Mvua yasababisha adha Dar, wananchi wakwama

Dar. Mvua zilizoanza kunyesha usiku wa kumakia leo Jumatatu, Aprili 14, 2025 maeneo mbalimbali ikiwemo jijini Dar es Salaam imesababisha adha kwa wakazi wa Jiji hilo. Mvua hizo zinanyesha maeneo mbalimbali ya jiji hilo ambalo ni kitovu cha uchumi wa Tanzania na kusababisha adha, baadhi ya makazi kuzungukwa na maji, njia za kupita kwenye makazi…

Read More

SERIKALI YATENGA BILIONI 96.8 KUPELEKA MIRADI YA UMEME VIJIJINI.

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Naibu Waziri,Wizara ya Nishati Judith Kapinga amesema kuwa Serikali inafahamu changamoto za kukosa umeme zilizopo katika Vijiji na Vitongoji ndio maana inaweka juhudi kubwa katika kuhakikisha ifikapo 2030 Vitingoji vyote viwe vimepata umeme. Naibu Waziri Kapinga ameyasema hayo Jijini Dodoma wilayani Chamwino katika Hafla ya Uzinduzi wa Mradi wa kusambaza…

Read More

Mwili wa Nyamo-Hanga kuzikwa Jumatano Bunda

Dar es Salaam. Mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Gissima Nyamo-Hanga utazikwa nyumbani kwao Mingungani, Bunda mkoani Mara Jumatano ya Aprili 16, 2025. Nyamo-Hanga na dereva wake, Muhajiri Haule walifariki dunia saa 7:30 usiku wa kuamkia jana kufuatia ajali ya gari iliyotokea wilayani Bunda mkoani Mara. Kwa mujibu wa Kamanda…

Read More

Mwili wa Nyamo-Hanga kuzikwa Alhamis Bunda

Dar es Salaam. Mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Gissima Nyamo-Hanga utazikwa nyumbani kwao Mingungani, Bunda mkoani Mara Jumatano ya Aprili 16, 2025. Nyamo-Hanga na dereva wake, Muhajiri Haule walifariki dunia saa 7:30 usiku wa kuamkia jana kufuatia ajali ya gari iliyotokea wilayani Bunda mkoani Mara. Kwa mujibu wa Kamanda…

Read More

Sichone aisikilizia Ligi Kuu Zambia

MSHAMBULIAJI wa Trident FC inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza Zambia, Mourice Sichone amesema tayari ameanza kupokea ofa kutoka Ligi Kuu nchini humo. Akizungumza na Mwanaspoti, Sichone alisema huenda akaondoka kikosini hapo mwishoni mwa msimu huu kama atakubaliana na ofa alizopata. Aliongeza, kiwango bora alichoonyesha kwenye msimu wake wa kwanza kikosini hapo kimemfanya aitwe kwenye kikosi…

Read More