Tanimu: Singida Black Stars imepata jembe

BEKI wa kati wa zamani wa Singida Black Stars anayeichezea Crawley Town ya Uingereza, Benjamin Tanimu amempongeza Mnigeria mwenzake, Amas Obasogie kujiunga na Singida Black Stars kutoka Fasil Kenema ya Ethiopia, huku akisema kwa timu aliyotua imelamba dume. Tanimu ambaye anajivunia ufanisi wake akiwa na timu hiyo kabla ya kutimka nchini, ameonyesha kuwa na imani…

Read More

Mingange apata mrithi Chama la Wana

KLABU ya Stand United ‘Chama la Wana’ ya Shinyanga iko hatua za mwisho za kumalizana na Kocha wa Fountain Gate Princess, Juma Masoud ili achukue nafasi iliyoachwa wazi na Meja Mstaafu Abdul Mingange. Mingange aliyeanza msimu huu na Stand iliyopo Ligi ya Championship akiiongoza katika mechi 12 na kushinda saba, sare mbili na kupoteza tatu…

Read More

Mwanahabari adaiwa kuuawa kwa risasi na wasiojulikana

Dar es Salaam. Mwanahabari, Charles Mwita, anadaiwa kufariki dunia baada ya kupigwa risasi na watu wasiojulikana. Mdogo wa marehemu, Nelson Mwita, alipozungumza na Mwananchi Digital kwa njia ya simu leo Ijumaa, Januari 17, 2025 amedai kuwa tukio hilo la kushambuliwa kaka yake limetokea jana, saa 1 usiku katika kata ya Sirari, wilayani Tarime, mkoani Mara….

Read More

WANA CCM YAPO YA KUJIFUNZA KWA ABDULRAHMAN KINANA

Na Said Mwishehe  NGOJA nikwambie kitu mtu wangu ingawa najua itakuwa unafahamu kwamba Chama Cha Mapinduzi(CCM) Januari 18 hadi 19 mwaka huu wa 2025 kinafanya mkutano mkuu maalum. Tufanye hivi ajenda zinaweza kuwa zaidi ya mbili au tatu lakini unachotakiwa katika akili yako ni ajenda kuu ya mkutano huo ni kujaza nafasi ya Makamu Mwenyekiti…

Read More

Vaibu la mashabiki lamuumiza Ahoua

SIMBA inatarajiwa kurudi uwanja wa nyumbani keshokutwa Jumapili kuvaana na CS Constantine ya Algeria, huku kitendo cha kuzuiwa kwa mashabiki wa klabu hiyo kuhudhuria mechi hiyo ya Kundi A ya Kombe la Shirikisho Afrika likimuuliza kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Jean Charles Ahoua. Nyota huyo anayeongoza kwa mabao na asisti kwa Simba katika michuano hiyo…

Read More

Dili la Mpole lafia njiani, sasa aibukia huku!

DILI la mshambuliaji aliyekuwa Pamba Jiji, George Mpole la kutimikia Singida Black Stars, limefia njiani mara baada ya Kagera Sugar kuizidi kete na kumbeba juu kwa juu mfungaji bora huyo wa Ligi Kuu Bara 2021-2022. Awali iliripotiwa kwamba Singida ilikuwa na mazungumzo na Pamba ya kumchukua Mpole kwa mkopo wa miezi sita,  muda uliosalia kwa…

Read More

Mtoto aibwa Kilosa, Polisi waanza uchunguzi

Kilosa. Mtoto mwenye umri wa miaka miwili, Shamimu Nasibu, anadaiwa kuibwa wakati akicheza na mwenzake jirani ya nyumbani kwao, kitongoji cha Kisiwani, kijiji cha Tunda, kata ya Kidodi, Mikumi wilaya ya Kilosa. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Alex Mkama, mtoto huyo aliibwa Januari 15, majira ya asubuhi, wakati akicheza na mtoto…

Read More

Mbowe kuja na mapendekezo mapya ya uongozi Chadema

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, amesema iwapo atafanikiwa kushinda uongozi wa juu wa chama hicho, atapeleka mapendekezo kwenye mkutano mkuu ili uchaguzi wa ndani uwe unafanyika kila baada ya miaka mitatu badala ya mitano. Mbowe, anayetetea nafasi hiyo aliyoiongoza kwa miaka 21, amesema hatua hiyo itakifanya chama hicho kujiandaa kwa uchaguzi wa…

Read More

Sita kunyongwa kwa mauaji ya askari watatu hifadhini

Sumbawanga. Maandiko ya dini yanaeleza anayeua kwa upanga naye huuawa kwa upanga. Hayo ndiyo yanayodhihirika katika hukumu ya kifo dhidi ya wananchi sita walioshtakiwa kwa mauaji ya maofisa watatu wa Hifadhi ya Taifa Katavi. Katika tukio la mauaji lilitokea sikukuu ya Mwaka Mpya Januari Mosi, 2021, washtakiwa wanadaiwa kuwaua askari watatu, kisha kukata miili ya…

Read More