Wachimbaji wataka kifungu cha sheria ya madini kibadilishwe

Mwanza. Baadhi ya wachimbaji wadogo wa madini nchini wameiomba Serikali kufanya marekebisho au kufuta kabisa Kifungu cha 8(3) cha Sheria ya Madini, Sura ya 123, kinachoruhusu mmiliki wa leseni ndogo ya uchimbaji kuingia makubaliano ya msaada wa kiufundi na raia wa kigeni. Wamedai kifungu hicho kimekuwa kikwazo kwao, kwani baadhi ya wageni wanaoingia kwa mwamvuli…

Read More

Dodoma kupanda miti ya matunda 500 kila shule

Dodoma. Katika kuwezesha shule kuingiza mapato na wanafunzi kupata lishe, Mkoa wa Dodoma umeanza programu maalumu ya kupanda miti ya matunda 500 kwa kila shule. Ili kufanikisha hilo, kila halmashauri imetenga bajeti isiyopungua Sh10 milioni kwenye mwaka wa fedha 2025/26 kwa ajili ya upandaji na utunzaji wa miti. Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma, Kaspar…

Read More

Asasi za kirai kujadili maisha bila Trump

Dar es Salaam. Wakati wiki ya Azaki mwaka huu ikitarajiwa kufanyika Juni, moja ya jambo litakaloangaliwa ni njia gani zinaweza  kutumika ili waweze kufikia malengo yao hasa katika kipindi hiki cha uwapo wa  tishio la kusitishwa kwa misaada kutoka nje. Hili linakwenda kufanyika wakati ambao Marekani imeendelea kuweka vibano na kusitishwa kwa misaada kwenda nchi…

Read More

Suluhu yatajwa uhaba madaktari bingwa, wabobezi Zanzibar

Dar es Salaam. Wizara ya Afya Zanzibar, imetaja mikakati ya kukabiliana na uhaba tiba za kibobezi na madaktari bingwa na bobezi, huku ikikaribisha wawekezaji katika sekta ya afya visiwani humo kuelekea utalii wa matibabu. Mikakati hiyo ni pamoja na uboreshaji wa miundombinu, ununuzi wa vifaa na usomeshaji wa wataalamu wa afya katika tiba za kibingwa…

Read More

Wananchi wapewa mbinu kupambana na ‘makanjanja’ katika uhandisi

Dar es Salaam. Wananchi wamesisitizwa wanapokuwa na miradi ya ujenzi kuwatumia wahandisi wabobezi na waliosajiliwa ili kuepuka athari mbalimbali zinazoweza kujitokeza kutokana na ujenzi kufanyika kwa chini ya kiwango. Wito huo umetolewa leo Aprili 11, 2025 jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Wahandisi Tanzania (IET) katika kongamano lilikowakutanisha wahandisi kutoka kada…

Read More

Dk Biteko awapa vijana ujumbe kuhusu amani

Dares Salaam. Naibu Waziri Mkuu, Dk Doto Biteko amewataka vijana kujifunza umuhimu wa amani kama nyenzo muhimu ya maendeleo. Pia, amewataka kumpuuza mtu yeyote atakayetokea bila kujali kariba yake, kariba, ukubwa wake, elimu yake au uongozi alionao. “Akazungumza kwa namna yoyote kuhusu uvunjifu wa amani wa Taifa mtu yule tumpuuze kama hatuwezi kumkemea kwa pamoja…

Read More

WIKI YA AZAKI 2025 KUKUTANISHA WADAU ZAIDI YA 500

Kuelekea katika wiki hiyo, Mkurugenzi Mtendaji  wa FCS Justice Rutenge amewahimiza wananchi  kupaza sauti zao kwa kutoa maoni yatakayopelekea kupata dira bora kwa maendeleo ya jamii na taifa kwa ujumla. Rutenge amesema hayo Dar es Saalam  wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Asasi za Kiraia (AZAKI) 2025,  ambapo zaidi ya washiriki 500 wanatarajiwa kushiriki na…

Read More

TUME, SERIKALI NA VYAMA VYA SIASA KUSAINI MAADILI YA UCHAGUZI

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi,  Ndg. Kailima, R. K akifafanua jambo.   Na. Mwandishi Wetu Dodoma Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, vyama vya siasa na Serikali kesho tarehe 12 Aprili, 2025 wanatarajiwa kusaini Kanuni za Maadili ya Uchaguzi yatakayotumika kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu. Akizungumza kwenye mahojiano…

Read More

Tafakari juu ya majadiliano ya wiki nzima ya CGIAR juu ya Sayansi ya Mfumo wa Chakula-Maswala ya Ulimwenguni

Wiki ya Sayansi ya Cgiar Kufunga Plenary. Mikopo: Busani Bafana/IPS na Joyce Chimbi (Nairobi) Ijumaa, Aprili 11, 2025 Huduma ya waandishi wa habari NAIROBI, Aprili 11 (IPS) – Zaidi ya washiriki 13,600 kutoka ulimwenguni kote waliosajiliwa kwa Wiki ya Sayansi ya Cgiar katika UN Complex, Nairobi, Aprili 7-12, 2025. “Wana kiu cha tumaini, na ndivyo…

Read More