NIDA YAJA NA MBINU MPYA KUHAKIKISHA VITAMBULISHO VANACHUKULIWA

Na Mwandishi wa NIDA Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imewataka wale wote ambao hawakujitokeza kuchukua vitambulisho vyao vya Taifa vilivyopelekwa katika ofisi za Kata, Vijiji, Mitaa, Vitongoji na Shehia kufika katika ofisi za NIDA za wilaya walikojisajili kuchukua vitambulisho vyao mara watakapopokea ujumbe mfupi wa maandishi katika simu zao za mkononi (sms) unaowataka kufanya…

Read More

MGEJA AWATAKIA HERI WANA CCM MKUTANO UNAOTARAJIA KUFANYIKA DODOMA

Na Mwandishi Wetu, MWANASIASA mkongwe na aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga Khamis Mgeja, amewatakia heri wana-CCM katika mkutano mkuu wa kushika mikoba ya aliyekuwa Makamu Mwenyekiti, Abdulahman Kinana. Akizungumza leo Januari 16, 2025 jijini Dar es Salaam, amesema kuwa shauku kubwa ya wana-CCM ni kumpata Makamu Mwenyekiti atakayemsaidia mwenyekiti wa chama ambaye…

Read More

Ahueni kwa Wakulima wa Marekani Walioathiriwa na PFAS – Masuala ya Ulimwenguni

Dutu za PFAS ni kemikali zinazotengenezwa na binadamu ambazo zina kansa ambazo huathiri binadamu kwa kuvuta pumzi na kuambukizwa. Mkopo: Shutterstock. Maoni na Stan Gottfredson (san diego, California, sisi) Alhamisi, Januari 16, 2025 Inter Press Service SAN DIEGO, CALIFORNIA, Marekani, Jan 16 (IPS) – Matumizi ya mbolea yameanzishwa katika jamii ili kurutubisha udongo na kutoa…

Read More

Tanzania ishindwe yenyewe tu CHAN 2025

DROO ya mashindano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (Chan) 2024, itakayofanyia Agosti mwaka huu, imefanyika juzi huku Tanzania ikiangukia kundi ‘B’ na timu za Mauritania, Madagascar, Burkina Faso na Jamhuri ya Afrika ya Kati. Katika droo hiyo iliyochezeshwa juzi katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Kenyatta Kenya, ‘Kenyatta International Convention Centre’…

Read More

Azam FC yachomoa watano kikosini

WAKATI dirisha dogo la usajili likifungwa usiku wa jana, timu ya Azam imeondoa nyota watano ndani ya kikosi hicho, huku watatu wakitolewa kwa mkopo na wawili wakipewa mkono wa kwaheri. Nyota walioachwa ni beki wa kati na kiungo, Yannick Bangala aliyeamua kurejea timu yake ya zamani wa AS Vita Club ya DR Congo, huku mwingine…

Read More

Watatu mbaroni tuhuma za kuwauzia wakulima mbegu feki

Njombe. Jeshi la Polisi mkoani hapa kwa kushirikiana na Taasisi ya Kudhibiti Ubora wa Mbegu (TOSCI), limefanikiwa kuwakamata watu watatu wanaotuhumiwa kuwauzia mbegu feki wananchi katika kijiji cha Kidugala wilayani Wanging’ombe. Hayo yamesemwa leo Alhamisi Januari 16, 2025 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Mahamoud Banga wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake…

Read More