
RAIS SAMIA AWAINUA PIKIKIPI 37 MAAFISA UGANI WA KILIMO KIBAHA TC
NA VICTOR MASANGU, KIBAHA Halmashauri ya Kibaha mji imepokea jumla ya pikipiki zipatazo 37 kutoka serikalini kupitia Wizara ya kilimo kwa lengo la kuwawezesha maafisa ugani wa kilimo kutoka kata zote 14 kwa ajili ya kutekeleza majukumu yao kwa weledi na ufanisi zaidi katika suala la kuwahudumia wakulima na kuleta matokeo chanya katika sekta ya…