Watoto wa mitaani wafichua sababu kutorudi chini ya malezi ya familia
Arusha. Watoto wanaoishi na kufanya kazi mitaani wameelezea ugumu wanaokabiliana nao katika kuishi chini ya uangalizi wa wazazi au walezi baada ya kuokolewa kutoka mitaani. Wamesema kuwa kauli za kukatisha tamaa, vitendo vya unyanyapaa, ukatili wa vipigo, ushawishi wa makundi rika, dawa za kulevya imekuwa kikwazo cha baadhi yao kurudi tena chini ya uangalizi wa…