LIVE: Dodoma ya kijani mkutano mkuu CCM

Dar es Salaam. Kumekucha Dodoma ndivyo unaweza kuelezea jiji hili kwa sasa wakati huu Chama cha Mapinduzi (CCM) kikifanya mkutano mkuu wake. Mitaa mbalimbali ya Jiji la Dodoma imepambwa kwa bendera za CCM na picha za mwenyekiti wake, Rais Samia Suluhu Hassan. Dodoma ya kijani mkutano mkuu CCM Viongozi wa chama na Serikali, wanachama, makada…

Read More

Kauli ya Polisi kifo cha mwanahabari

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi limesema Charles Mwita, ambaye kitaaluma ni mwandishi wa habari aliuawa kwa kushambuliwa na watu ambao walitokomea baada ya kutenda tukio hilo katika eneo la Nyamisangora, Kaunti ya Migori nchini Kenya. Kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa jana Januari 17, 2025 na Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini, tukio…

Read More

Mjali Mwenza Wako, Naye Atakujali! – Global Publishers

Last updated Jan 17, 2025 RAFIKI yangu, katika kipindi hiki ambacho kuna sintofahamu nyingi, kutiliana shaka na hata kutengana, ni muhimu kujenga hulka ya kujaliana pia.Iwapo umewahi kupenda au unapendana na mchumba, mpenzi au mume wako na mko katika uhusiano wa kimapenzi, jambo kubwa linaloweza kuwaunganisha ni kujaliana. Unapopenda kwa dhati, tegemeo kubwa ni…

Read More

Simba katika mtego wa vigogo CAFCC

KIKOSI cha Simba kinaendelea na maandalizi ya mwisho kabla ya kushuka uwanjani kukabiliana na CS Constantine ya Algeria katika mchezo wa Kundi A la Kombe la Shirikisho Afrika, huku ikijaribu kupambana kukwepa mtego wa vigogo robo fainali. Simba inahitaji ushindi katika mchezo wa kesho utakaopigwa kuanzia saa 10:00 jioni kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini…

Read More

Ukumbi wa moto uchaguzi Bawacha

Dar es Salaam. Haikupita kila nusu saa bila kushuhudiwa ugomvi wa wajumbe wa mkutano mkuu wa uchaguzi wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha) katika Ukumbi wa Ubungo Plaza, Dar es Salaam. Ugomvi huo kwa sehemu kubwa unasababishwa na hali ya kutoaminiana kati ya wafuasi wa wagombea wa nafasi ya uenyekiti wa baraza hilo. Wagombea…

Read More

Wadau Shinyanga wataka Serikali ipunguze utitiri wa kodi

Shinyanga. Wadau wa masuala ya kodi mkoani Shinyanga wameishauri Serikali kuondoa utitiri wa kodi kwenye biashara na taasisi ili kupunguza changamoto zinazosababisha baadhi ya wafanyabiashara kukwepa kodi na kushindwa kupiga hatua za maendeleo. Wadau hao walitoa maoni yao leo Ijumaa, Januari 17, 2025, katika mkutano wa Tume ya Rais ya Maboresho ya Kodi. Wamesema makato…

Read More

Mbowe asimulia Lissu, Lema na Heche walivyomuumiza Chadema

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe ameelezea maumivu mbalimbali anayopitia ndani ya chama hicho, akisema hayamkatishi tamaa kwani ndio wito aliouchagua. Amesema kwa zaidi ya miaka ya 30 akiwa ndani ya chama na miaka 21 ya uenyekiti amepitia mengi, ikiwemo viongozi wenzake waandamizi kumshambulia kwa maneno aliyodai ni…

Read More