Dhana potofu uzazi wa mpango na ukweli wake

Dar es Salaam. Uzazi wa mpango ni uamuzi wa hiari wa mtu binafsi mke/mume au mtu na mwenzi wake kuhusu lini waanze kupata watoto, wazae wangapi, wapishane kwa muda gani, lini waache kuzaa na njia gani ya uzazi wa mpango wangependa kutumia. Matumizi ya kondomu, vipandikizi, sindano, vidonge, kitanzi na kutoshiriki ngono siku za hatari…

Read More

Winga mpya apewa mechi zake

YANGA imekamilisha usajili wa mshambuliaji anayemudu pia kucheza winga zote, Jonathan Ikangalombo kutoka AS Vita, lakini taarifa ni kwamba nyota huyo mpya ametengenewa kucheza mechi za ndani tu za Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho (FA) huku zile za kimataifa atakuwa mpenzi mtazamaji tu. Ndio, Yanga imemsajili mchezaji huyo kwa mkataba wa miaka miwili,…

Read More

CCM yakerwa ujenzi wa barabara kusuasua Geita

Geita.  Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Geita, kimekerwa na kasi ndogo ya ujenzi wa barabara za mradi wa Tactic zenye urefu wa kilomita 17 zinazojengwa kwa kiwango cha lami katika Manispaa ya Geita kwa gharama ya Sh22.5 bilioni ambazo ni mkopo kutoka Benki ya Dunia (WB).  Barabara zinazojengwa ni  Mkolani Mwatulole ambayo ujenzi wake…

Read More

Mastaa Simba wana jambo lao Kwa Mkapa

KIKOSI cha Simba kinaendelea kujifua kwa ajili ya mchezo wa mwisho wa Kundi A katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika, huku wachezaji wa timu huo wakitoa msimamo mzito kabla ya kushuka kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam kuvaana na CS Constantine ya Algeria. Wachezaji hao wamekiri wanajua watalikosa vaibu la mashabiki…

Read More

WHO yazindua rufaa ya dola bilioni 1.5 ili kukabiliana na majanga ya afya duniani – Masuala ya Ulimwenguni

Kwa kujibu, Shirika la Afya Duniani (WHO) ni wito kwaDola bilioni 1.5 kupitia Rufaa yake ya Dharura ya Afya ya 2025, ili kutoa afua za kuokoa maisha ulimwenguni kote. Rufaa hiyo, ilizinduliwa Alhamisi na Mkurugenzi Mkuu wa WHO Tedros Adhanom Ghebreyesus, anaelezea vipaumbele vya dharura vya kushughulikia dharura 42 za afya zinazoendelea, ikijumuisha 17 inayohitaji…

Read More

Yanga, mtego wa waarabu upo hapa!

YANGA inatarajiwa kushuka uwanjani kesho Jumamosi katika mchezo ulioshikilia hatma ya kwenda robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa mara ya pili mfululizo na ikichemsha kwa kutoka sare ya kufungwa maana yake itaondolewa michuano ya CAF na kusalia mechi za Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho (FA).

Read More

Israeli na Palestina Zapata Makubaliano ya Kusimamisha Vita Baada ya Miezi 15 ya Mizozo – Masuala ya Ulimwenguni

UNICEF ikisaidia katika juhudi za kuweka majira ya baridi kali huko Deir Al Balah kwa kusambaza nguo za majira ya baridi kwa familia katika makazi ya watu waliohama. Credit: UNICEF/Mohammed Nateel na Oritro Karim (umoja wa mataifa) Alhamisi, Januari 16, 2025 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Jan 16 (IPS) – Makubaliano ya kusitisha mapigano…

Read More

Polisi waimarisha ulinzi uchaguzi Bawacha usiku

Hatimaye Askari wa Jeshi la Polisi wamewasili katika Ukumbi wa Ubungo Plaza, kuimarisha ulinzi. Kuwasili kwa askari hao, kunakuja muda mfupi baada ya kushuhudiwa vurugu katika mkutano mkuu wa uchaguzi wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha). Vurugu hizo zilikuwa kati ya wafuasi wa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na…

Read More

Vurugu zazuka nje ya ukumbi wa uchaguzi Bawacha

Dar es Salaam. Katika hali isiyokuwa ya kawaida, ugomvi wa ngumi umezuka nje ya Ukumbi wa Ubungo Plaza unapofanyika mkutano wa uchaguzi wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha). Ugomvi huo ulikuwa kati ya wanaodaiwa kuwa wafuasi wa Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu dhidi ya wafuasi wa Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe….

Read More