Mwili wa mwanamke wakutwa nje ya nyumba ukiwa mtupu

Unguja. Mwili wa mwanamke ambaye bado hajafahamika jina, umekutwa leo Aprili 12, 2025, saa 12 asubuhi nje ya jengo la Michenzani, Block namba nane, katika Mkoa wa Mjini Magharibi, Unguja. Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, ACP Abubakar Khamis Ally amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa uchunguzi wa awali umeonyesha…

Read More

Shule mpya ya wavulana kuchukua wanafunzi zaidi ya 300

Dodoma. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa shule mpya ya wavulana  ya kidato cha tano na sita itakapokamilika, itakuwa na uwezo wa kudahili wanafunzi kati ya 300 hadi 350 kwa mwaka. Shule hiyo itajengwa katika eneo la Kikombo, jijini Dodoma na itahusisha ujenzi wa mabweni, maktaba ya kisasa, bwalo kubwa la chakula, viwanja vya michezo…

Read More

Babu adaiwa kumuua mjukuu wake Shinyanga

Shinyanga.  Mtoto wa siku mbili mkazi wa Kijiji cha Shatimba Kata ya Nyamalogo Wilaya ya Shinyanga anadaiwa kuuawa na babu yake Maganga Mungo, baada ya kumchukua na kumbamiza chini kutokana na ugomvi wa kifamilia. Akizungumza na Mwananchi kwa njia ya simu leo Aprili 12, 2025 Mwenyekiti wa Kijiji cha Shatimba Kalonga Shilu amesema tukio hilo…

Read More

LHRC , JOWUTA kuwajengea uwezo wanahabari sheria za kazi

Mkurugenzi wa Uchechemuzi na Maboresho LHRC,Wakili Fulgence,akizungumza na Mwenyekiti wa Taifa wa JOWUTA Mussa Juma pamoja na Katibu Mkuu wa JOWUTA Seleman Msuya  ……………… Kituo cha sheria na haki za binaadamu(LHRC) kimeahidi kufanyakazi na Chama cha wafanyakazi katika vyombo vya habari(JOWUTA)  katika kuwajengea uwezo wanahabari kuhusu sheria za kazi na sheria zinazohusu sekta ya habari….

Read More

Chombo cha kuendeleza utafiti wa usawa wa kijinsia katika mifumo ya chakula cha kilimo-maswala ya ulimwengu

Nicoline de Haan wakati wa kikao sambamba juu ya jinsia wakati wa Wiki ya Sayansi ya Cgiar. Mikopo: Naureen Hossain/IPS na Naureen Hossain (Nairobi) Jumamosi, Aprili 12, 2025 Huduma ya waandishi wa habari NAIROBI, Aprili 12 (IPS) – Ili kuendeleza ushiriki wa wanawake, vijana, na jamii ndogo katika sekta ya kilimo, hatua lazima zichukuliwe kutambua…

Read More

Rais Samia asisitiza amani kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 2025

Unguja. Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali haitakubali atokee mtu yeyote kuvuruga amani na kusababisha mpasuko miongoni mwa wananchi hususani katika kipindi cha uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu. Amesema Taifa linapaswa kujifunza umuhimu wa amani kwa kuangalia nchi ambazo zimeikosa kwa kipindi kirefu, namna wananchi wake wanavyoathirika, jambo linalorudisha nyuma maendeleo ya nchi. Rais…

Read More