PINDA,KINANA WATIA NENO KWA WASIRA KUWA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Dodoma WAZIRI Mkuu mstaafu Mizengo Pinda pamoja na aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Abdulrahman Kinana wamemzungumzia Stephen Wasira ambaye amepitishwa na Chama hicho kuwa Makamu Mwenyekiti kwa kupigiwa kura ya ndiyo 1910 na wajumbe wa mkutano mkuu maalum. Akimzungumzia Wasira,Waziri Mkuu Mstaafu Pinda amesema ni kiongozi mwenye uzoefu wa kutosha…

Read More

Njia 10 za kumuadabisha mtoto

Katika kila jambo unalofanya kwa watoto wako, iwe ni kwa maneno au vitendo, elewa kwamba lengo kuu ni kuwafundisha na kuwasaidia kuelewa. Iwe unawasaidia, unawakanya, unawaelewesha au unafanya jambo jingine lolote, mwishowe wanapaswa kujifunza jambo muhimu. Ukifanya jambo na mtoto wako na asipate funzo lolote, akatoka akiwa hajapata chochote, iwe amecheka au amenuna, basi kama…

Read More

Epuka kuhukumu kabla ya kujihukumu katika ndoa

Tutaanza na kisa tulichoshuhudia kwa ndugu yetu mmoja. Huyu bwana kuna kipindi aliachishwa kazi. Hivyo, alianza kuamka kila asubuhi akielekea mjini kusaka vibarua ili mkono uende kinywani. Ulipita muda bila kuwa na namna ya kujiingizia kipato. Alifanikiwa kumtafutia mkewe kibarua kwa ndugu yake. Mama alifurahi kupata kibarua na kuingiza lau kipato. Hata hivyo, yule mama…

Read More

ANTI BETTY: Naomba mbinu nimpange mume wa mtu anioe

Swali: Mume wa mtu ananihudumia na kunijali mpaka natamani awe mume wangu. Huu mwaka wa tatu nipo naye, naomba mbinu ili afikirie kunioa, kwani pamoja na kunijali hajawahi hata siku moja kuzungumzia kufunga ndoa na mimi. Ndiyo najua ameoa, tena kanisani, ila angalau angenitania nijue kuwa ipo siku tunaweza kufanya maarifa ya kuoana. Hakika ninampenda…

Read More

Zanzibar yatangaza bei mpya ya umeme

Unguja. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (Zura), imetangaza bei mpya elekezi kwa watumiaji wote wa umeme kisiwani humo ambapo zitaaza rasmi Januari 20, mwaka huu. Kwa mujibu wa Zura, ilipokea maombi ya kubadilisha bei za umeme kutoka Shirika la Umeme Zanzibar (Zeco) kutokana na kuongezeka kwa mahitaji ya matumizi ya…

Read More

Sababu za Wasira kuteuliwa CCM

Dar/Mikoani. Ukomavu katika siasa, misimamo katika ukweli, ushupavu wa uongozi na uchapakazi vinatajwa kuwa sababu ya Stephen Wasira kuteuliwa na kisha kuchaguliwa kuwa makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara. Wasira ametangazwa kushika wadhifa huo na Mwenyekiti wa chama hicho, Rais Samia Suluhu Hassan baada ya uchaguzi uliofanyika kwenye ukumbi wa Kituo cha Mikutano…

Read More

Konokono wazua balaa mashambani Mbeya

Mbeya. Wakulima Mikoa ya Songwe na Mbeya wamejikuta katika taharuki kufuatia konokono kushambulia na kuharibu mazao yao shambani. Changamoto ya viumbe hao inatajwa kuanza kutokea tangu mwaka jana ambapo athari haikuwa kubwa kulinganisha na mwaka huu ambapo mvua zinaendelea kunyesha. Wakizungumza na Mwananchi leo Januari 18, baadhi ya wananchi waliokumbwa na uharibifu huo wamesema bado…

Read More