
Taifa Stars yapewa kundi laini Chan 2024
Tanzania imepangwa katika kundi B la mashindano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (Chan) 2024 zitakazofanyika Agosti mwaka huu ambalo litaundwa na timu za Mauritania, Madagascar, Burkina Faso na Jamhuri ya Afrika ya Kati. Katika droo ya fainali hizo iliyochezeshwa leo, Taifa Stars imejikuta ikiangukia katika kundi hilo ambalo timu zote zilizopo hakuna…