TUGHE TCAA YAPONGEZWA KWA USHIRIKIANO IMARA; YASISITIZWA KUHAMASISHA UANDIKISHAJI WA WANACHAMA WAPYA
Naibu Katibu Mkuu wa TUGHE Taifa, Ndg. Amani Msuya akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano mkuu wa mwaka wa cha Chama cha Wafanyakazi wa Serikali kuu na Afya (TUGHE) Tawi la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) uliofanyika jijini Dodoma Viongozi wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali Kuu na Afya (TUGHE) Tawi la Mamlaka…