Suluhu yatajwa uhaba madaktari bingwa, wabobezi Zanzibar

Dar es Salaam. Wizara ya Afya Zanzibar, imetaja mikakati ya kukabiliana na uhaba tiba za kibobezi na madaktari bingwa na bobezi, huku ikikaribisha wawekezaji katika sekta ya afya visiwani humo kuelekea utalii wa matibabu. Mikakati hiyo ni pamoja na uboreshaji wa miundombinu, ununuzi wa vifaa na usomeshaji wa wataalamu wa afya katika tiba za kibingwa…

Read More

Wananchi wapewa mbinu kupambana na ‘makanjanja’ katika uhandisi

Dar es Salaam. Wananchi wamesisitizwa wanapokuwa na miradi ya ujenzi kuwatumia wahandisi wabobezi na waliosajiliwa ili kuepuka athari mbalimbali zinazoweza kujitokeza kutokana na ujenzi kufanyika kwa chini ya kiwango. Wito huo umetolewa leo Aprili 11, 2025 jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Wahandisi Tanzania (IET) katika kongamano lilikowakutanisha wahandisi kutoka kada…

Read More

Dk Biteko awapa vijana ujumbe kuhusu amani

Dares Salaam. Naibu Waziri Mkuu, Dk Doto Biteko amewataka vijana kujifunza umuhimu wa amani kama nyenzo muhimu ya maendeleo. Pia, amewataka kumpuuza mtu yeyote atakayetokea bila kujali kariba yake, kariba, ukubwa wake, elimu yake au uongozi alionao. “Akazungumza kwa namna yoyote kuhusu uvunjifu wa amani wa Taifa mtu yule tumpuuze kama hatuwezi kumkemea kwa pamoja…

Read More

WIKI YA AZAKI 2025 KUKUTANISHA WADAU ZAIDI YA 500

Kuelekea katika wiki hiyo, Mkurugenzi Mtendaji  wa FCS Justice Rutenge amewahimiza wananchi  kupaza sauti zao kwa kutoa maoni yatakayopelekea kupata dira bora kwa maendeleo ya jamii na taifa kwa ujumla. Rutenge amesema hayo Dar es Saalam  wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Asasi za Kiraia (AZAKI) 2025,  ambapo zaidi ya washiriki 500 wanatarajiwa kushiriki na…

Read More

TUME, SERIKALI NA VYAMA VYA SIASA KUSAINI MAADILI YA UCHAGUZI

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi,  Ndg. Kailima, R. K akifafanua jambo.   Na. Mwandishi Wetu Dodoma Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, vyama vya siasa na Serikali kesho tarehe 12 Aprili, 2025 wanatarajiwa kusaini Kanuni za Maadili ya Uchaguzi yatakayotumika kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu. Akizungumza kwenye mahojiano…

Read More

Tafakari juu ya majadiliano ya wiki nzima ya CGIAR juu ya Sayansi ya Mfumo wa Chakula-Maswala ya Ulimwenguni

Wiki ya Sayansi ya Cgiar Kufunga Plenary. Mikopo: Busani Bafana/IPS na Joyce Chimbi (Nairobi) Ijumaa, Aprili 11, 2025 Huduma ya waandishi wa habari NAIROBI, Aprili 11 (IPS) – Zaidi ya washiriki 13,600 kutoka ulimwenguni kote waliosajiliwa kwa Wiki ya Sayansi ya Cgiar katika UN Complex, Nairobi, Aprili 7-12, 2025. “Wana kiu cha tumaini, na ndivyo…

Read More

Utitiri wa mifuko ya uwezeshaji wananchi wawaibua wabunge

Dodoma. Utitiri wa mifuko ya uwezeshaji wananchi kiuchumi nchini ambayo mingine haijulikani kwa wananchi, umewaibua wabunge wakitaka iundwe tume ama mamlaka ya kusimamia suala hilo. Wabunge wameyasema hayo leo Ijumaa, Aprili 11, 2025 wakati wakichangia mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka wa fedha 2025/26. Aprili 9, 2025,…

Read More

CHATO KUNUFAIKA NA MAJI SAFI KABLA YA MWAKA MPYA 2026

Katikati mwenye shati ya Bluu ni Mhandisi Isaack Mgeni,Mkurugenzi wa mamlaka ya Maji mjini Chato(Chawassa). Na Daniel Limbe,Chato ZAIDI ya wakazi 100,000 wilayani Chato mkoani Geita,wanatarajia kunufaika na mradi mkubwa wa maji safi na salama kabla ya sikukuu za Krismas na mwaka mpya 2026. Hatua hiyo inatajwa kuwa Mapinduzi makubwa ya kimaendeleo ambayo yametekelezwa na…

Read More

Rais Samia akutana na Sir Jim Ratcliffe Ikulu Dar es Salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Ijumaa, Aprili 11, 2025 amekutana na mmiliki wa Manchester United, Sir Jim Ratcliffe, ikulu, Dar es Salaam. Katika kikao hicho, Rais Samia na Ratcliffe wamefanya mazungumzo ya ushirikiano katika masuala ya utalii na michezo. “Katika mazungumzo yao Rais Samia amemshukuru Sir Jim Ratcliffe kupitia Taasisi…

Read More