WANACHAMA 50 ACT Wazalendo LINDI WATIMUKIA CCM.

Zaidi ya wanachama 50 kutoka katika chama cha ACT Wazalendo wamejiunga na chama Cha mapinduzi ( CCM) Wanachama hao wakiongozwa na aliyewahi kuwa diwani na mwenyekiti kupitia tiketi ya ACT Wazalendo, Said Kitunguli wamepokelewa na Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, CPA Amos Makalla wakati akizungumza na wananchi kwenye mkutano wa hadhara…

Read More

Mount Uluguru Rally yawaita madereva Morogoro

MADEREVA wa mbio za magari watakuwa mkoani Morogoro wiki ya Pasaka kushiriki mashindano wa mbio fupi zitakazobeba bango la Mount Uluguru Rally Sprint. Mashindano haya yanatarajiwa kushirikisha madereva kutoka Dar es Salaam, Tanga, Arusha na Iringa na yatachezwa tarehe 21 mwezi Aprili mwaka huu kwa mujbu wa Mwenyekiti wa Chama Cha Mbio za Magari cha…

Read More

Ngorongoro Heroes yapangwa na wenyeji AFCON U20

Timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 20 ‘Ngorongoro Heroes’ imepangwa kundi A katika fainali za Mataifa ya Afrika kwa vijana wa umri huo (AFCON U20) 2025 zitakazofanyika Misri baadaye mwezi huu. Kundi hilo A linaundwa na timu tano ambazo ni Misri, Zambia, Ngorongoro Heroes, Sierra Leone na Afrika Kusini. Ni kundi…

Read More

Wapinzani Ngorongoro Heroes hadharani leo

Timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 20 ‘Ngorongoro Heroes’ leo itafahamu kundi itakalopangwa na wapinzani itakaocheza nao kwenye Fainali za Mataifa ya Afrika kwa vijana wa umri kama huo (AFCON) mwaka huu huko Misri. Fainali hizo zitafanyika kuanzia Aprili 27 hadi Mei 18 zikishirikisha timu 13 za taifa za vijana chini…

Read More

Haya yatatokea Chadema isiposhiriki uchaguzi 2025

Dar es Salaam. Sio swali tena kuhusu Chadema itashiriki au haitoshiriki uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu, kinachowatafakarisha wadau wa siasa kwa sasa ni mustakabali na hatima ya chama hicho katika mazingira ya kutoshiriki uchaguzi. Tafakuri hizo zinakuja baada ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kuweka wazi kuwa chama hicho hakitaruhusiwa kushiriki uchaguzi…

Read More

Bibi afa maji akiosha vyombo kando ya mto Ruvu

Morogoro. Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Tatu Hamis (51) mkazi wa Kijiji cha Kibangile Tarafa ya Matombo wilayani Morogoro vijijini, amezama katika Mto Ruvu alikokwenda kuosha vyombo na kufariki dunia. Akizungumza na Mwananchi kwa simu leo Jumapili Aprili 13, 2025 kuhusiana na tukio hilo, Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa…

Read More

Majaliwa aagiza washereheshaji warasimishwe | Mwananchi

Arusha.  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amelitaka Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) kukirasimisha rasmi, kukitambua na kusajili Chama cha Wafawidhi wa Matukio Tanzania (Washereshaji). Waziri Mkuu amesema endapo kitarasimishwa na kusajiliwa, wataweza kufanya shughuli zao kwa kujiamini na kwa weledi zaidi. Pia, ameitaka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa kushirikiana na Basata na…

Read More

Waungeni mkono wanawake kuleta usawa wa kijinsia – Mdeme

Tarime. Wanaume nchini wametakiwa kuwaunga mkono wanawake katika harakati za kuleta usawa wa kijinsia. Imeelezwa kuwa suala la usawa wa kijinsia haliwezi kuondoa ukweli kuwa daima mwanamke atabakia kuwa mwanamke na mwanamume atabakia kuwa mwanamume katika mgawanyo wa majukumu kwa usawa wa kijinsia. Haya yamesemwa leo Jumapili Aprili 13,2025 mjini Tarime na Naibu Katibu Mkuu…

Read More

Padri Kusekwa ‘awauma’ sikio viongozi wa kisiasa

Geita. Padri Albert Kusekwa wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Theresia wa Mtoto Yesu Jimbo Katoliki la Geita, amewataka viongozi wa kisiasa, kijamii na kidini kusimama imara katika kutetea ukweli bila kutaka kupendeza watu au kuogopa kupoteza umaarufu. Akihubiri katika Misa Takatifu ya Jumapili ya Matawi kanisani hapo leo Aprili 13, 2025, Padri Kusekwa amesema…

Read More