafasi iliyoachwa wazi na Kinana,shangwe lalipuka kwa wana CCM Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Dodoma CHAMA Cha Mapunduzi(CCM) kimepitisha jina la Stephen Wasira kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho akiziba nafasi iliyoachwa wazi na Abdulrhaman Kinana aliyejiuzulu nafasi hiyo Julai mwaka 2024. Jina la Wasira ambaye mwanasiasa mkongwe nchini limetangazwa leo Januari 18 mwaka 2025…

Read More

PINDA,KINANA WATIA NENO KWA WASIRA KUWA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Dodoma WAZIRI Mkuu mstaafu Mizengo Pinda pamoja na aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Abdulrahman Kinana wamemzungumzia Stephen Wasira ambaye amepitishwa na Chama hicho kuwa Makamu Mwenyekiti kwa kupigiwa kura ya ndiyo 1910 na wajumbe wa mkutano mkuu maalum. Akimzungumzia Wasira,Waziri Mkuu Mstaafu Pinda amesema ni kiongozi mwenye uzoefu wa kutosha…

Read More