
Michelle Obama adaiwa kususia uapisho wa Trump
Washington. Zikiwa zimebaki siku tano kuapishwa kwa Rais Mteule wa Marekani Donald Trump, Michelle Obama ambaye ni mke wa Rais mstaafu wa Marekani, Baraka Obama amesema hatashiriki hafla ya kumuapisha Rais huyo. Trump anatarajiwa kuapishwa jijini Washington DC, Januari 20, 2025, hafla ambayo inatarajiwa kuhudhuriwa na wanasiasa, watu mashuhuri na viongozi wa nchi na wanadiplomasia…