AKILI ZA KIJIWENI: Che Malone ajitathmini vinginevyo

BEKI wa kimataifa ambaye timu inatumia gharama kubwa za fedha kumleta hapa nchini kisha kumhudumia, hatakiwi kufanya makosa ya kizembe ambayo yana athari kwa timu yake. Ndio kama tunavyoamini hapa kijiweni hasa kwa beki kama Che Fondoh Malone ambaye Simba ilitumia mzigo wa kutosha kumchomoa kule Cameroon katika timu ya Cotonsport kuja hapa nchini. Wakati…

Read More

Wajumbe Bawacha walia na posho

Dar es Salaam. Muda mchache kabla ya kuanza kwa mkutano mkuu wa Baraza la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha) wajumbe wa mkutano huo wamepaza sauti ya kuhitaji posho zao kabla ya mchakato huo. Hali hiyo inajiri muda mchache baada ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kuwasili kwenye viunga vya Ubungo Plaza jijini…

Read More

CHEZA SLOTI YA LUCKY BETTING SHOP MAMILIONI YANAKUSUBIRI!

KUCHEZA kasino sio lazima ufike kwenye maduka la kasino yaliyopo mtaani, Meridianbet imerahisisha kazi yako, kupitia kasino ya mtandaoni utapata wasaa wa kucheza michezo ya sloti na kasino kirahisi kabisa. Mchezo wa kasino ya mtandaoni. Lucky Betting Shop ni mashine ya sloti inayofurahisha na kukupa zawadi kedekede kwenye michezo. Kumbuka, sio ubashiri wa kasino ya…

Read More

SERIKALI YAAHIDI KUENDELEZA USHIRIKIANO NA IMF

Na. Saidina Msangi na Asia Singano, WF, Dodoma Serikali imesema kuwa itaendelea kushirikiana na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), na kuhakikisha Fedha zote za maendeleo zinazotolewa na Shirika hilo zinatumika kukamilisha azma ya kukuza uchumi wa nchi. Hayo yameelezwa na Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), jijini Dodoma wakati akimuaga Kiongozi…

Read More