Michelle Obama adaiwa kususia uapisho wa Trump

Washington. Zikiwa zimebaki siku tano kuapishwa kwa Rais Mteule wa Marekani Donald Trump, Michelle Obama ambaye ni mke wa Rais mstaafu wa Marekani, Baraka Obama amesema hatashiriki hafla ya kumuapisha Rais huyo. Trump anatarajiwa kuapishwa jijini Washington DC, Januari 20, 2025, hafla ambayo inatarajiwa kuhudhuriwa na wanasiasa, watu mashuhuri na viongozi wa nchi na wanadiplomasia…

Read More

Wafanyabiashara walalama utitiri wa kodi unavyowatesa

Musoma. Baadhi ya wadau wa sekta ya kodi mkoani Mara wamependekeza kupunguzwa kwa wingi wa kodi ili kuimarisha uchumi wa taifa. Wamesema hatua hiyo itahamasisha ulipaji wa hiari wa kodi na kuchangia ongezeko la pato la Taifa. Wadau hao wamesisitiza umuhimu wa kuunganisha baadhi ya kodi na tozo ili zikusanywe na taasisi moja badala ya…

Read More

Kesi ya Dk Manguruwe yapigwa kalenda tena

Dar es Salaam. Serikali imesema bado inaendelea na uchunguzi katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mkurugenzi wa Kampuni ya Vanilla International Ltd, Simon Mkondya (40) maarufu Dk Manguruwe. Dk Manguruwe na mwenzake Rweyemamu John (59) ambaye ni mkaguzi wa fedha wa kampuni hiyo, wanakabiliwa na mashtaka 28 yakiweno ya kuendesha biashara ya upatu na utakatishaji…

Read More

Baresi, Lyanga kuna siri nzito

BAADA ya kukamilisha usajili wa Danny Lyanga, kocha mkuu wa Mashujaa, Mohamed Abdallah ‘Baresi’ amefichua siri iliyomfanya amsajili mshambuliaji huyo mkongwe akisema ni uzoefu mkubwa alionao anaoamini utaibeba timu katika duru la pili la Ligi Kuu Bara. Lyanga aliyekuwa JKT Tanzania, amewahi pia kucheza Tanzania Prisons, Geita Gold, Azam, Simba na  Fanja ya Oman ametua…

Read More

Abdi Banda aibukia Dodoma Jiji

BEKI kisiki wa zamani wa Coastal Union, Simba na Mtibwa Sugar, Abdi Banda amejiunga na Dodoma Jiji kama mchezaji huru baada ya kuvunja mkataba na Baroka FC ya Afrika Kusini. Banda alivunja mkataba na Baroka miezi mitatu tangu ajiunge na timu hiyo inayoshiriki Ligi ya Championship. Beki huyo alivunja mkataba na timu hiyo baada ya…

Read More

Camara aungana na kina Kyombo

MSHAMBULIAJI Abdoulaye Yonta Camara ameungana na nyota wengine kutoka Singida Black Stars kuitumikia Pamba Jiji kwa mkopo wa miezi sita. Nyota waliotua Pamba Jiji katika dirisha dogo la usajili ambalo lilifungwa jana usiku kutoka Singida Black Stars ni pamoja na Habib Kyombo, Hamad Majimengi na Mohamed Kamara. Taarifa kutoka Singida BS zimethibitisha kumuondoa mchezaji huyo…

Read More

Utekaji kaa la moto Kenya, Waziri asimulia mwanawe alivyotekwa

Nairobi. Hali ya mambo nchini Kenya inaonekana kuendelea kuwa tata, baada ya Waziri wa Utumishi wa Umma, Justin Muturi kufichua hadharani jinsi mwanawe, Leslie Muturi alivyotekwa na namna Rais William Ruto alivyosaidia na kuhakikisha anachiliwa huru. Kwa mujibu wa Muturi, licha ya kujaribu kuwasiliana na viongozi wa vyombo vya usalama bila mafanikio, alilazimika kumuomba Rais…

Read More

Tabora yabeba straika kutoka Tajikistan

DIRISHA dogo la usajili lilifungwa jana usiku, huku mapema juzi Tabora United ilikamilisha dili la kumsajili mshambuliaji mzawa Emmanuel Mwanengo aliyekuwa akiichezea Vakhsh Bokhtar iliyopo Tajikistan. Klabu hiyo iliyomaliza katika nafasi ya tano katika Ligi Kuu Tajikistan (SSR Tajik League), Mwanengo aliitumikia kwa mwaka mmoja kabla ya dirisha la digo la usajili  kuamua kujiunga na…

Read More