Milioni Mbili za Mbunge Ummy Mwalimu zilivyochochea ushindi wa Coastal Union
Na Mwandishi Wetu, Tanga Ahadi ya Milioni Mbili iliyoahidiwa na Mbunge wa Jimbo la Tanga Mjini (CCM), Ummy Mwalimu, kwa Timu ya Coastal Union endapo itapata ushindi katika mchezo wao dhidi ya Singida Black Stars, imekuwa chachu ya kuchochea ushindi mara baaada ya kuibuka na ushindi wa mabao mawili kwa moja (2-1) katika mechi iliyochezwa…