Mbinu za jamii kukwepa sheria ndoa za utotoni-2
Meatu. Licha ya Tanzania kuwa na sheria zinazozuia ndoa na mimba za utotoni, jamii inatumia usiri na uongo kama mbinu ya kuepuka mkono wa sheria. Mbali ya hayo, Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971 inatajwa kuchochea hali hiyo kwa kuwa inaruhusu wasichana kuolewa wakiwa na miaka 14 kwa idhini ya mahakama na miaka 15 kwa…