ACT-Wazalendo yasema hakuna kukata tamaa

Dar es Salaam. Licha ya changamoto zinazojitokeza, Chama cha ACT-Wazalendo kimesema mapambano yataendelea na hakuna kukata tamaa. Hayo yamesemwa leo Jumamosi Aprili 12, 2025 mkoani Songwe na kiongozi wa chama hicho, Dorothy Semu katika kongamano la nne la operesheni linda demokrasia lilofanyika mkoani humo. Semu amesema: “Tunawajua maadui wa demokrasia, mtaji wao mkubwa ni hofu…

Read More

Unataka kurekebisha ulimwengu, Ubuntu (ubinadamu kwa wengine) inaweza kusaidia – maswala ya ulimwengu

Zita Sebesvari, Naibu Mkurugenzi wa Taasisi ya Mazingira ya Chuo Kikuu cha Umoja wa Mataifa na Usalama wa Binadamu. Mikopo: Busani Bafana/IPS na Busani Bafana (Nairobi) Jumamosi, Aprili 12, 2025 Huduma ya waandishi wa habari NAIROBI, Aprili 12 (IPS) – Ulimwengu unahitaji kurekebisha haraka na ubinadamu unaweza kuwa tu. Kama ukosefu wa usawa na polycrises…

Read More

CCM Zanzibar yatoa onyo kwa watia nia kabla ya muda

Unguja. Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, kimesema hakitamvumilia mwanachama yeyote ambaye ataanza kujipitisha majimboni na kuanza kupiga kampeni kabla ya wakati. Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar,  Dk Mohammed Said Dimwa ametoa kauli hiyo Aprili 12, 2025 wakati akizungumza na kamati za siasa za wadi, Wilaya ya Kusini ikiwa ni ziara ya kukagua uhai wa…

Read More

Makalla: Tulijua wapinzani wetu wasingeshiriki uchaguzi

Nachingwea. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema walijua mapema kuwa wapinzani wao wasingeshiriki uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025 kutokana na mwenendo wao. Makalla ambaye hakukitaja moja kwa moja chama hicho, ameyasema hayo leo Jumamosi Aprili 12, 2025 wakati akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi…

Read More

Sababu za biashara za wajasiriamali wanawake kutoimarika zatajwa

Dodoma. Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake la Mkoa wa Dodoma limesema miongoni mwa vikwazo vinavyofanya biashara za wajasiriamali wanawake kushindwa kukua ni tabia za kufanya matumizi yasiyopangwa katika bajeti. Mwenyekiti wa Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Mkoa wa Dodoma, Mary Barnabas ameyasema hayo leo Aprili 12, 2025 wakati akizungumza katika mafunzo ya kifedha na kibiashara yaliyoandaliwa na…

Read More

Wanandoa waburutwa ofisi ya kata kwa ukatili wa mtoto

Dodoma. Wanandoa wamefikishwa katika ofisi ya Kata ya Tambukareli, jijini Dodoma, wakikabiliwa na tuhuma za kumjeruhi mtoto wa miaka minne, tukio ambalo limesababisha mtoto huyo kushonwa nyuzi tisa kichwani. Akizungumza leo Aprili 12, 2025, Mjumbe wa Serikali ya Mtaa wa Tambukareli, Zamaradi Kaunje amesema alipata taarifa ya tukio hilo kupitia wafanyakazi wa taasisi za mikopo walikwenda…

Read More

Yaliyomo kanuni za maadili ya uchaguzi 2025

Dodoma. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imeainisha mambo yanayotakiwa na yasiyoruhusiwa kufanywa wakati wa uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani utakaofanyika Oktoba, mwaka huu. Mambo hayo yako katika Kanuni za Maadili ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani zilizosainiwa na vyama vya siasa vyenye usajili wa kudumu, Serikali na INEC leo…

Read More