Mbinu za jamii kukwepa sheria ndoa za utotoni-2

Meatu. Licha ya Tanzania kuwa na sheria zinazozuia ndoa na mimba za utotoni, jamii inatumia usiri na uongo kama mbinu ya kuepuka mkono wa sheria. Mbali ya hayo, Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971 inatajwa kuchochea hali hiyo kwa kuwa inaruhusu wasichana kuolewa wakiwa na miaka 14 kwa idhini ya mahakama na miaka 15 kwa…

Read More

Chadema kwenye mtego mwingine kanuni za maadili

Dar es Salaam. Tusaini au tusisaini? ndilo swali lisilo na jawabu ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa sasa, kuhusu ushiriki wake katika kujadili na kusaini Kanuni za Maadili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani kesho Aprili 12, 2025. Kanuni za maadili zimeandaliwa kwa mujibu wa kifungu cha 162 (1), (2) na…

Read More

Championship vita inaendelea kupamba moto

RAUNDI ya 26 ya Ligi ya Championship, inaendelea tena wikiendi hii ambapo baada ya jana kuchezwa mechi tatu, leo zitapigwa mbili kwenye viwanja mbalimbali kwa kila timu kutafuta pointi tatu muhimu, huku ikihitimishwa mingine kesho. Vinara wa ligi hiyo Mtibwa Sugar yenye pointi 60, huku ikiwa na kumbukumbu ya kushinda mabao 3-1, dhidi ya TMA,…

Read More

Kocha Stellenbosch awahofia Mpanzu, Kibu

KOCHA wa Stellenbosch FC, Steve Barker, ameanza kuingiwa ubaridi kabla ya kuvaana na Simba katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, akiwataja Kibu Denis na Elie Mpanzu kuwa ndio wanamtia tumbo. Mchezo wa kwanza wa nusu fainali hiyo utafanyika Aprili 20 jijini Dar es Salaam, ambapo Simba imekuwa ikitumia vizuri uwanja huo…

Read More

Sowah awapiga bao Dube, Ahoua

KATIKA msimu huu wa Ligi Kuu Bara vita ya ufungaji imekuwa kali zaidi kuliko misimu uliopita kwa wachezaji wengi kuibuka na kuonyesha makali – mmoja kati yao akiwa ni Jonathan Sowah wa Singida Black Stars. Takwimu zinaonyesha mshambuliaji huyo ndiye mwenye ufanisi mkubwa katika kufumania nyavu akiwa amefunga mabao mengi ndani ya muda mfupi ukilinganisha…

Read More

Tajiri Simba kaweka bilioni | Mwanaspoti

SIMBA bado wanaendelea kufurahia kutinga nusu fainali kwa timu hiyo katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kushindwa kufanya hivyo mara tano katika misimu sita ya nyuma kila ilipotinga robo fainali, lakini bilionea wa klabu hiyo, ameongeza mzuka zaidi kwa wachezaji akiwatengea Sh1 bilioni. Tajiri wa klabu hiyo na Mwenyekiti wa Bodi ya…

Read More