
PINDA,KINANA WATIA NENO KWA WASIRA KUWA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Dodoma WAZIRI Mkuu mstaafu Mizengo Pinda pamoja na aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Abdulrahman Kinana wamemzungumzia Stephen Wasira ambaye amepitishwa na Chama hicho kuwa Makamu Mwenyekiti kwa kupigiwa kura ya ndiyo 1910 na wajumbe wa mkutano mkuu maalum. Akimzungumzia Wasira,Waziri Mkuu Mstaafu Pinda amesema ni kiongozi mwenye uzoefu wa kutosha…