KITUO CHA AFYA URU KUSINI CHAWA FARAJA KWA WANANCHI

NA WILLIUM PAUL, MOSHI. WANANCHI wa kata ya Uru Kusini katika Jimbo la Moshi vijijini mkoani Kilimanjaro wamenufaika na umaliziaji wa kituo cha Afya Uru kusini na kuondokana na adha ya muda mrefu ya kutembea umbali mrefu kutafuta huduma za kitabibu. Kituo hicho hadi kukamilika serikali imetoa zaidi ya milioni 500 ambapo kwa sasa kunatoa…

Read More

Kabudi atoa matumaini ‘Kariakoo Derby’ kuchezwa

Baada ya mazungumzo ya timu za Simba na Yanga, serikali imesema kuwa imepanga kuzungumza na wadhamini wa Ligi Kuu kuhusu mchezo baina ya timu hizo ‘Kariakoo Derby’ na kuwataka Watanzania na mashabiki wa kuwa na subira wakati mazungumzo hayo yakiendelea. Dabi ya Kariakoo ilipangwa kuchezwa Machi 8, 2025 lakini haikuchezwa baada ya kuahirishwa na Bodi…

Read More

TANZANIA YAPATA HESHIMA KUANDAA TUZO ZA UTALII KIMATAIFA

  Tanzania imepewa heshima ya kuwa mwenyeji wa hafla ya kutangaza washindi wa Kanda ya Afrika na Bahari ya Hindi, iitwayo “Africa & Indian Ocean Gala Ceremony” itakayofanyika tarehe 28 Juni, 2025 jijini Dar es Salaam. Aidha, Bodi ya Utalii Tanzania kama Taasisi yenye jukumu la kutangaza Utalii nchini ndio itaratibu hafla hiyo. Akizungumza na…

Read More

Sh 11.8 bilioni zatua akaunti Simba

Kufuzu kwa Simba nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuitoa Al Masry kwa mikwaju ya penalti 4-1,  kunamaliza kiu ambayo ilikuwa nayo tangu 2018 ilipoanza kujijenga upya baada ya kushindwa kushiriki mashindano ya kimataifa kwa muda mrefu. Kusonga mbele dhidi ya Al Masry kumelipa kisasi cha timu hiyo ya Misri kuizuia Simba…

Read More

Mbunge ataka CCM iwachukulie hatua ‘wahuni’ wanaotoa taarifa kwa wapinzani

Mtwara. Mbunge wa Mtwara Mjini (CCM), Hassan Mtenga amekitaka chama hicho kuwachukulia hatua kali wale aliowataja kuwa ‘wahuni’ waliomo ndani ya chama hicho wanaovujisha taarifa kwa wapinzani na kupanga mikakati ya kuhujumu mafanikio ya Serikali. Mtenga ameyasema hayo leo Jumatatu Aprili 14, 2025 wakati akizungumza katika mkutano wa hadhara wa Katibu wa Itikadi, Uenezi na…

Read More

Sh7.3 bilioni kukarabati daraja Songwe

Songwe. Serikali imesema inatarajia kuanza  utekelezaji wa ujenzi wa daraja katika barabara ya Mlowo-Kamsamba  ili kuondoa changamoto inayowakabili wananchi baada ya lililokuwapo awali kuathiriwa na mvua za Eli-nino ambapo zaidi ya Sh7.3 bilioni zitatumika. Hayo yamebainishwa na Meneja wa Wakala wa Barabara (Tanroad) Mkoa wa Songwe,  Suleiman Bishanga wakati wa ziara ya ugeni kutoka Benki…

Read More

Mbunge ashauri nauli SGR ipunguzwe

Dodoma. Mbunge wa Kerwa (CCM), Innocent Bilakwate ameshauri Serikali kushusha bei ya usafiri wa treni ya kisasa ya (SGR) kwa mabehewa ya watu mashuhuri (VIP) ili kuepuka kupata hasara inayotokana baadhi ya viti kwenda bila watu. Bilakwate ameyasema hayo leo Jumatatu Aprili 14, 2025 wakati akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya ofisi ya Waziri…

Read More

Makonda aonya makandarasi, kuchelewa kwa miradi

Longido. Wananchi 37,752 wa kata za Sinya, Namanga na Kimokoua, wilayani Longido Mkoa wa Arusha, wanatarajia kuondokana na adha ya maji kufuatia ujenzi wa mradi wa maji wa zaidi ya Sh13.5 bilioni. Mradi huo wa muda wa miaka miwili unatarajiwa kukamilika Juni 2027 unatekelezwa na Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jiji la…

Read More