Azam FC yachomoa watano kikosini

WAKATI dirisha dogo la usajili likifungwa usiku wa jana, timu ya Azam imeondoa nyota watano ndani ya kikosi hicho, huku watatu wakitolewa kwa mkopo na wawili wakipewa mkono wa kwaheri. Nyota walioachwa ni beki wa kati na kiungo, Yannick Bangala aliyeamua kurejea timu yake ya zamani wa AS Vita Club ya DR Congo, huku mwingine…

Read More

Watatu mbaroni tuhuma za kuwauzia wakulima mbegu feki

Njombe. Jeshi la Polisi mkoani hapa kwa kushirikiana na Taasisi ya Kudhibiti Ubora wa Mbegu (TOSCI), limefanikiwa kuwakamata watu watatu wanaotuhumiwa kuwauzia mbegu feki wananchi katika kijiji cha Kidugala wilayani Wanging’ombe. Hayo yamesemwa leo Alhamisi Januari 16, 2025 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Mahamoud Banga wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Che Malone ajitathmini vinginevyo

BEKI wa kimataifa ambaye timu inatumia gharama kubwa za fedha kumleta hapa nchini kisha kumhudumia, hatakiwi kufanya makosa ya kizembe ambayo yana athari kwa timu yake. Ndio kama tunavyoamini hapa kijiweni hasa kwa beki kama Che Fondoh Malone ambaye Simba ilitumia mzigo wa kutosha kumchomoa kule Cameroon katika timu ya Cotonsport kuja hapa nchini. Wakati…

Read More

Wajumbe Bawacha walia na posho

Dar es Salaam. Muda mchache kabla ya kuanza kwa mkutano mkuu wa Baraza la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha) wajumbe wa mkutano huo wamepaza sauti ya kuhitaji posho zao kabla ya mchakato huo. Hali hiyo inajiri muda mchache baada ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kuwasili kwenye viunga vya Ubungo Plaza jijini…

Read More

CHEZA SLOTI YA LUCKY BETTING SHOP MAMILIONI YANAKUSUBIRI!

KUCHEZA kasino sio lazima ufike kwenye maduka la kasino yaliyopo mtaani, Meridianbet imerahisisha kazi yako, kupitia kasino ya mtandaoni utapata wasaa wa kucheza michezo ya sloti na kasino kirahisi kabisa. Mchezo wa kasino ya mtandaoni. Lucky Betting Shop ni mashine ya sloti inayofurahisha na kukupa zawadi kedekede kwenye michezo. Kumbuka, sio ubashiri wa kasino ya…

Read More