Kunihira, Mukandasyenga kwenye vita ya kiatu
WASHAMBULIAJI Magret Kunihira wa Ceasiaa Queens na Jeaninne Mukandayyenga wanaingia kwenye vita ya ufungaji ambayo hadi sasa inaoenakana kuwania na Stumai Abdallah wa JKT Queens mwenye mabao 26 na Jentrix Shikangwa wa Simba mwenye 19. Kunihira ambaye anaitumikia Ceasiaa amefunga mabao manane huku Mukandaysenga akiwa na mabao saba kwenye mechi sita alizocheza. Hii ni mara…