Kunihira, Mukandasyenga kwenye vita ya kiatu

WASHAMBULIAJI Magret Kunihira wa Ceasiaa Queens na Jeaninne Mukandayyenga wanaingia kwenye vita ya ufungaji ambayo hadi sasa inaoenakana kuwania na Stumai Abdallah wa JKT Queens mwenye mabao 26 na Jentrix Shikangwa wa Simba mwenye 19. Kunihira ambaye anaitumikia Ceasiaa amefunga mabao manane huku Mukandaysenga akiwa na mabao saba kwenye mechi sita alizocheza. Hii ni mara…

Read More

SULUHISHO LA MIGOGORO YA NDOA NI HILI HAPA!

 Suluhisho la migogoro ya ndoa ni hili By ngilishonews.com Hakuna jambo huwaacha watoto njia panda kama ugomvi baina ya wazazi wao maana kuna muda hulazimika kuchagua upande, migogoro ndani ya ndoa imeacha majeraha makubwa sana katika nyoyo za watoto. Jina langu ni Farida, mimi na mume wangu tulianza kugombana pindi nilipojifungua mtoto wangu wa tatu,…

Read More

Gets Program inazitaka pointi tisa WPL

KATIKA kuhakikisha inasalia Ligi Kuu, Gets Program imeanza mipango ya kuzisaka pointi tisa zilizosalia, ingawa kocha wa timu hiyo, Aristides Ngowi amesema haitakuwa kazi rahisi. Gets iko nafasi ya nane kwenye msimamo wa ligi na ilikuwa miongoni mwa timu mbili zilizoanza vibaya kwenye mechi 15 imeshinda mbili, sare nne na kupoteza tisa ikiruhusu mabao 39….

Read More

Nestory Irankunda mambo magumu | Mwanaspoti

MAMBO yanaoneka kuwa magumu kwa winga mwenye asili ya Tanzania, Nestory Irankunda anayekipiga Grasshopper Club Zurich ya Uswisi kwa mkopo akitokea Bayern Munich. Winga huyo ambaye kwa sasa ana uraia wa Australia, alijiunga na mabingwa hao wa zamani wa Ujerumani akitokea Adelaide United ya Ujerumani aliyoitumikia kwenye timu za vijana za U-19, 21. Irankunda alishindwa…

Read More

Vita ya Ligi Bara yahamia Shirikisho

LIGI Kuu Bara imesimama kwa muda, lakini hiyo haina maana uhondo wa soka haupo kwani leo kwenye viwanja viwili tofauti, kuna vita nzito ya timu za ligi hizo zitakazoonyeshana kazi katika mechi za robo fainali za michuano ya Kombe la Shirikisho (FA). Maafande wa JKT Tanzania waliopo nafasi ya sita katika msimamo wa Ligi Kuu,…

Read More

Kapombe, Zimbwe JR wabebeshwa msalaba Simba

BAADA ya kuizamisha Mbeya City katika mechi ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho la ndani, Simba kwa sasa inaingia kwenye maandalizi ya kuikabili Stellenbosch ya Afrika Kusini katika nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, huku mabeki wakongwe wa pembeni wakiachwa msala. Mabeki hao ni nahodha Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ a.k.a Zimbwe Jr. na Shomary…

Read More

Aucho aitikisa Yanga, kocha Hamdi afunguka

YANGA inajiandaa kushuka uwanjani Jumanne hii kuvaana na Stand United, huku kocha wa timu hiyo akifichua kuwa, kukosekana kwa kiungo wa kati Khalid Aucho, kwa muda wa wiki tatu ndani ya kikosi hicho kunampasua kichwa, ingawa amejipanga na jeshi lake kumalizia mechi zilizosalia kwa kishindo. Aucho anayeitumikia Yanga kwa msimu wa tatu sasa, amekuwa mhimili…

Read More