Taifa Stars yapewa kundi laini Chan 2024

Tanzania imepangwa katika kundi B la mashindano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (Chan) 2024 zitakazofanyika Agosti mwaka huu ambalo litaundwa na timu za Mauritania, Madagascar, Burkina Faso na Jamhuri ya Afrika ya Kati. Katika droo ya fainali hizo iliyochezeshwa leo, Taifa Stars imejikuta ikiangukia katika kundi hilo ambalo timu zote zilizopo hakuna…

Read More

HALMASHAURI YA JIJI LA DAR ES SALAAM YAKIMBIZA WAHUNI WOTE KWENYE MIRADI YA SERIKALI

Halmashauri ya jiji la Dar es salaam imefuta mikataba yote ya ujenzi ambayo imekuwa ikisuasua katika utekelezaji na kuisababishia halmashauri hasara kubwa  akizungumza wakati wa kusaini mkataba mpya na mkandarasi anayejenga shule ya sekindari kipunguni mkurugenzi wa halmashauri ya jiji la Dar es Salaam Elihuruma Mabelya ametaja kuwa wameamua kufanya uamuzi huo kufuata maelekezo yaliyotolewa…

Read More

Mpango wa lishe mawaziri, makatibu wakuu Zanzibar kubanwa

Unguja. Wakati ukizinduliwa mpango mkakati wa kisekta wa lishe Zanzibar wa miaka mitano, Makamu wa Pili wa Rais, Hemed Suleiman Abdulla amezitaka wizara na taasisi zinazohusika kujipanga kuutekeleza, iwapo wakishindwa wajihesabu hawana kazi. Hemed amesema licha ya mafanikio na jitihada kubwa zinazochukuliwa, bado kuna kiwango kikubwa cha matatizo ya lishe duni. Mpango mkakati huo wa…

Read More

Makubaliano ya kusitisha vita ya Israel-Hamas yanukia

Doha. Makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Jeshi la Israel (IDF) na kundi la wapiganaji la Hamas lililopo ukanda wa Gaza nchini Palestina yamefikia pazuri. Kwa mujibu wa tovuti ya Al Jazeera, masungumzo ya makubaliano ya kusitisha mapigano hayo yanayoratibiwa na mataifa mbalimbali ikiwemo Qatar na Marekani yanaendelea vyema jijini Doha Qatar. Kwa mujibu wa…

Read More