Chino aingia na staili ya zombi
MSANII wa Bongo Fleva na dansa maarufu, Chino Wanaman ndiye msanii wa kwanza kuburudisha kilele cha wiki ya Simba Day akiingia na staili ya zombi. Leo ni kilele cha Simba Day ambacho baadaye kitahitimishwa na burudani ya soka, Simba ikiialika Gor Mahia kutoka Kenya. Msanii huyo ameingia kusherehesha kwa Mkapa akiongozana na msanii wa singeli,…