Simulizi ya eneo alikofia Nyamo- Hanga

Bunda. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Pius Lutumo amesema chanzo cha ajali iliyokatisha uhai wa aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Gissima Nyamo- Hanga ni dereva wa gari lake kumkwepa mwendesha baiskeli kisha kupoteza mwelekeo na kugongana uso kwa uso na lori lililokuwa mbele yao. Nyamo-Hanga na dereva wake, Muhajiri Haule…

Read More

BENKI YA STANBIC YAZINDUA “LIPA NA STANBIC” – SULUHISHO JIPYA LA KIDIJITALI KWA WAFANYABIASHARA NCHINI

• Benki ya Stanbic Tanzania yazindua “Lipa na Stanbic,” suluhisho la malipo ya kidijitali linalowezesha wafanyabiashara kupokea malipo kutoka kwa mitandao yote ya simu na benki zote moja kwa moja kwenye akaunti zao za benki, kwa haraka, usalama, na hivyo kurahisisha wa ukamilishaji wa mauzo. • Benki ya Stanbic, ambayo ni ya tatu kwa ukubwa…

Read More

Dk Biteko kuongoza maziko ya Mkurugenzi wa Tanesco

Bunda. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko ataongoza maziko ya aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Gissima Nyamo- Hanga anayetarajiwa kuzikwa wilayani Bunda Mkoa wa Mara keshokutwa. Nyamo-Hanga na dereva wake, Muhajiri Haule walifariki dunia kwa ajali ya gari usiku wa kuamkia Jumapili, Aprili 13,2025 baada ya kupata…

Read More

TUTAENDELEA KUDHIBITI UHALIFU WA KIFEDHA-MAJALIWA

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Tanzania itaendelea kushiriki na kutimiza matakwa ya kimataifa katika kupambana na kudhibiti uhalifu wa kifedha. Amesema kuwa Tanzania inatambua changamato za uhalifu wa kifedha na imejidhatiti katika kudhibiti hali hiyo kwa viwango vya kimataifa vilivyopo. Amesema hayo leo Jumatatu (Aprili 14, 2025) wakati Ufunguzi wa Mkutano kati ya Ujumbe…

Read More

WAZIRI ULEGA AWAOMBA TET KUENDELEZA TUZO YA TAIFA YA MWALIMU NYERERE YA UANDISHI BUNIFU

WAZIRI wa Ujenzi Abdallah Ulega amesema kuwa Serikali itahakikisha inatoa fedha ili kufanikisha utoaji wa Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu ili ziwe endelevu na kufikia malengo yale yaliyokusudiwa hasa ya kukuza lugha ya Kiswahili nchini na duniani kwa ujumla. Akizungumza  jana wakati alipomwakilisha Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk. Philip Mpango…

Read More

VIJANA WATAKIWA KUJIEPUSHA NA VITENDO VINAVYOWEZA KUSABABISHA MATATIZO YA AFYA YA AKILI

Na Oscar Assenga, MKINGA VIJANA waliohitimu mafunzo ya awali ya Jeshi kwa Vijana wa kujitolea Operesheni ya Miaka 60 ya Muungano katika kikosi cha Jeshi 838 KJ,Maramba wilayani Mkinga wametakiwa kuhakikisha wanajiepusha na vitendo vinavyoweza kuwasababishia matatizo ya afya ya akili na mwili. Kauli hiyo ilitolewa na Brigedia Jenerali Hashim Komba wakati akifunga mafunzo hayo…

Read More

Matatani kwa tuhuma za kutoa taarifa za uongo

Unguja. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi linamshikilia Abdallah Ramadhan Mnolwa (24) kutoka Iringa kwa tuhuma za kutoa taarifa za uongo. Hayo yameelezwa leo, Jumatatu Aprili 14, 2025 na Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi, Abubakar Khamis Ally, alipozungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Madema. Amesema mtuhumiwa huyo alifika kituo cha…

Read More