Dereva bodaboda auawa Arusha akituhumiwa kuiba pikipiki
Arusha. Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Salim, dereva bodaboda na mkazi wa Sinoni, ameuawa kwa kuchomwa moto na wananchi wenye hasira, baada ya kudaiwa kukutwa na pikipiki ya wizi. Tukio hilo limetokea leo Aprili 11, 2025, majira ya saa nne asubuhi katika eneo la Olmokea, ambapo marehemu alikutwa kwa fundi akibadilisha baadhi ya vifaa…